Mtaje JF member ambaye ni rafiki yako huko mtaani

Bonge la hausi boi tena?....niskukamate
 
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Mimi na Asprin wapi na wapi kwa mfano!!!
Hilo janga la Rombo nilipeleke wapi mimi. Muda wote anatetemeka, hana hata nguvu.
We ringia tu huyo chura wako wa kichina...
 
Watu wakiona hiyo avatar yako wanaweza kufikiri kuwa wewe siyo demu mkali na wakaacha kuja pm kumbe ukute wewe ni mkali kama kawa!Haya mambo ya avatar bhana!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji107][emoji107][emoji107] mie km kawa nakureport kwa sky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…