Mtaalamu wa mikeka anisaidie nataka kuweka milioni moja

Mtaalamu wa mikeka anisaidie nataka kuweka milioni moja

kupanga inapangika! ila lazima ijulikane kwanza kama unaruhusiwa kucheza mara 900 kwenye jacpot moja
 
Hii kwenye simu itakusumbua na inaweza kuwa na mgogoro na hawa jamaa kukupa hela issue rahisi ni kutoa mikeka kwenye vibanda vya kubet na utahitaji watu hata 10 wa kukusaidia kutoa mikeka hiyo maana kila mtu utampa list ya mikeka ya kutoa na inahitaji umakini team hata moja isikosewe kwenye mkeka
 
Hii kwenye simu itakusumbua na inaweza kuwa na mgogoro na hawa jamaa kukupa hela issue rahisi ni kutoa mikeka kwenye vibanda vya kubet na utahitaji watu hata 10 wa kukusaidia kutoa mikeka hiyo maana kila mtu utampa list ya mikeka ya kutoa na inahitaji umakini team hata moja isikosewe kwenye mkeka
Duh, Bila kukosea?!!!
 
Hii kwenye simu itakusumbua na inaweza kuwa na mgogoro na hawa jamaa kukupa hela issue rahisi ni kutoa mikeka kwenye vibanda vya kubet na utahitaji watu hata 10 wa kukusaidia kutoa mikeka hiyo maana kila mtu utampa list ya mikeka ya kutoa na inahitaji umakini team hata moja isikosewe kwenye mkeka
Mkuu kama premier bet!! Nimekuelewa mkuu
 
08/03/19 10:45pm

Lincoln City - Yeovil Town

Football/England league two

Double Chance-FT (×1)

1.11


08/03/19 10:45pm

Hibernian - Rangers

Football / Scotland Premiership

Double Chance - FT (X2)

1.13


08/03/1910:00pm

Jong PSV - Jong FC Utrecht

Football / Netherlands Eerste Divisie

1X2 - FT (1)

1.28


Total Odds:- 1.605504

Ukiweka million 1 faida itakuwa 605,504 Tshs.
Yangu ni asilimia 40 sawa na 260201.6 Tshs.

Kazi njema!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Tatizo jinsi ya kuipanga sasa.!
Juventus win 1.35
Norwich win 1.61
Linfield over 1.5
Rangers over 1.5
Total odds 3.12999*1,000,000=3,129,999
IMG_20190308_173846_762.jpg
 
Mikeka mia tisa mbona mchache sana!


Hapo kuna mikeka mingi tu umeiacha
Hapana kulingana na history ya mchezo wa soka kuna baadhi ya mikeka tutaikata hatuta print maana kuna matokeo ni magumu kupatkana katika timu zote kwenye mkeka mfano team zote 13 au 10 kwenye mkeka home ashinde inakuwa ngumu
 
Habarini wakuu, nataka kujilipua kwa kutandika mikeka ya milioni 1
Naomba mtaalamu anisaidie, kitakachopatikana kama nitafanikiwa
basi mgao utakuwa 60% kwa 40% Kama tutakosa hana lawama kwangu
ni matokeo tu.
Fanya hivi

Andika timu takribani zote katika mkeka wa siku husika kisha angalia zile timu zinazoongoza katika ligi zipe ushindi. Chukua 5 hadi saba probability ya kushinda ni kubwa. Zaidi ya hapo hiyo 1m nunua mifuko 80 ya cement ufyatue tofari.

Kwa mfana epl unawapa man city german unawapa psg nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa post nakuhurumia, BET inatabia ya kukuvuta... Ila ukijaa vzr ktk TARGET inakupa NGUMI moja ambayo hautaisahau mpk unakufa..

Hiyo million fanya ishu zingine.. Utakuja kunielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna njia moja inaitwa professor gharama yake ni laki 9 yani utatoa mikeka ya buku buku ya laki tisa na hii unacheza kwenye JACKPOT peke yake maana ndio kuna mkwanja mkubwa katika mikeka yote utakayotowa ni lazima mkeka mmoja utusue then kuna mikeka 3 ambayo utakosa team mbili na mwingine team 3
Unapangaje hyo mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom