Mtaalamu wa mikeka anisaidie nataka kuweka milioni moja

Mtaalamu wa mikeka anisaidie nataka kuweka milioni moja

Habarini wakuu, nataka kujilipua kwa kutandika mikeka ya milioni 1
Naomba mtaalamu anisaidie, kitakachopatikana kama nitafanikiwa
basi mgao utakuwa 60% kwa 40% Kama tutakosa hana lawama kwangu
ni matokeo tu.
08/03/19 10:45pm

Lincoln City - Yeovil Town

Football/England league two

Double Chance-FT (×1)

1.11


08/03/19 10:45pm

Hibernian - Rangers

Football / Scotland Premiership

Double Chance - FT (X2)

1.13


08/03/1910:00pm

Jong PSV - Jong FC Utrecht

Football / Netherlands Eerste Divisie

1X2 - FT (1)

1.28


Total Odds:- 1.605504

Ukiweka million 1 faida itakuwa 605,504 Tshs.
Yangu ni asilimia 40 sawa na 260201.6 Tshs.

Kazi njema!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakukumbusha tu asilimia yangu arobaini tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hesabu zinatuambia, ikiwa unacheza jackpot ya mechi 13 ili ushinde milioni 500 kwa 2000, yakupasa uandae mikeka isiyopungua milioni moja na nusu ambayo itakuwa na thamani ya bilioni 3. Kati ya hiyo mikeka, mmoja uko sawa 100%. Sasa uko tayari kupoteza bilioni 3 ili upate milioni 500? Jibu ni hapana. Bet fo fun, weka 500, ikitiki poa, ukiliwa haiumi. Maana hata kama uweke milioni, kama umesema liver anashinda, akipigwa umeliwa. Hakuna mjanja wa kuandaa mikeka, wote wabahatishaji tu.
 
Habarini wakuu, nataka kujilipua kwa kutandika mikeka ya milioni 1
Naomba mtaalamu anisaidie, kitakachopatikana kama nitafanikiwa
basi mgao utakuwa 60% kwa 40% Kama tutakosa hana lawama kwangu
ni matokeo tu.
Bet hatuweki 1M utalia na kusaga meno unless hiyo kwenye kazi yako million unaingiza baada ya dakika moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom