Mtacheza tena na Coast kugombea ile ile nafasi yenu ya tatu

Mtacheza tena na Coast kugombea ile ile nafasi yenu ya tatu

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Wanetu mjue kesho asubuhi mnatakiwa kuwahi Lupaso kufanya usafi kwa sababu Jumapili tunataka kupigi Ndiki na Wauza ukwaju, japo na nyie mtausunda kidogo Uwanja mkicheza Fainali yenu ya LAWI CUP nane kamili mchana wa jua kali la Utosi 😂


Utofauti Ulianzia Hapa…

Mfadhili Wenu: Naomba Kumtambulisha Dada Yangu 😂

Mfadhili Wetu: Yanga Bingwa 😂💪🏿

Cc ephen_
 
Wanetu mjue kesho asubuhi mnatakiwa kuwahi Lupaso kufanya usafi kwa sababu Jumapili tunataka kupigi Ndiki na Wauza ukwaju, japo na nyie mtausunda kidogo Uwanja mkicheza Fainali yenu ya LAWI CUP nane kamili mchana wa jua kali la Utosi 😂


Utofauti Ulianzia Hapa…

Mfadhili Wenu: Naomba Kumtambulisha Dada Yangu 😂

Mfadhili Wetu: Yanga Bingwa 😂💪🏿

Cc ephen_
Mkuu Vincenzo Jr hautendi haki rafiki ,asubuhi yote naamka walau niangalie kijiwe kinasemaje ndiyo nakuta kashfa na minango 😭
 
IMG_5788.jpeg

Makolo wakiingia uwanjani saa 6 mchana kwenye mechi yao ya mshindi wa 3 wa ngao ya jamii 🤣🤣
 
Wanetu mjue kesho asubuhi mnatakiwa kuwahi Lupaso kufanya usafi kwa sababu Jumapili tunataka kupigi Ndiki na Wauza ukwaju, japo na nyie mtausunda kidogo Uwanja mkicheza Fainali yenu ya LAWI CUP nane kamili mchana wa jua kali la Utosi 😂


Utofauti Ulianzia Hapa…

Mfadhili Wenu: Naomba Kumtambulisha Dada Yangu 😂

Mfadhili Wetu: Yanga Bingwa 😂💪🏿

Cc ephen_
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom