Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Magufuli atabaki kuwa rais aliyeigawa nchi yetu kwa misingi ya kikabila na mtu aliyevuruga mshikamano wetu. Atakumbukwa kwa visasi, kufanya maamuzi bila kushirikisha bunge, upendeleo wa kikabila na kindugu, uteswaji na hata kwa vifo vya wapinzani wake kisiasa. Alivuruga uhusiano wetu na nchi jirani na hata nchi za Ulaya. Ameacha doa kubwa katika historia ya Tanzania.
Rais wa kwanza kuigawa Tanzania kwa sababu zake za kiwizi wizi na udikteta.
 
Magufuli atabaki kuwa rais aliyeigawa nchi yetu kwa misingi ya kikabila na mtu aliyevuruga mshikamano wetu. Atakumbukwa kwa visasi, kufanya maamuzi bila kushirikisha bunge, upendeleo wa kikabila na kindugu, uteswaji na hata kwa vifo vya wapinzani wake kisiasa. Alivuruga uhusiano wetu na nchi jirani na hata nchi za Ulaya. Ameacha doa kubwa katika historia ya Tanzania.
Rais wa kwanza kuigawa Tanzania kwa sababu zake za kiwizi wizi na udikteta.
Sio tu hawatoweza ila wanachochea hasira na mafuriko kwenye mioyo ya wa Tz. Yani Kuna Mtanzania sasa hivi utamdanya na story mfu while maisha yamewagonga hawana kitu hatujuwi kesho yetu ajira ndio kama picha yaani amtajuwa hamjuwi. Yani mtu anunue mchele 1800 leo 3500 alafu umdanganye Magu alikuwa mbaya nadhani atakupiga Kofi. Uzuri hata ukichukua Magu mfu ukamueka watu wampigie kura walahi Magu mfu anawatoa kamasi
Nani ampigie kura kichaa?
 
Naona umejiunga Jf 2023, ninyi ndo mnatengeneza ID nyingi ili tu mumsifie huyo muuaji wenu.
 
Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa

Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake

Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?

Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali

Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho, watu hawa wanatuona kana kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?

Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,

Hata hivyo, kwa nini wanatumia nguvu nyingi kiasi hiko? Nini kipo nyuma yao? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli na wanafahamika, watu hawa wanaroho mbaya kuliko hata shetani, wako tayari kutoa uhai wa mtu hasa anapogusa maslahi yao!

Ninauhakika, Waovu hawawezi kutawala Milele hata kama katikati yao kuna mmoja tu mtenda haki, Sharti mtenda haki huyo, kwa nguvu isiyoshindwa, atapenya katikati yao, Hilo ninahakika nalo! Mungu hawezi kuruhusu upuuzi huu ukatawala, kwamba keki ya Taifa lishie kwa wachache na wengine kuishia kuwa na maisha ya kutangatanga katika nchi yao njema yenye kila aina ya vinono?

Tunarudia tena, hayati Magufuli, ni mtu ambaye, mafisadi mtatumia nguvu na shekeli zenu nyingi mno, lakini nasikitika kusema kwamba, mnapata hasara bule, hamtamchafua kamwe, utawala wake uliwagusa watu ambao nyinyi ni mabwege kwenu, watu dhaifu na ambao kwenu nyinyi hamkuwa kuwahesabu kama ni watanzania na wenye kuistahili heshima na haki kama raia wa nchi hii njema

Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?

Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi

Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.

Mantiki yao ni ipi haswa!

Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchea, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile!

Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!

Magufuli! Lala salama!

Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia!
Hivi ni Nani anakulipa kumtetea huyu shetani.?
 
Huyu magufuli amekuwa mungu? Tuseme hajakosea popote hata asisemwe au asiandikwe?
Mtu mzima unabwatuka hovyo hata kitabu chenyew ukute hujakisom?
Kamfufueni
Na pengine hata hataweza kukisoma; amesikia tu kuna kitabu kimeandikwa kuhusu ule utawala wa giza!
 
