Mtaani Serikali ya Rais Samia inapoteza uungwaji mkono kwa kasi ya kutisha

Mtaani Serikali ya Rais Samia inapoteza uungwaji mkono kwa kasi ya kutisha

Hii sasa hatari, 10k nzima? Tunakoenda sio poa hata kidogo..

Update nimepewa bei ya mihan...51,000...stupeeed!

Kwenye construction wametangaza bei za bidhaa zinapanda tena kuanzia leo. Kuna agent inabidi nimcheki nipate uhakika

Futseke!![/Color]
Ndio mtajua sasa aliyekuwa katili na anayepakaziwa ubaya na huyu mshika uskani mrithi wake nani mtu!
 
Ndio mtajua sasa aliyekuwa katili na anayepakaziwa ubaya na huyu mshika uskani mrithi wake nani mtu!
Bi mkubwa kapoteana hakyanani. Hakutaka kodi za dhulma, sijui hiki ni nini, anagusa maisha ya watu kwa njia hasi, sio poa mzee!

Anaupiga mwingi kiutopolo[emoji23][emoji23]
 
Mwisho:
Ndugu rais watanzania ni wapole sana lakini wakikuchukia watakuchukia kwelikweli. TENDA HAKI NA EPUKA UONEVU ili ukistaafu wakukumbuke kwa wema la sivyo watakunyanyapaa sana, Haya madaraka huwa yanaisha na yanapita usijisahau sana![emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1533][emoji1547]
 
Kuna kakijiji jirani na nilipo bei viazi mviringo imeshuka toka 50elfu mpaka 14000 na mbolea naadawa walinunua ghali sana. Wanasema mama kahusika kupolomosha bei ya zao lao. Ukiongea habari za Bi mdashi unaweza pigwa kwenu likarudi jina tu.
 
Kusema ukweli harakati na mikakati ya kisiasa inayoendelea hapa JF dhidi ya serikali ingekuwa ndio ina akisi hali halisi za huko mitaani serikali ya CCM isingekuwa madarakani.....iwe kwa kupinduliwa na wananchi au kwa kuondolewa na makaratasi ya kura.
 
Amepoteza mvuto sana nakuambia. Nafasi hiyo ni kubwa sana kwake anashindwa kuihimili
Acha uwongo...mama anajitahidi kuongoza..anatosha na atapata mafanikio ya kiuongozi. Kikubwa raia tumpe ushirikiano na tumuombee kila wakati
 
Hii sasa hatari, 10k nzima? Tunakoenda sio poa hata kidogo..

Update nimepewa bei ya mihan...51,000...stupeeed!

Kwenye construction wametangaza bei za bidhaa zinapanda tena kuanzia leo. Kuna agent inabidi nimcheki nipate uhakika

Futseke!![/Color]
Watz hawana tabu we wapandishie hata laki watarudi kwenye mkaa hamna tabu
 
Watu waliopunguza mkaa na kuni sababu gesi ilikuwa ni nafuu
 
Team Sukuma Gang:
!. Mwigu.
2. Greyson Msig....
3 Mollel na wengine hawaskizi hilo, wao wanapandikiza chuki ili 2025 MADELU amuangushe SSH.
 
Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!...
Kuhusu tozo watanzania walio wengi wameelewa faida ya tozo.
watanzania wengi wanataka watoto wao wapate vyumba vya madarasa, madawati, matuidi ya vyoo, maji.
Hospitali vijijini, dawa na barabara zenye kupitika.

Watanzania wengi hawafurahishwi na siasa za kichochezi na zenye lengo la kuvunja amani ya nchi yetu zinazo endeshwa na viongozi wa chadema.
hivyo watanzania wengi wanataka Jeshi la polisi na vyombo vyote vya ulinzi na usalama kuchukua hatua madhubuti bila kusita kwa wanaharakati au wanasiasa ambao wanajaribu kuvuruga amani ya nchi.

Watanzania wengi wamefurahishwa sana na jitihada za Rais namna alivyo lishughulikia janga la COVID 19 kitaalamu, na kuchukua hatua zinazo endana na maelekezo ya WHO na kisha kupokea chanjo zilizo thibitishwa kitaalamu na pia yeye binafsi kuonyesha mfano wa kuchomwa chanjo.
watanzania wote tupo tayari kuchanjwa.

Hongera sana kwa Rais Samia kwa kuchukua hatua kwa kila jambo kwa utulivu na umakini.
 
Kuhusu tozo watanzania walio wengi wameelewa faida ya tozo.
watanzania wengi wanataka watoto wao wapate vyumba vya madarasa, madawati, matuidi ya vyoo, maji...
Wewe unaleta propaganda za Mwigulu na Shaka Abdu Shaka
 
Acha uwongo...mama anajitahidi kuongoza..anatosha na atapata mafanikio ya kiuongozi. Kikubwa raia tumpe ushirikiano na tumuombee kila wakati
Anaongoza nini? Amefanya nini mpaka sasa? Au anakimbizana na muda bila kujali maumivu ya wananchi ndio unaona anaongoza?

Nifupishe tu, mama hana karama ya uongozi. Angebaki nyumbani kumpikia mumewe. Huwezi jiita kiongozi alafu ukawa unapuuza sauti za wananchi. Hivi anadhani hivi vilio watu wanaigiza au? Hali za watu ni mbaya sana
 
Hamna kitu hapo,kama mtu anafanya jihudi kubwa kuua uchumi wa watu kwa Kodi za kitapeli unadhani anafaa kuongoza?Tumepigwa .Eti wanatetea tunataka kijenga vituo vya afya Sasa kazi ya bajeti ni nini? CCM nchi imewashinda na mmeshapata laana kwa kizidi kuwaumiza Wananchi na ipo siku mtalipa .
 
Huyu mama hakua tayari kushika nafasi hiyo nyeti. Mambo ya mipasho kwenye maisha ya watu ni sumu.

Amini nakuambia hakuna hata mmoja anayemuunga mkono. Sio ccm wenzake sio sisi tusio na chama sio kwa wapinzani.

Amegusa pabaya sana tena wakati mbaya ambao watu wanahangaika wapate japo mlo mmoja
Ndo maana tunaona Kama ni Kivuli kuna mtu anamuongoza kwa kumpoteza yaani Kama Hana kauli vilee
Halafu it seems wanamshika Masikio abadili maamuzi ambayo instinct zake zinamwambia ni sahihi, lakini wahafidhina wanamwambia komaa hivyohivyo!
Naamini kwenye miamala akina Mpango, Mwigulu na Ndugai watakuwa wamemshawishi arudi nyuma
Ahahahaaa alaf hawa jamaa sijaona wanachanja
 
Mitaa ipi??Huku nnapokaa watu hawajadili siasa kabisa..hawana hata time na mijadala..

Ukiingia JF ndo unakuta malalamiko tele..

Huku mitaani no body cares that much
Ila wee jamaa so mpaka tozo kwao sio issue Sasa wamepewa Ubongo wakazi Gani watu wa hivyo uti wa mgongo tu ungewatosha
 
Back
Top Bottom