Mtaani kuna pesa nyingi sana inayotafuta wahitaji

Mtaani kuna pesa nyingi sana inayotafuta wahitaji

Sasa namuelewa sana JPM !

Jamani mtaani kuna pesa nyingi sana ambayo haina pa kwenda. Inatafuta mwenye uhitaji , ipo nyingi sana.
Haya mahesabu yapo too theoretical kwa maana kuna a lot of assumptions. Mfano hujaongelea logistic challenges. Hujaongelea location ilipo biashara. Hujaongelea situation ambapo biashara haitoki kwa sababu mbali mbali, mfano kuna mvua kali sana. Hujaongelea suala la labour charges kwenye hiyo faida.
 
Sasa namuelewa sana JPM !

Jamani mtaani kuna pesa nyingi sana ambayo haina pa kwenda. Inatafuta mwenye uhitaji , ipo nyingi sana.

Ukiwa mbunifu (creative), mjanja na mhangaikaji hukosi pesa , tena nyingi tu. Ukiumiza kichwa ukachapa kazi (bila ubaguzi) unapata pesa tena kiulaini kabisa.

MAHINDI YA KUCHOMA

Hindi moja nimekuwa nikinunua kwa TZS 50 mpaka 100 shambani kulingana na wingi wake.

Nikishalifikisha mjini umbali wa 20 km nikalichoma , naliuza TZS 500 hadi 600.

Nikinunua mahindi 200 nitauza TZS 120, 000.

Matumizi:

Bei ya kununulia ni TZS 20,000 ; Usafiri 3,000 ; nauli yangu 3, 000 ; mkaa TZS 2,000. JUMLA YA MATUMIZI NI TZS 30,000 per day

Faida = 120,000 - 30,000 = 90,000 per day.


Kwa siku 20 = 1,800,000.


Endelea kudai kupandishwa madaraja na nyongeza ya mshahara mpaka Yesu arudi.
Acha undezi, mahindi hayo unaenda kununua wapi? Mahindi watu wananunua Tandale (mahindi mabichi) au stereo. Kuke hakuna mahindi ya sh 50. Acha Usijifanye mjuajuji
 
Sasa namuelewa sana JPM !

Jamani mtaani kuna pesa nyingi sana ambayo haina pa kwenda. Inatafuta mwenye uhitaji , ipo nyingi sana.

Ukiwa mbunifu (creative), mjanja na mhangaikaji hukosi pesa , tena nyingi tu. Ukiumiza kichwa ukachapa kazi (bila ubaguzi) unapata pesa tena kiulaini kabisa.

MAHINDI YA KUCHOMA

Hindi moja nimekuwa nikinunua kwa TZS 50 mpaka 100 shambani kulingana na wingi wake.

Nikishalifikisha mjini umbali wa 20 km nikalichoma , naliuza TZS 500 hadi 600.

Nikinunua mahindi 200 nitauza TZS 120, 000.

Matumizi:

Bei ya kununulia ni TZS 20,000 ; Usafiri 3,000 ; nauli yangu 3, 000 ; mkaa TZS 2,000. JUMLA YA MATUMIZI NI TZS 30,000 per day

Faida = 120,000 - 30,000 = 90,000 per day.


Kwa siku 20 = 1,800,000.


Endelea kudai kupandishwa madaraja na nyongeza ya mshahara mpaka Yesu arudi.

Huyo anayeomba kupandishwa daraja (Mwalimu) kwa hiyo aache kufundisha aje kuchoma mahindi siyo? Ngoja tuache kazi tuje kuchoma mahindi alafu tuone watoto wetu watafundishwa na nani
 
Sasa namuelewa sana JPM !

Jamani mtaani kuna pesa nyingi sana ambayo haina pa kwenda. Inatafuta mwenye uhitaji , ipo nyingi sana.

Ukiwa mbunifu (creative), mjanja na mhangaikaji hukosi pesa , tena nyingi tu. Ukiumiza kichwa ukachapa kazi (bila ubaguzi) unapata pesa tena kiulaini kabisa.

MAHINDI YA KUCHOMA

Hindi moja nimekuwa nikinunua kwa TZS 50 mpaka 100 shambani kulingana na wingi wake.

Nikishalifikisha mjini umbali wa 20 km nikalichoma , naliuza TZS 500 hadi 600.

Nikinunua mahindi 200 nitauza TZS 120, 000.

Matumizi:

Bei ya kununulia ni TZS 20,000 ; Usafiri 3,000 ; nauli yangu 3, 000 ; mkaa TZS 2,000. JUMLA YA MATUMIZI NI TZS 30,000 per day

Faida = 120,000 - 30,000 = 90,000 per day.


Kwa siku 20 = 1,800,000.


Endelea kudai kupandishwa madaraja na nyongeza ya mshahara mpaka Yesu arudi.
Aisee try to be realistic maisha au hustling haiko hivyo naona unajihakikishia kwamba soko liko poa kila siku hakuna ushindani wala changamoto yoyote.
Kwa hiyo hesabu yako hapo juu ni wazi biashara huifahamu vizuri ungeleta hoja yako kama pendekezo ili upate mawazo badala ya kuileta kama conclusion...
 
Utakuwa uko frustrated na kadigrii wewe kachape kazi pesa ipo, jifunze uthubutu.
Aisee hautafuti hela peke yako wote tunatafuta na tunapata ila huwezi kujiamulia faida iwe inafanana kila siku huo ni mshahara sio kazi ndugu
 
Sasa namuelewa sana JPM !

Jamani mtaani kuna pesa nyingi sana ambayo haina pa kwenda. Inatafuta mwenye uhitaji , ipo nyingi sana.

Ukiwa mbunifu (creative), mjanja na mhangaikaji hukosi pesa , tena nyingi tu. Ukiumiza kichwa ukachapa kazi (bila ubaguzi) unapata pesa tena kiulaini kabisa.

MAHINDI YA KUCHOMA

Hindi moja nimekuwa nikinunua kwa TZS 50 mpaka 100 shambani kulingana na wingi wake.

Nikishalifikisha mjini umbali wa 20 km nikalichoma , naliuza TZS 500 hadi 600.

Nikinunua mahindi 200 nitauza TZS 120, 000.

Matumizi:

Bei ya kununulia ni TZS 20,000 ; Usafiri 3,000 ; nauli yangu 3, 000 ; mkaa TZS 2,000. JUMLA YA MATUMIZI NI TZS 30,000 per day

Faida = 120,000 - 30,000 = 90,000 per day.


Kwa siku 20 = 1,800,000.


Endelea kudai kupandishwa madaraja na nyongeza ya mshahara mpaka Yesu arudi.
Watu Kama Hawa awe TRA halafu aje kwenye biashara yako akukadilie Kodi.
Haki ya Mungu lazima ufunge biashara!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
.....unataka kutuambia ni mahindi tu, ndio yenye uwezo wa kumfanya mtu atoboe na asiwaze vidaraja?....hongera, lakini kumbuka kuna watu wanafanya deal nyngne wanapata mafanikio na kufelia pia. So, kama lengo lako ni kutufunza uthubutu umefanikiwa kwa asilimia 90. Lakini kama lengo lako ni kutuaminisha utajiri upo hapo, binafsi najiweka pembeni kama 20percent. Afterall,....fursa hutegemea mahitaji, mazingira, n.k,pengine huko uliko mazingira yamekuleta kwenye neema ya mahindi ya kuchoma.
 
Back
Top Bottom