Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Hatupotezi muda, moja ya furaha yetu ni kulitaja vibaya kila tunapokumbuka ushenzi wake.
Ht misikitini/makanisani kumtaja na kumlaani shetani ni kawaida sana
Hii haiondoi ukweli wake kwamba, aliwakataa walamba asali na majizi kama nyinyi
 
Fact;
Tar. 9/12/1961 tulipata uhuru toka kwa mtu wapinki/zungu
Tar. 17/3/2021 tulipata uhuru toka Kwa mtu mweusi/afrika
  • Ambapo wote walitesa,walipiga,walituibia,walitunyima haki,walitutisha,walitunyima uhuru wakuongea,walibagua kikabila,walipendelea kwake,walitumia Dola kukandamiza walompinga nk.
  • Wote pia walijenga mareli,mashule,barabara,vyanzo vya umeme nk.
 
Fact;
Tar. 9/12/1961 tulipata uhuru toka kwa mtu wapinki/zungu
Tar. 17/3/2021 tulipata uhuru toka Kwa mtu mweusi/afrika
  • Ambapo wote walitesa,walipiga,walituibia,walitunyima haki,walitutisha,walitunyima uhuru wakuongea,walibagua kikabila,walipendelea kwake,walitumia Dola kukandamiza walompinga nk.
  • Wote pia walijenga mareli,mashule,barabara,vyanzo vya umeme nk.
Wajinga wanaamini hiki, Endelea kuamini hiki hiki mkuu, hakuna atakayekushikia bunduki kukulazimisha kile unaamini
 
Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa

Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake

Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?

Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali

Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho,
Wanatufanya kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?

Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,

Hata hivyo, kwa nini wanaitumia nguvu nyingi kiasi hiko? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli

Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?

Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi

Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.

Mantiki yao ni ipi haswa!

Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchea, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile!

Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!

Magufuli! Lala salama!

Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia!
Huyo kichaa anaungua na moto hata Yesu Kristu atakapojuja tena kuhukumu wazima na wafu Magufuli hawezi kufufuka sawa na akina Hitler, Mobutu na Iddi Amini.

Usipoteze muda wako kuabudu kitu Mungu wetu alichokifuta. Magufuli angekuwapo tungekuwa na hali mbaya kuliko Yemen kwa sababu alikuwa hatumii akili
 
Hatupotezi muda, moja ya furaha yetu ni kulitaja vibaya kila tunapokumbuka ushenzi wake.
Ht misikitini/makanisani kumtaja na kumlaani shetani ni kawaida sana
""Na Iwe Kama Ulivyonena""Ukweli utaendelea kubaki moyoni mwako,,,Mwamba hachafuliki!!
 
Nimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa

Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake

Ni Magufuli pekee aliyeipandisha hadhi nchi yetu, ni yeye pekee aliyeibua miradi kedekede na isiyohesabika, miradi ya kimkakati na kuileta nchi katika uchumi wa kati mdogo! Hivi utamdanganya nani?

Ni Magufuli pekee aliyekuwa na huruma ya dhati kwa wananchi wote hasa wa chini, aliwajali na kutatua kero zao bila kuogopa wenye ukali

Ni serikali yake tu, iliyotaka kuondoa tabaka la walionacho na wasiokuwa nacho,
Wanatufanya kwamba wote tulikuwa chekechea siyo?

Halafu wasomi uchwala hao waliondika daftari Lao hilo, wote wako nje ya nchi na hawataki kurudi,

Hata hivyo, kwa nini wanaitumia nguvu nyingi kiasi hiko? Na ukichunguza zaidi, unagundua tu kwamba, miongoni mwa walioshiriki ni pamoja na waliotemwa kwenye nafasi za uteuliwa utawala wa Magufuli

Hata hivyo, mbona bado ni walewale vilaza na mafisadi?

Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi

Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.

Mantiki yao ni ipi haswa!

Hata iweje, waandike vitabu na vitabu, nyinyi wasomi uchea, tunachukua nafasi hii kuwakumbusha sisi wamachinga, wafanya biashara, wamama ntilie, wananchi wa kawaida, tunawakumbusha tu kwamba, Magufuli hawezi kuchafuliwa na yeyote kwa njia yoyote ile!

Tutaendelea kuguswa na yale ametufanyia kama nchi na wananchi!

Magufuli! Lala salama!

Kuna wajinga wachache wanadhani eti ni rahisi tusahau mema uliyotuachia!
Ubarikiwe Kwa kuwaamsha popo
 
Hii haiondoi ukweli wake kwamba, aliwakataa walamba asali na majizi kama nyinyi
Alitukataa!?
Kiko wapi sasa.
Kafa na roho mbaya yake katuachia asali yetu twala kwa raha zetu huku tukiling'ong'a shetani lile na wafuasi wake waabudia kaburi
 
Yani hii nchi ina vijana wa hovyo kabisa yani watu wanakaa wanawaza kuandika mabaya tu ya marehemu kweli.wanaongozwa na mtumishi wa mungu kweli hio ni akili ya kimatope.ukitafakari wao wamefanya nini kuanzia kwenye familia zao huko na majumbani mwao wamefanya nini.
 
Alitukataa!?
Kiko wapi sasa.
Kafa na roho mbaya yake katuachia asali yetu twala kwa raha zetu huku tukiling'ong'a shetani lile na wafuasi wake waabudia kaburi
Suala la kufa ndo unalisherehekea?

Sawa mkuu!
 
Yani hii nchi ina vijana wa hovyo kabisa yani watu wanakaa wanawaza kuandika mabaya tu ya marehemu kweli.wanaongozwa na mtumishi wa mungu kweli hio ni akili ya kimatope.ukitafakari wao wamefanya nini kuanzia kwenye familia zao huko na majumbani mwao wamefanya nini.
Usiingilie uhuru wa watu. Hata wewe na genge lenu mpo huru kuandika yale mnayoona mazuri.
Hamna cha kutufanya, Msiba mwenyewe kaufyata, nn wewe
 
Hachafuki mara mbili.
All in all ni furaha iso kifani kuendelea na maisha yetu bila ya yule shetani muovu
Bahati mbaya kabisa huna unachoweza kuelezea kwa nini upo mpaka sasa!
 
Waswahili Wana Maneno Sana Ila Kwa Hili

LIPO WAZI R.I.P MWAMBA WA AFRICA JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI.
 
Back
Top Bottom