Habari Mkuu, pole kwa kuuguliwa na mfugo wako ningependa kujua ulitumia njia gani kupima na kujua huyo ng'ombe yuko na Anaplasmosis ( Ndigana baridi) na Ulihakikisha vipi kuwa ng'ombe wako alipona ECF ( ndigana kali) na pia inaweza kuwa babesios.
Najua watu wengi huwa wanachanganya hayo magonjwa wakati wa kufanya diagnosis unaweza kuta unatibu anaplasmosis kumbe mfugo wako ana ECF..
Ndio maana dalili ni muhimu sana wakati wa kufanya diagnosis na dalili ukiwa expect mzuri unaweza kuwa correct kwa 60 % ila vipimo vya maabara ni 100%
Hivyo basi kama uko na uhakika ni anaplsmosis kweli jaribu kubadili dawa na tumia dawa hizo hapo chini;
View attachment 1105279