Ndio mtajua sasa aliyekuwa katili na anayepakaziwa ubaya na huyu mshika uskani mrithi wake nani mtu!Hii sasa hatari, 10k nzima? Tunakoenda sio poa hata kidogo..
Update nimepewa bei ya mihan...51,000...stupeeed!
Kwenye construction wametangaza bei za bidhaa zinapanda tena kuanzia leo. Kuna agent inabidi nimcheki nipate uhakika
Futseke!![/Color]
Bi mkubwa kapoteana hakyanani. Hakutaka kodi za dhulma, sijui hiki ni nini, anagusa maisha ya watu kwa njia hasi, sio poa mzee!Ndio mtajua sasa aliyekuwa katili na anayepakaziwa ubaya na huyu mshika uskani mrithi wake nani mtu!
na huu ndio uhalisiaMitaa ipi??Huku nnapokaa watu hawajadili siasa kabisa..hawana hata time na mijadala..
Ukiingia JF ndo unakuta malalamiko tele..
Huku mitaani no body cares that much
Acha uwongo...mama anajitahidi kuongoza..anatosha na atapata mafanikio ya kiuongozi. Kikubwa raia tumpe ushirikiano na tumuombee kila wakatiAmepoteza mvuto sana nakuambia. Nafasi hiyo ni kubwa sana kwake anashindwa kuihimili
Watz hawana tabu we wapandishie hata laki watarudi kwenye mkaa hamna tabuHii sasa hatari, 10k nzima? Tunakoenda sio poa hata kidogo..
Update nimepewa bei ya mihan...51,000...stupeeed!
Kwenye construction wametangaza bei za bidhaa zinapanda tena kuanzia leo. Kuna agent inabidi nimcheki nipate uhakika
Futseke!![/Color]
Kuhusu tozo watanzania walio wengi wameelewa faida ya tozo.Salamu zimfikie ndugu Samia
Huku mtaani ndugu rais kuna malalamiko, wananchi wanasema hawakusomi, hawakuelewi, na nitakueleza nilichosikia huku mtaani!...
Wewe unaleta propaganda za Mwigulu na Shaka Abdu ShakaKuhusu tozo watanzania walio wengi wameelewa faida ya tozo.
watanzania wengi wanataka watoto wao wapate vyumba vya madarasa, madawati, matuidi ya vyoo, maji...
Anaongoza nini? Amefanya nini mpaka sasa? Au anakimbizana na muda bila kujali maumivu ya wananchi ndio unaona anaongoza?Acha uwongo...mama anajitahidi kuongoza..anatosha na atapata mafanikio ya kiuongozi. Kikubwa raia tumpe ushirikiano na tumuombee kila wakati
ana akili za kisinda, anapitiliza goliSamia anaupiga mwingi kiutopolotopolo. Hajui hata goli lipo wapi.
Anaenda Rwanda leo?Mama ana ziara ya siku mbili kwa Kagame kuanzia leo ...
Miamala yenu hukooo!
Ndo maana tunaona Kama ni Kivuli kuna mtu anamuongoza kwa kumpoteza yaani Kama Hana kauli vileeHuyu mama hakua tayari kushika nafasi hiyo nyeti. Mambo ya mipasho kwenye maisha ya watu ni sumu.
Amini nakuambia hakuna hata mmoja anayemuunga mkono. Sio ccm wenzake sio sisi tusio na chama sio kwa wapinzani.
Amegusa pabaya sana tena wakati mbaya ambao watu wanahangaika wapate japo mlo mmoja
Ahahahaaa alaf hawa jamaa sijaona wanachanjaHalafu it seems wanamshika Masikio abadili maamuzi ambayo instinct zake zinamwambia ni sahihi, lakini wahafidhina wanamwambia komaa hivyohivyo!
Naamini kwenye miamala akina Mpango, Mwigulu na Ndugai watakuwa wamemshawishi arudi nyuma
Ila wee jamaa so mpaka tozo kwao sio issue Sasa wamepewa Ubongo wakazi Gani watu wa hivyo uti wa mgongo tu ungewatoshaMitaa ipi??Huku nnapokaa watu hawajadili siasa kabisa..hawana hata time na mijadala..
Ukiingia JF ndo unakuta malalamiko tele..
Huku mitaani no body cares that much