1ndazMaterial
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 161
- 175
Ya mungu bhna mrelax tu , bi swala la muda tu we’ll bi bck
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
woooiii,Sie kama utopolo hatukutambui
Labla uhamie Azam😂😂😂
Sina undugu na watu wa uto.
KwendraaaaSina undugu na watu wa uto.
Niipeleke wapi? Baki nayoKwendraaaa
We beba pole tu maana Simba hamna kitu mnafanya kipindi hiki
Niipeleke wapi? Baki nayo
Nyie labla mtengeneze ka team kenu wenyewe😂😂😂hakuna mtu anaweza kuwakubali aiseeeewoooiii,
Kuna Mbeya City, kuna Ihefu, kuna Singida Big Stars, wasiwasi wa nini mama..?
Mwaka huu acha tufunge midomo.Simba mna gubu na bado😆
Hi mtani...
Waone mnavyojitekenya na kucheka😂😂Mwaka huu acha tufunge midomo.
Nendeni mkashinde kombe lenu la Losers
Duh!. Uto unanikosea sana kuniita hilo jinaWaone mnavyojitekenya na kucheka😂😂
Ulivyo serious mtu hawezi amini ni kolo😆
Asante, niliona unatembeza likes tu nikaona ngoja nikufukunyuewe mi mwananchii bhana💚, naanzajee kwanza kuwa shabiki wa simba
Mnaturuka sana mwaka huu.we mi mwananchii bhana💚, naanzajee kwanza kuwa shabiki wa simba