Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
mfunde mchumba wako sasahivi yanga hatuongei sana!Nipe ratiba ya mechi hizo mbili
Wewe nani wa kumwambia maneno hayo?π€mfunde mchumba wako sasahivi yanga hatuongei sana!
Yanga na Azam saa Moja usikuNipe ratiba ya mechi hizo mbili
Toa maelezo ni siku ganiYanga na Azam saa Moja usiku
Simba na lawi saa 8 jua la utosini
punguza makasirikoWewe nani wa kumwambia maneno hayo?π€
Kesho jumapiliToa maelezo ni siku gani
Mkuu Vincenzo Jr hautendi haki rafiki ,asubuhi yote naamka walau niangalie kijiwe kinasemaje ndiyo nakuta kashfa na minango πWanetu mjue kesho asubuhi mnatakiwa kuwahi Lupaso kufanya usafi kwa sababu Jumapili tunataka kupigi Ndiki na Wauza ukwaju, japo na nyie mtausunda kidogo Uwanja mkicheza Fainali yenu ya LAWI CUP nane kamili mchana wa jua kali la Utosi π
Utofauti Ulianzia Hapaβ¦
Mfadhili Wenu: Naomba Kumtambulisha Dada Yangu π
Mfadhili Wetu: Yanga Bingwa ππͺπΏ
Cc ephen_
ππ€£π€£π€£π€£πππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£πππView attachment 3065794
Makolo wakiingia uwanjani saa 6 mchana kwenye mechi yao ya mshindi wa 3 wa ngao ya jamii π€£π€£
π€£π€£π€£π€£Wanetu mjue kesho asubuhi mnatakiwa kuwahi Lupaso kufanya usafi kwa sababu Jumapili tunataka kupigi Ndiki na Wauza ukwaju, japo na nyie mtausunda kidogo Uwanja mkicheza Fainali yenu ya LAWI CUP nane kamili mchana wa jua kali la Utosi π
Utofauti Ulianzia Hapaβ¦
Mfadhili Wenu: Naomba Kumtambulisha Dada Yangu π
Mfadhili Wetu: Yanga Bingwa ππͺπΏ
Cc ephen_
Nimemuona daktari akeeee..! Dr Restart
π€£ππNimemuona daktari akeeee..! Dr Restart
Usisahau kunitag kwenye mavochaaaaπ€£ππ
Halafu AYO alivyo mkorofi jina lake kalibandika katikati kabisa πππView attachment 3065794
Makolo wakiingia uwanjani saa 6 mchana kwenye mechi yao ya mshindi wa 3 wa ngao ya jamii π€£π€£
Ndio ndio πUsisahau kunitag kwenye mavochaaaa