Mtacheza tena na Coast kugombea ile ile nafasi yenu ya tatu

Mtacheza tena na Coast kugombea ile ile nafasi yenu ya tatu

Ile clip Kamwe akiuliza je wamependeza hawajapendeza nafasi ya tatu mwenye nayo please atupie humu, na ile clip mh waziri akisakata wimbo wa Yanga Africa wa Pepe Kalle baada ya khamsa!!
 
Wanetu mjue kesho asubuhi mnatakiwa kuwahi Lupaso kufanya usafi kwa sababu Jumapili tunataka kupigi Ndiki na Wauza ukwaju, japo na nyie mtausunda kidogo Uwanja mkicheza Fainali yenu ya LAWI CUP nane kamili mchana wa jua kali la Utosi 😂


Utofauti Ulianzia Hapa…

Mfadhili Wenu: Naomba Kumtambulisha Dada Yangu 😂

Mfadhili Wetu: Yanga Bingwa 😂💪🏿

Cc ephen_
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa Lawi Cup ndani ya jua la utosi dadadeki.
 
Back
Top Bottom