Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mimi vifaranga wangu wana umri wa mwezi mmoja na nusu, bado sijawapatia chanjo yoyote, je kuna tatizo nikianzia hapa kuwapatia mtiririko wa chanjo? Asante.
 
Mimi vifaranga wangu wana umri wa mwezi mmoja na nusu, bado sijawapatia chanjo yoyote, je kuna tatizo nikianzia hapa kuwapatia mtiririko wa chanjo? Asante.
Bila shaka watakuwa vifaranga wa kienyeji? Kama ndio wapatie katika umri huo hakuna tatizo lolote hapo.
 
Upo wapi?
 
Bila shaka watakuwa vifaranga wa kienyeji? Kama ndio wapatie katika umri huo hakuna tatizo lolote hapo.
NISAIDIE TAFADHALI. NGOMBE WANGU ANAKOHOA SASA NI KAMA MWEZI N ZAIDI , TATIZO NI NINI? Dawa za minyoo nimmpa, sindano za OTC 20 nimempa bado tu! Nisaidie nitumie dawa gani na ni ugonjwa gani
 
NISAIDIE TAFADHALI. NGOMBE WANGU ANAKOHOA SASA NI KAMA MWEZI N ZAIDI , TATIZO NI NINI? Dawa za minyoo nimmpa, sindano za OTC 20 nimempa bado tu! Nisaidie nitumie dawa gani na ni ugonjwa gani
Ukiacha dalili hiyo ya kukohoa kuna dalili nyingine ambayo ameionesha? Kuna dawa kiboko kwa ajili ya changamoto za kukohoa ila bei yake iko juu sana kampuni ya Zoetis kama utakuwa vizuri nikuunge na muuzaji moja kwa moja.

Na kuhusu bata wako mwezi mmoja bado wadogo sana labda kama utaweza kuwaandalia mazingira ya joto sehemu yao ya kupumzikia.
 
Asante Sana Dr. Ni Kama Bei gani kusudi ukiniunga naye niwe na hela tayari anitumie nimlipe maana ngombe wangu Ni wa muhimu kuliko hela.

Dr. Mbonà Bata wanalala peke Yao Wala mama Yao hawafuniki kwa mbawa?

Asante Sana kwa ushauri. Appreciated!
 
Asante Sana Dr. Ni Kama Bei gani kusudi ukiniunga naye niwe na hela tayari anitumie nimlipe maana ngombe wangu Ni wa muhimu kuliko hela.

Dr. Mbonà Bata wanalala peke Yao Wala mama Yao hawafuniki kwa mbawa?

Asante Sana kwa ushauri. Appreciated!
100mls inaenda zaidi ya 68,000 the best of the best from Zoetis
 
Ndigana ipi mkuu ?kuna ndigana baridi (anaplasmosis ),ndigana kali (ECF) Ndigana maji (heart water)
Ng'ombe wangu anatetemeka kama ambae pumzi inabana na tumbo lake na anahema sana, pia anatoa ute hasa nyakati za mchana...na manyoya yake yamesimama.
Nisaidie mtaalam itakuwa ni ugonjwa gani?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi umefunga Pm ninashida na wewe sana
Breed gani ya kuku wa mayai inafaa sehemu za baridi pia mayai yake yana ubora na makubwa,mfano kuna wauzaji kama interchik,silverland.....ambapo breed ni kama hyline,issa brown,bovan n.k..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…