Kabla ya kila kitu kufanyika, kinachotangulia ni maono, ukiwa mtu wa maono, unauwezo wa kuyaona mambo yako mbele mita nyingi zisizohesabika! Hii inawahusu werevu peke yake, kama na wewe ni miongoni mwao utaelewa

Mbuga ya wanyama Burigi, Hospital ya kikanda na ya kimataifa Chato' vitu hivi viwili, vinatosha kabisa kumlazimisha mtu yeyote mwenye afya ya akili kumwambia kwahitajika uwanja wa ndege

Ni wapumbavu na watu wasiokuwa na maono ambao watapingana na hilo

Na Magufuli hakuwahi kujitengenezea kitu Chake mwenyewe, alivyokuwa ukilenga, ni Tanzania mpya ya miaka 100 ijayo

Unapoanzisha miradi mingi ya kimkakati, haiwezi kukupa matokeo ya miaka miwili" SGR, JKNHP, na shirika la ndege, mambo haya hayawezi kutoa matokeo ya muda mfupi!

Narudia tena hapa, licha kwamba Karibu asilimia kubwa ya watanzania ni watu wanaopenda vitu walivyowekeza kwa gharama kubwa vitoe matokeo leoleo, huu ujinga ndio unaolila Taifa letu

Huwezi kuanzisha biashara leo halafu kesho tu unataka likuzalishie maduka matano mengine!

Ni upumbavu,
Ulitegemea Chato hata kama baada ya miaka mia mbili kungetokea maendeleo yoyote? Tumepita na kutembelea chato. Kile ni kijiji chenye hotel ya mwendazake kuvutia wapita njia basi. Tusidanganyane kwa lolote. Heri maendeleo hayo angeyapeleka hata Geita mjini tungesifia.
 
Ulitegemea Chato hata kama baada ya miaka mia mbili kungetokea maendeleo yoyote? Tumepita na kutembelea chato. Kile ni kijiji chenye hotel ya mwendazake kuvutia wapita njia basi. Tusidanganyane kwa lolote. Heri maendeleo hayo angeyapeleka hata Geita mjini tungesifia.
Mwanaume hahitaji kusifiwa sifiwa! Umsifie kwani wewe shogha?
 
Kuna tangazo linasema wale wote walioondolewa kazini kwa uonevu (bila barua) kuanzia 2016-2021 warudi kazini. HUU NI USHAHIDI YULE SHETANI ALIONEA NA KUUMIZA SANA WATU
Na ndio hao mnaoandamana kwenye mitandao ya kijamii, yaani vilaza mnafurahia kurudishwa kazini?

Mlifanyia watu operation ya kichwa badala ya mguu?

Mliwapa watu vidoogo vya kuwahisha uchungu wakati wanaumwa kichwa?

Nchi ya wapumbavu tu wanaoweza kufurahia Hili,
 
Magufuli atabaki kuwa rais aliyeigawa nchi yetu kwa misingi ya kikabila na mtu aliyevuruga mshikamano wetu. Atakumbukwa kwa visasi, kufanya maamuzi bila kushirikisha bunge, upendeleo wa kikabila na kindugu, uteswaji na hata kwa vifo vya wapinzani wake kisiasa. Alivuruga uhusiano wetu na nchi jirani na hata nchi za Ulaya. Ameacha doa kubwa katika historia ya Tanzania.
Magufuli atabaki raisi aliyesambaratisha mafisadi papa na kufanya mambo ambayo mafisadi hao walihisi hakuna atakayeweza kuyafanya, kwa kizungu tunaita "Wonders"

Alifanya the inverse ya awamu ya 4 na ndio maana washenzi wengi waliteseka. Wengi waliokuwa wanalia chungu ya awamu ya 5 ni wezi matapeli, wanyonyaji na janja janja. Walikatiwa mirija ya upigaji.

Sasa mwamba hayupo kwao hali ni shwari wanatukana wanavyojiskia ila wakumbuke tu kuwa haitasaidia. Magufuli alikuwa na huruma kwa watu waliostahili huruma na alikuwa kavu kwa watu washenzi. Nitamkumbuka kwa hilo tu.
 
Back
Top Bottom