Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Dr kwema vp nawezaje kupata mbegu ya mbuzi wale wanaozaa mapacha na je inawezekana nikawapandikiza mbuz hawa wa kawaida wakazaa mapacha?
 
Dr kwema vp nawezaje kupata mbegu ya mbuzi wale wanaozaa mapacha na je inawezekana nikawapandikiza mbuz hawa wa kawaida wakazaa mapacha?
Ulzia kuna mbuz wanaitwa buha hio breed inapatikan sana maeneo ya kigoma wanauwezo wa kuzaa mpk mapacha watatu wanaweza kukusaidia kweny biashara yako
 
Habari mkuu, mbwa wangu kapoteza sauti, tatizo ni nini mkuu. Yani akibweka sauti inakuwa kama mtu mweny kikohoz vile
 
Dr.kwema...samahani naomba unisaidie nna kuku wa kienyeji nawafuga nusu huria wamevamiwa na ugonjwa wa ndui na nna vifaranga havijafikisha mwezi...unanishauri nini cha kufanya?
 
Shukrani Dr. Kwa maelekezo mazuri sana. Hizi Infra red light bulbs naweza pata kwenye Agrovet stores, ama ni kwenye maduka ya vifaa vya umeme?
 


Me naomba nisaidie hiyo pdf mkuu ninauhitaji nao mkubwa, au nielekeze naipataje.

Natanguliza shukran,.
 
Ni sahihi mkuu unaweza kumkamua ila pia sidhani kama achelewa inawezekana anapata silent heat we unashindwa kuona kawaida wastani wa kupata joto kwa ng'ombe ni siku 21 (18-24) .
 
Habari !

Ngombe wangu Wana tatizo . Kwanza walikua wanamimba wote wawili , then zlivofik miez minne - mitano zikatoka wote .

Baada ya hapo wamekua wakiingia joto lakin kila nkiwapandisha hawashiki mimba wote na ndama wao wameshakua wakubw wanakaribia mwaka, still ngombe bado wanakamuliw .

Tatzo langu ni kwanini hawashiki mimba wote kila wakipandwa . Nimewapandisha Kama Mara nne hivi .

Asanteni

nb: hao waliotoa mimba ndo hawashiki sahivi mwenzao mwingne yeye hakutoa mimba yake ni kubwa sahiv
 
Anaejua kifaa kinaitwa PIG SNARE kinauzaa bei gani na naweza kukipata wapi msaada please
Hiki kifaa unaweza kukipata kwenye duka la kuuzia dawa na bidhaa nyingine za mifugo. Bei yake ni kati ya Tsh 50,000 hadi 80,000 kutegemeana na mahali ulipo. Mwaka juzi nilinunua kifaa hiki farmbase kwa Tsh 50000 tu. Karibu mkuu.
 
Habari
Nina ng'ombe anajisaidia kinyesi chepesi muda sasa nawenzake kinyesi chao kizuri kiko kawaida.pia macho yake anayatoa sana mpaka yanaonekana makubwa kuliko kawaida.pia anakohoa kohoa.naomba msaada juu ya hili suala
 
Anakohoa na kutoa aina ya hicho kinyesi kwa mda gan?
Habari
Nina ng'ombe anajisaidia kinyesi chepesi muda sasa nawenzake kinyesi chao kizuri kiko kawaida.pia macho yake anayatoa sana mpaka yanaonekana makubwa kuliko kawaida.pia anakohoa kohoa.naomba msaada juu ya hili suala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…