Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndioLooser fc wanakutana kesho
Amejifunza kwa Mo, anaweka mkono na jina lake katikati kwenye jezi na makolo yanavaa kama mazuzu.Halafu AYO alivyo mkorofi jina lake kalibandika katikati kabisa 😁😁😁
Ndio ndioWanacheza mchana jua kali
Kama mashindano ya umiseta
Malizia kabisa sema anaweka katikati ya kalio🤣🤣🤣Amejifunza kwa Mo, anaweka mkono na jina lake katikati kwenye jezi na makolo yanavaa kama mazuzu.
Shemeji yako anazo hizo jezi nitasemaje?Malizia kabisa sema anaweka katikati ya kalio🤣🤣🤣
Nasikia saa nane ni trela saa moja ndo kuna gameYanga na Azam saa Moja usiku
Simba na lawi saa 8 jua la utosini
Ndio ndio hapo saa 8 Kuna wafagia uwanja jua kaliii la utosiniNasikia saa nane ni trela saa moja ndo kuna game
Kabisa ndio nafasi yaoMsimu ndio una anza watu wanagombania nafasi ya tatu
Ahmed mdomo wake unawaponza sana vijana🤣🤣View attachment 3065828
Ubaya ubwela 😂😁😁
Kabisa Mkuu 😁😂Ahmed mdomo wake unawaponza sana vijana🤣🤣
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa Lawi Cup ndani ya jua la utosi dadadeki.Wanetu mjue kesho asubuhi mnatakiwa kuwahi Lupaso kufanya usafi kwa sababu Jumapili tunataka kupigi Ndiki na Wauza ukwaju, japo na nyie mtausunda kidogo Uwanja mkicheza Fainali yenu ya LAWI CUP nane kamili mchana wa jua kali la Utosi 😂
Utofauti Ulianzia Hapa…
Mfadhili Wenu: Naomba Kumtambulisha Dada Yangu 😂
Mfadhili Wetu: Yanga Bingwa 😂💪🏿
Cc ephen_
Waacheni tunaona mwanga fc msiwaseme seme kiasi hiki.Msimu ndio una anza watu wanagombania nafasi ya tatu
Toeni tamko mnacheza au hamchezi?Kwa katumizi ya neno NDIKI inaonekana ni mtu mzima sana aka mzee, lakini hovyoo
Kabisa waseme wanakuja au hawaji kwenye jua la utosiToeni tamko mnacheza au hamchezi?