Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Huyo kichaa anaungua na moto hata Yesu Kristu atakapojuja tena kuhukumu wazima na wafu Magufuli hawezi kufufuka sawa na akina Hitler, Mobutu na Iddi Amini.

Usipoteze muda wako kuabudu kitu Mungu wetu alichokifuta. Magufuli angekuwapo tungekuwa na hali mbaya kuliko Yemen kwa sababu alikuwa hatumii akili
Mungu /Yesu siyo mumueo dada
 
Mbona ccm inakubaka kila siku na mungu wako haoneshi ufundi wake?

Una mavi kichwani
Ninachofurahi ni kuwa mwovu yuko motoni sasa hivi
JamiiForums-440561486.jpg
 
CCM hawakutaka kabisa kusikia katiba mpya... Lakini katiba inazungumzwa na CCM wenyewe kwa sasa baada ya mtu mmoja kujimilikisha nchi yote kwa maamuzi yake mwenyewe..
CCM wameona hatari huko tuendako bila kurekebisha katiba au kuleta katiba mpya
Wao wenyewe wamejionea HATARI iliyopo.
 
We Tindo ulikuwepo nyakati za Nyerere? Punguza masimulizi bhana

Kwa hiyo hawa viongozi wa dini wanaohubiri kuhusu Yesu na mtume Mohamad walikuwepo enzi hizo?
 
Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa

Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake

Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?

Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali

Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho,
Wanatufanya kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?

Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,

Hata hivyo, kwa nini wanaitumia nguvu nyingi kiasi hiko? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli

Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?

Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi

Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.

Mantiki yao ni ipi haswa!

Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchea, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile!

Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!

Magufuli! Lala salama!

Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia!
Ujue project kama hiyo haikosi hela za mjomba samueli 'uncle sam'. Wanakuaga na program kumchafua kiongozi yeyote mzalendo mwenye kupigania maendeleo ya kweli ya afrika. Walifanya hivyo dhidi ya nkwame nkrumah kwa mafanikio sana. Huko ghana hadi ikawa ni aibu mtu kumsifia. Nkurumah akawa anasifiwa na kukubalika nje ya ya ghana kulipo ghana yenyewe. Wamefanya hivyo kwa sekou toure, thomas sankara, julius nyerere, patrice lumunba na wengine. Kwa hivyo ukiona hadi kitabu kinaandikwa kumchafua magufuli usistaajabu.
 
Ujue project kama hiyo haikosi hela za mjomba samueli 'uncle sam'. Wanakuaga na program kumchafua kiongozi yeyote mzalendo mwenye kupigania maendeleo ya kweli ya afrika. Walifanya hivyo dhidi ya nkwame nkrumah kwa mafanikio sana. Huko ghana hadi ikawa ni aibu mtu kumsifia. Nkurumah akawa anasifiwa na kukubalika nje ya ya ghana kulipo ghana yenyewe. Wamefanya hivyo kwa sekou toure, thomas sankara, julious nyerere, patrice lumunba na wengine. Kwa hivyo ukiona hadi kitabu kinaandikwa kumchafua magufuli usistaajabu.
Tutaandika vitabu pia kuelezea ukweli wa aliyofanya Magufuli nchini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu MAGUFULI ni mchafu Tena mchafu kunuka. Ugomvi wetu sisi na yeye mungu aliumaliza 17/3/2021. Piga kazi acha kulalamika pambana na Hali Yako.
Naungana na mtoa mada ukiona unalazimaisha kuchafua hiyo kitu ni safi
 
Fanyeni kazi WAJINGA nyie maiti ya mwana WA adamu haiwezi kuwasaidieni chochote Kile. PAMBANENI NA HALI ZENU
Unawalisha? Jinga kabisa wewe

Na ulivyoandika ni upumbavu tupu? Unamjua mwana wa Adamu wewe?
 
Vibaraka weusi wamejikusanya huko na kuanza kumchafua shujaa wetu magufuli huku munapulizia uvumba na pafyumu uvundo wa rushwa unaoifilisi nchi chini ya usimamizi mahiri wa queen NZINGA MBANDI ,magufuli ni habari ,anahitajika Raisi mwenye mkono wa chuma kushinda hata Amina Adolf Hitler,ni upuuzi mkubwa Sana nchi inaliwa halafu nyie wasomi uchwara msio na maslahi yoyote na nchi mna discourage wapigania raslimali eti kajenga chato,hivi chato ni Rwanda kumbe!!!!!!! Halafu mnajiita wasomi eti ,Kama hao ndo wasomi wa Tanzania ,kumbe bado Safari IPO ndefu sana
 
Fanyeni kazi MA K nyinyi. Tuliwaambieni ccm Ina wenyewe na wenyewe ndio mwamechukua chao na kazi yao inaendelea. PAMBANENI NA HALI ZENU mafashisti nyie
Haujawahi kutulisha mkuu! Wala huna mamlaka yoyote juu ya maisha ya mtu
 
Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa

Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake

Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?

Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali

Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho,
Wanatufanya kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?

Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,

Hata hivyo, kwa nini wanaitumia nguvu nyingi kiasi hiko? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli

Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?

Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi

Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.

Mantiki yao ni ipi haswa!

Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchea, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile!

Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!

Magufuli! Lala salama!

Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia!
Huyu magufuli amekuwa mungu? Tuseme hajakosea popote hata asisemwe au asiandikwe?
Mtu mzima unabwatuka hovyo hata kitabu chenyew ukute hujakisom?
Kamfufueni
 
Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa

Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake

Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?

Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali

Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho,
Wanatufanya kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?

Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,

Hata hivyo, kwa nini wanaitumia nguvu nyingi kiasi hiko? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli

Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?

Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi

Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.

Mantiki yao ni ipi haswa!

Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchea, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile!

Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!

Magufuli! Lala salama!

Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia!
Huyu magufuli a
Waendelee tuu kula nchi,,,Mwamba hauchafuliki ni kupoteza muda tuu kumchafua yule Mtu,,,ni Msafi mnooo kuliko wao!!
Mnatumia nguvu nyiiingi kutetea wafu ina maana JPM hajawahi kosea? Watu wanawapinga minutume wa mungu itakuwa yule aliyeamrisha watu wapigwe risasi, kuteka na kuua watu?
Yani wananchi walichagua wabunge wao wenyewe kisha yy anawapa pesa ili sijui waunge mkono na ujinga gani! Zile pesa si zilikwa za watanzania??
Eleza aliligawaje taifa? Au unaimbishwa tu nyimbo?
 
Huyu magufuli a

Mnatumia nguvu nyiiingi kutetea wafu ina maana JPM hajawahi kosea? Watu wanawapinga minutume wa mungu itakuwa yule aliyeamrisha watu wapigwe risasi, kuteka na kuua watu?
Yani wananchi walichagua wabunge wao wenyewe kisha yy anawapa pesa ili sijui waunge mkono na ujinga gani! Zile pesa si zilikwa za watanzania??
Wewe unatumia nguvu kidogo kuponda wafu?
 
Back
Top Bottom