Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

(2. Penstrep - dawa nzuri sana. Intramuscular injection..1 cc per 20kg....then kuzuia systemic infection mchome na hiyo sindano. Then nipe mrejesho.)

1. Penstrep - Hii nimetumia kwa siku 3 Asubuhi na Jioni na angalau imezibua Chuchu na Jioni hii ametoa Majimaji ila siyo mengi, damu hajatoa.

2. Intramuscular injection..1 cc per 20kg....then kuzuia systemic infection mchome na hiyo sindano.

MKUU NADHANI IMEBAKI HII?


Ahsante.
intramammary Infusion jets umezitumia?
Intramammary delivery of an antibiotic into the mammary gland, by way of an intramammary infusion, is one of the most effective and commonly used methods to treat and/or prevent mastitis. There are two different types of intramammary antibiotic infusions and it is important to understand the differences between them.
1661877814539.png

Unaingiza kwenye tundu la titi baada ya kuondoa kzibo. Haijawahi kuniangusha. Wasiwasi wangu ni utapeli wa fake products, short of that ni very effective.

Hakikisha unamkamua ng'ombe maziwa yote yanaisha kabisa
 
Mkuu nimeshatumia hii(Penikan P 300 + 100 + 20 10g). Ila hakuna Sindano aliyochomwa baada ya DEXA.
JPEG_20220830_210237_1438046919175304.jpg
JPEG_20220830_210401_2362301698251886115.jpg
 
Hii thread nimechelewa sana kuiona, ila naamini tatizo langu litakuwa solved hapa. Mimi nina mbwa wangu jike aina ya German Shepherd long coat, kiukweli growth rate ya huyu mbwa hainifurahishi kabisa toka nimnunue ukilinganisha na wenzangu tulionunua pamoja kwenye uzao huohuo. Pia ulaji wake ni wa maringo sana toka akiwa na very young age, nimejaribu kuita several vets wanampa vitamins, anapewa dawa za minyoo monthly lakini wapi.

Yaani kwa umbo ukimuangalia hana tofauti sana na local breeds, yaan kinachowatofautisha ni namna manyoya yalivyo na miguu ya nyuma ilivyokaa tu. Recently nimenunua mbwa mwingine dume, ila ukimuangalia kiumbo unaweza dhani yeye ndo mkubwa kumbe anazidiwa 2+ yrs na mwenzie. Hapa possible cause ya hili tatizo ni nn na je kuna namna ya kulitatua? Natanguliza shukran.
 
Guys, msaada nguruwe wangu growth yake haiko vizuri ukilinganisha na wenzake, ila kula anakula vizuri kabisa
 
Wakuu nina kondoo wangu anakohoa sana wakati wa usiku..
Ila mchana anakula vizuri na wenzake
Tatito litakua ni nini
 
Wakuu Salam.
Mimi nashukuru kwa elimu .
Kuku wangu wamepatwa na ugonjwa wa ajabu.
Wakitaka kula wanadonoa hewani,yaani Ni km hawaoni chakula,then wanalegea na miguuu inakosa nguvu Kisha wanakufa.
Inawezekana shida ni Nini? I
 
Ndama kam hyo anaweza kuchanua maana naona yupo hvyo ana anawapanda wenzake
IMG_20221206_173221.jpg
IMG_20221206_174222.jpg
 
Habari wakuu
Mimi ni mfugaji wa naombe nilipata changamoto wa ngombe wangu kufa kwa tatizo la kutokula na kutoa udenda pia anapepesuka akitembea.. Baada ya kufa alipasuliwa tumbo na kukutwa na maji tumboni na nyongo yake ni kubwa sana na nyeusi sana pia

Baada ya siku tatu tatizo likaanza kwa ndama dume naye akafa.
Sasa ivi kwa siku 6 zilizopita tatizo limenza kwa mwingine na kuonyesha dalili za wengine kama mwanzo la kutokula majani pia amedhohofika sana na akitembea anapepesuka sana pia anatoa udenda

Nimemuita daktari wa mifugo kata ..kaja kampima na kumdunga shindano (kasema ya kushusha joto) akaondoka na hali ya ngombe imekua mbaya zaidi .. Naombeni msaada kwa madaktari dawa ya kutatua tatizo. Au namna na jinsi yoyote

Asanteni
 
Habari wakuu
Mimi ni mfugaji wa naombe nilipata changamoto wa ngombe wangu kufa kwa tatizo la kutokula na kutoa udenda pia anapepesuka akitembea.. Baada ya kufa alipasuliwa tumbo na kukutwa na maji tumboni na nyongo yake ni kubwa sana na nyeusi sana pia

Baada ya siku tatu tatizo likaanza kwa ndama dume naye akafa.
Sasa ivi kwa siku 6 zilizopita tatizo limenza kwa mwingine na kuonyesha dalili za wengine kama mwanzo la kutokula majani pia amedhohofika sana na akitembea anapepesuka sana pia anatoa udenda

Nimemuita daktari wa mifugo kata ..kaja kampima na kumdunga shindano (kasema ya kushusha joto) akaondoka na hali ya ngombe imekua mbaya zaidi .. Naombeni msaada kwa madaktari dawa ya kutatua tatizo. Au namna na jinsi yoyote

Asanteni
Kwa dalili ulizoandika hapo, moja kwa moja changamoto inayosumbua ng’ombe wako ni contagious bovine pleuropneumonia (CBBP) ambapo kwa kiswahili ni homa ya mapafu mara nyingi ng’ombe akipata ugonjwa huo hata baada ya kutibiwa na kupata nafuu atakuwa Carrier ambapo ataendelea kuwaambukiza ng’ombe wengine.

Ushauri wangu kwako ni kuhakikisha hakuna muingiliano baina ya ng’ombe wako na wajirani, hakikisha unafanya screening kubaini wagonjwa na kuwatoa wote pia wale wote ambao wata react negative hakikisha unawapa chanjo kila baada ya miezi kuwahakikishia ulinzi.

Pia hakikisha ng’ombe wako wanapata chumvi muda wote
 
Wakuu Salam.
Mimi nashukuru kwa elimu .
Kuku wangu wamepatwa na ugonjwa wa ajabu.
Wakitaka kula wanadonoa hewani,yaani Ni km hawaoni chakula,then wanalegea na miguuu inakosa nguvu Kisha wanakufa.
Inawezekana shida ni Nini? I
Wtafutie vitamini uiuite yenye vitamin B complexes na vitamin E wapatie na uhakika watakaa sawa.

Dont entartain the use of antibiotic
 
Back
Top Bottom