Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye miaka 26 nimeingia hapa kwa jinsi nilivyo ona kuna wachangiaji wengi na naamini pia watanichangia mawazo kadri ya upeo wa uelewa wa kila mtu kama nijuavyo kwamba mawazo nipewapo sio kila wazo ni sahihi!!
katika mkoa wa tabora kuna babu ambae kipindi hiko akiwa mdogo wa miaka kama 7(maskini ameshafariki sasa)mama yake ndio alikua anapikia vibarua waliokua wanafanya kazi kwa wajerumani.
wajerumani walikua wana kambi katika eneo hilo, wakati wanaondoka walichimba shimo refu nakufukia mali nyingi mzee huyu alichokua anakumbuka ni sanduku 7 alizo ona zimefukiwa sasa baba zetu walivyokua ndio wamekuja kutupa hizi hadithi kisha nikasema ngoja nijaribu bahati nasibu kwamba nitafikia wapi, tukajikaza wanaume 10 na kuamua kwamba tuchimbe eneo lile mpaka kuhakikisha kwamba kilichochimbiwa kinapatikana.
safari ya kuchimba ilianza na kua ngumu sana kwani baada ya kuchimba kidogo tuu kama futi 17 hivi tukafikia sealed ngumu sana ya granite stones ambayo tulijaribu kuweka acid ya kuyeyushia miamba lakini hakuna kitu, hatimae tukaamua kupasua kwa kutumia tambi za baruti hapo tukaweza kupenyeza, tulichimba kwa kiasi sana mpaka kufikia maji chini ambapo ujanja woote ulikomea hapo na kuanza kulumbana kisha moja wa timu yeye akasema bwana kama niniyi ni wa kristu ila mimi na kwenda kwa mganga kuangalia kama kuna lolote lile, hakupingika na kweli alikwenda moja kwa moja kwa mganga na mganga kumwambia aaah ninyi mmeacha mali juu nendeni kuchinma kuelekea kaskazini japo tulimwona hakwenda shule lakini tulifuata ushauri ule na kuanza safari mpya ya kuchimba tena kuelekea kaskazini kipindi, tulichimba mpaka kukuta giza nene kabisa ikabidi kununua tochi, kilichoniacha hoi ni kwamba yaani unaingia na tochi mpya yenye batries mpya kisha huisha hapo hapo, tukaamua kuingia na taa za chemli ila hapakua na mafanikio manake taa hupasuka chemli. tukaamua kuwasha vibatari vyenye tambi nene kabisa hapo ndipo kidogo niache kazi manake palitoka inzi wakubwa sana na wao walikua wanakuja tuu kuzima vile vibatari, na wakati wanazima vile vibatari tunasikia kama watu wanaita tunasikia psiii psiii psiii psii, sasa ile kazi imekwamia pale na sasa naanza kuamini kwamba uchawi wa mjerumani hautolewi na mtu mwingine sasa mimi ninachotaka hapa ni hiivi kwa yeyote anaejua kuna njia tunawezakutoa ile mali pale awasiliane na mimi kwa e-mail algore_sympson@yahoo.com ama anipigie 0688433961 ama tigo 0652417656 sihitaji msaada wowote wa fedha mimi nataka utaaalamu tuu na nitakua shea nae nusu kwa nusu
katika mkoa wa tabora kuna babu ambae kipindi hiko akiwa mdogo wa miaka kama 7(maskini ameshafariki sasa)mama yake ndio alikua anapikia vibarua waliokua wanafanya kazi kwa wajerumani.
wajerumani walikua wana kambi katika eneo hilo, wakati wanaondoka walichimba shimo refu nakufukia mali nyingi mzee huyu alichokua anakumbuka ni sanduku 7 alizo ona zimefukiwa sasa baba zetu walivyokua ndio wamekuja kutupa hizi hadithi kisha nikasema ngoja nijaribu bahati nasibu kwamba nitafikia wapi, tukajikaza wanaume 10 na kuamua kwamba tuchimbe eneo lile mpaka kuhakikisha kwamba kilichochimbiwa kinapatikana.
safari ya kuchimba ilianza na kua ngumu sana kwani baada ya kuchimba kidogo tuu kama futi 17 hivi tukafikia sealed ngumu sana ya granite stones ambayo tulijaribu kuweka acid ya kuyeyushia miamba lakini hakuna kitu, hatimae tukaamua kupasua kwa kutumia tambi za baruti hapo tukaweza kupenyeza, tulichimba kwa kiasi sana mpaka kufikia maji chini ambapo ujanja woote ulikomea hapo na kuanza kulumbana kisha moja wa timu yeye akasema bwana kama niniyi ni wa kristu ila mimi na kwenda kwa mganga kuangalia kama kuna lolote lile, hakupingika na kweli alikwenda moja kwa moja kwa mganga na mganga kumwambia aaah ninyi mmeacha mali juu nendeni kuchinma kuelekea kaskazini japo tulimwona hakwenda shule lakini tulifuata ushauri ule na kuanza safari mpya ya kuchimba tena kuelekea kaskazini kipindi, tulichimba mpaka kukuta giza nene kabisa ikabidi kununua tochi, kilichoniacha hoi ni kwamba yaani unaingia na tochi mpya yenye batries mpya kisha huisha hapo hapo, tukaamua kuingia na taa za chemli ila hapakua na mafanikio manake taa hupasuka chemli. tukaamua kuwasha vibatari vyenye tambi nene kabisa hapo ndipo kidogo niache kazi manake palitoka inzi wakubwa sana na wao walikua wanakuja tuu kuzima vile vibatari, na wakati wanazima vile vibatari tunasikia kama watu wanaita tunasikia psiii psiii psiii psii, sasa ile kazi imekwamia pale na sasa naanza kuamini kwamba uchawi wa mjerumani hautolewi na mtu mwingine sasa mimi ninachotaka hapa ni hiivi kwa yeyote anaejua kuna njia tunawezakutoa ile mali pale awasiliane na mimi kwa e-mail algore_sympson@yahoo.com ama anipigie 0688433961 ama tigo 0652417656 sihitaji msaada wowote wa fedha mimi nataka utaaalamu tuu na nitakua shea nae nusu kwa nusu