Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Kuna tangazo linasema wale wote walioondolewa kazini kwa uonevu (bila barua) kuanzia 2016-2021 warudi kazini. HUU NI USHAHIDI YULE SHETANI ALIONEA NA KUUMIZA SANA WATU
Utaondolewaje kazini bila barua. Ni nani mjinga ataacha kwenda ofisini bila official notice. Ukiona hivyo ujue hukustahili kuwepo ofisini.
 
Magufuli atabaki raisi aliyesambaratisha mafisadi papa na kufanya mambo ambayo mafisadi hao walihisi hakuna atakayeweza kuyafanya, kwa kizungu tunaita "Wonders"

Alifanya the inverse ya awamu ya 4 na ndio maana washenzi wengi waliteseka. Wengi waliokuwa wanalia chungu ya awamu ya 5 ni wezi matapeli, wanyonyaji na janja janja. Walikatiwa mirija ya upigaji.

Sasa mwamba hayupo kwao hali ni shwari wanatukana wanavyojiskia ila wakumbuke tu kuwa haitasaidia. Magufuli alikuwa na huruma kwa watu waliostahili huruma na alikuwa kavu kwa watu washenzi. Nitamkumbuka kwa hilo tu.
Kwa hiyo mafisadi wote walikuwa ni CHADEMA tu?"
 
Sababu za kiwizi au za kulazimisha uadilifu? Wewe kusimamiwa ufanye majukumu yako kwa ukamilifu ndio kugawa nchi. Acha uquma basi
Unaona ulivyo mpumbavu kama Magufuri wako,kugawa Watanzania kwa misingi ya vyama,ukabila na ukanda unaona ni sahihi?
 
Hao unaodhani wako serikalini kwa udini, wanaenda ofisini kuendesha Ibada?

Akili zenu hizi za kidinikidini, zinatuchelewesha sana hizi!
Sawa mkuu endelea hivyo hivyo na maono yako lakini ukweli unabaki palepale.
 
Sawa mkuu endelea hivyo hivyo na maono yako lakini ukweli unabaki palepale.
Mkuu, binafsi yangu, hili suala la udini, Africa limetufanya tuwe nyuma sana! Yaani mtu ni mzuri kichwani na mchapa kazi, asipewe nafasi kwa sababu ya dini yake tu?

Huo ni upumbavu
 
Nisome ujinga?
Kama umejiapiza kutosama hicho kitabu basi wewe utakuwa mjinga zaidi na kusema kweli hupiganii ustawi wa nchi hii bali unampigania mtu ambaye wengi wanaamini hakuwa timamu kiuongozi. Ungekuwa na akili nzuri, uwelewa wa kutosha na kuamini kwa dhati usahihi wa mtazamo wako ungesoma hicho kitabu na kuja kutuonyesha ujinga wa hao waandishi uko wapi.
 
Kama umejiapiza kutosama hicho kitabu basi wewe utakuwa mjinga zaidi na kusema kweli hupiganii ustawi wa nchi hii bali unampigania mtu ambaye wengi wanaamini hakuwa timamu kiuongozi. Ungekuwa na akili nzuri, uwelewa wa kutosha na kuamini kwa dhati usahihi wa mtazamo wako ungesoma hicho kitabu na kuja kutuonyesha ujinga wa hao waandishi uko wapi.
Hicho utasoma wewe!
 
Back
Top Bottom