Mtaje JF member ambaye ni rafiki yako huko mtaani


' Eagle Wing House Agent ' Kazini. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
We tk kweli, nikija hapo jamaa yako si anajifanyaga yuko serious sjuw anafkir mi naww tna mahusiano gani, ushamba tu!
Kwa hiyo akiwa serious ndiyo unaogopa? Zombi kweli wewe, ukaanza kuwa mwoga lini? [emoji23][emoji23][emoji23]tatizo umemzidi uhendisome ndiyo maana ana hofu.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Kwa hiyo akiwa serious ndiyo unaogopa? Zombi kweli wewe, ukaanza kuwa mwoga lini? [emoji23][emoji23][emoji23]tatizo umemzidi uhendisome ndiyo maana ana hofu.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Anhaa...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umesema?
Mwanamke hachepuki, huwa tunatoa huduma tuu.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Astaghafurulilah...

Sasa hebu fanya mpango niwe tajiri... kuna mzinzi moja naona avatar yako inamzengua... kanambia nikifanikiwa kumpa namba zako za simu atanilipa mabasi matatu kama Dar Lux.
 
Kwa hiyo akiwa serious ndiyo unaogopa? Zombi kweli wewe, ukaanza kuwa mwoga lini? [emoji23][emoji23][emoji23]tatizo umemzidi uhendisome ndiyo maana ana hofu.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Yerewi, nimeanza lini kuwa handsome? Ujue sijamaliza kazi ya watu kama ndiyo unanishawishi na ile safari potezea tu kwanza, nisje nikatafuna pesa zote halaf ukawa mtihani!
 
Astaghafurulilah...

Sasa hebu fanya mpango niwe tajiri... kuna mzinzi moja naona avatar yako inamzengua... kanambia nikifanikiwa kumpa namba zako za simu atanilipa mabasi matatu kama Dar Lux.
Mzee wa mipango[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kama wewe utapewa hayo magari matatu kwa kumpa namba tuu, Mimi nikimwita bebi si nitahongwa dunia. Kwa heri umaskini.
Sasa namba yangu ngoja nikutumie pm.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Yerewi, nimeanza lini kuwa handsome? Ujue sijamaliza kazi ya watu kama ndiyo unanishawishi na ile safari potezea tu kwanza, nisje nikatafuna pesa zote halaf ukawa mtihani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani nipotezee safari tena. Kwanza ngoja nikupigie simu tumalizie hiyo kazi ya watu pamoja. Pesa kutafuna muhimu[emoji23][emoji23].
Wewe ni hendisam toka kitambo yaani. Tena Bonge la HB.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…