Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Mtabirie mwana JF yeyote umri wake na mishe yake,na muonekano wake

Kijana kijana

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
2,546
Reaction score
2,621
Naanza

Madame B -huyu ni kati ya 28-35 mchakarikaji hapendi kuajiriwa ajiriwa,huyu suruali anavaa sana

Mzigua90 - huyu ni kati ya 25 - 29 huyu ni muajiriwa wa kampuni binafsi,anajipenda sana some times anatoka na baibui,some times kiujana zaidi

Miss Natafuta - huyu ni 28- 34 huyu atakuwa anapewa shavu na mwanaume flani na kadata kweli kweli na kampa mtaji bibiye na kujiajiri,huyu dada kwa mawigi balaa

Mwifwa - hili jembe ni kati ya 30 -35 na ni mtu wa ofisi sana anapenda kuchomekea na kuwa smart na suruali za vitambaa,hapendi nywele kubwa

chaliifrancisco - huyu ni kati ya 22 -26 ni mshkaji yupo kitaa anapiga madili ,ni mtu wa jeans sana na raba alafu anapenda kufuga nywele.

FaizaFoxy mama letu - huyu ni kati ya 58 - 68 anakula pensheni japo hakustaafu ila ana matunda ya uzeeni,anavaa simple tu hana shangwe nyingi,anasuka mangongo tu hana habari ya mawigi.

Endeleeaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana;Yuko above 44-48,alikuwa mwaajiriwa wa jeshi la Magereza na amaeacha akiwa na cheo cha juu kiasi,mzaliwa wa Upareni ,kwa sasa ni mjasiliamali wa kati na anafanya shughuli za ufugaji hasa wa kuku na nguruwe,yuko smart mzee wa kuchomekea na suti mara chachechache,ameoa na ana watoto 3 wa kwanza wa kike yuko kidato cha nne. Baada ya kazi upata moja mbili na uwahi nyumbani kujumuika na familia,hajawahi kukosa chakula cha usiku na familia yake anayoipenda sana akiwa maeneo ya home,ni baba wa mfano

Over
Hahahahahah,karibu bro nimekubamba!!!!!
Naanza

Madame B -huyu ni kati ya 28-35 mchakarikaji hapendi kuajiriwa ajiriwa,huyu suruali anavaa sana

Mzigua90 - huyu ni kati ya 25 - 29 huyu ni muajiriwa wa kampuni binafsi,anajipenda sana some times anatoka na baibui,some times kiujana zaidi

Miss Natafuta - huyu ni 28- 34 huyu atakuwa anapewa shavu na mwanaume flani na kadata kweli kweli na kampa mtaji bibiye na kujiajiri,huyu dada kwa mawigi balaa

Mwifwa - hili jembe ni kati ya 30 -35 na ni mtu wa ofisi sana anapenda kuchomekea na kuwa smart na suruali za vitambaa,hapendi nywele kubwa

chaliifrancisco - huyu ni kati ya 22 -26 ni mshkaji yupo kitaa anapiga madili ,ni mtu wa jeans sana na raba alafu anapenda kufuga nywele.

FaizaFoxy mama letu - huyu ni kati ya 58 - 68 anakula pensheni japo hakustaafu ila ana matunda ya uzeeni,anavaa simple tu hana shangwe nyingi,anasuka mangongo tu hana habari ya mawigi.

Endeleeaaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana;Yuko above 44-48,alikuwa mwaajiriwa wa jeshi la Magereza na amaeacha akiwa na cheo cha juu kiasi,mzaliwa wa Upareni ,kwa sasa ni mjasiliamali wa kati na anafanya shughuli za ufugaji hasa wa kuku na nguruwe,yuko smart mzee wa kuchomekea na suti mara chachechache,ameoa na ana watoto 3 wa kwanza wa kike yuko kidato cha nne. Baada ya kazi upata moja mbili na uwahi nyumbani kujumuika na familia,hajawahi kukosa chakula cha usiku na familia yake anayoipenda sana akiwa maeneo ya home,ni baba wa mfano

Over
Hahahahahah,karibu bro nimekubamba!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeeeeeeeeeeeeeeeee.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom