Utaondolewaje kazini bila barua. Ni nani mjinga ataacha kwenda ofisini bila official notice. Ukiona hivyo ujue hukustahili kuwepo ofisini.Kuna tangazo linasema wale wote walioondolewa kazini kwa uonevu (bila barua) kuanzia 2016-2021 warudi kazini. HUU NI USHAHIDI YULE SHETANI ALIONEA NA KUUMIZA SANA WATU
Kwa hiyo mafisadi wote walikuwa ni CHADEMA tu?"Magufuli atabaki raisi aliyesambaratisha mafisadi papa na kufanya mambo ambayo mafisadi hao walihisi hakuna atakayeweza kuyafanya, kwa kizungu tunaita "Wonders"
Alifanya the inverse ya awamu ya 4 na ndio maana washenzi wengi waliteseka. Wengi waliokuwa wanalia chungu ya awamu ya 5 ni wezi matapeli, wanyonyaji na janja janja. Walikatiwa mirija ya upigaji.
Sasa mwamba hayupo kwao hali ni shwari wanatukana wanavyojiskia ila wakumbuke tu kuwa haitasaidia. Magufuli alikuwa na huruma kwa watu waliostahili huruma na alikuwa kavu kwa watu washenzi. Nitamkumbuka kwa hilo tu.
Kwani wanaolia lia ni CHADEMA au vyeti feki na mafisadiKwa hiyo mafisadi wote walikuwa ni CHADEMA tu?"
Mbona Makonda na Musiba hawalii wakati ni hao ni vyeti feki?Kwani wanaolia lia ni CHADEMA au vyeti feki na mafisadi
Sababu za kiwizi au za kulazimisha uadilifu? Wewe kusimamiwa ufanye majukumu yako kwa ukamilifu ndio kugawa nchi. Acha uquma basiRais wa kwanza kuigawa Tanzania kwa sababu zake za kiwizi wizi na udikteta.
Hawana sababu ya kulia sababu waliishi vizuri na raisiMbona Makonda na Musiba hawalii wakati ni hao ni vyeti feki?
Unaona ulivyo mpumbavu kama Magufuri wako,kugawa Watanzania kwa misingi ya vyama,ukabila na ukanda unaona ni sahihi?Sababu za kiwizi au za kulazimisha uadilifu? Wewe kusimamiwa ufanye majukumu yako kwa ukamilifu ndio kugawa nchi. Acha uquma basi
Na vyeti vyao vefi kwa sababu tu walitokea kanda pendwa.Hawana sababu ya kulia sababu waliishi vizuri na raisi
Wivu wa nini na wewe mwanaume bhana? Chapa kazi kijanaEti sukuma gang wote ni wasomi wakati huko ndiyo kumejaa vyeti feki mfano Bashite,Musiba,Nchemba na Mpina.
We ni fara aisee, komaa na chuki utajenga ghorofa.Unaona ulivyo mpumbavu kama Magufuri wako,kugawa Watanzania kwa misingi ya vyama,ukabila na ukanda unaona ni sahihi?
Hayo ni mawazo yako ni kama sahizi mnavyosema mama kajaza waislamu ilihali na wakristo wengi tu wako serikaliniNa vyeti vyao vefi kwa sababu tu walitokea kanda pendwa.
Hamna shida ila ujumbe umefika.We ni fara aisee, komaa na chuki utajenga ghorofa.
Kwani ni uongo,wewe huoni nchi inavyoelekea shimoni kwa sababu ya udini na jinsia?Hayo ni mawazo yako ni kama sahizi mnavyosema mama kajaza waislamu ilihali na wakristo wengi tu wako serikalini
Lipi kwako ambalo unaweza kushukuru na kuamini michango ya wenzako?Kwani ni uongo,wewe huoni nchi inavyoelekea shimoni kwa sababu ya udini na jinsia?
Panapovuja lazima pasemwe bwashee.Lipi kwako ambalo unaweza kushukuru na kuamini michango ya wenzako?
Hao unaodhani wako serikalini kwa udini, wanaenda ofisini kuendesha Ibada?Panapovuja lazima pasemwe bwashee.
Sawa mkuu endelea hivyo hivyo na maono yako lakini ukweli unabaki palepale.Hao unaodhani wako serikalini kwa udini, wanaenda ofisini kuendesha Ibada?
Akili zenu hizi za kidinikidini, zinatuchelewesha sana hizi!
Mkuu, binafsi yangu, hili suala la udini, Africa limetufanya tuwe nyuma sana! Yaani mtu ni mzuri kichwani na mchapa kazi, asipewe nafasi kwa sababu ya dini yake tu?Sawa mkuu endelea hivyo hivyo na maono yako lakini ukweli unabaki palepale.
Kama umejiapiza kutosama hicho kitabu basi wewe utakuwa mjinga zaidi na kusema kweli hupiganii ustawi wa nchi hii bali unampigania mtu ambaye wengi wanaamini hakuwa timamu kiuongozi. Ungekuwa na akili nzuri, uwelewa wa kutosha na kuamini kwa dhati usahihi wa mtazamo wako ungesoma hicho kitabu na kuja kutuonyesha ujinga wa hao waandishi uko wapi.Nisome ujinga?
Hicho utasoma wewe!Kama umejiapiza kutosama hicho kitabu basi wewe utakuwa mjinga zaidi na kusema kweli hupiganii ustawi wa nchi hii bali unampigania mtu ambaye wengi wanaamini hakuwa timamu kiuongozi. Ungekuwa na akili nzuri, uwelewa wa kutosha na kuamini kwa dhati usahihi wa mtazamo wako ungesoma hicho kitabu na kuja kutuonyesha ujinga wa hao waandishi uko wapi.