Mtaje member mmoja unayetamani kujua maisha yake kiundani

Mtaje member mmoja unayetamani kujua maisha yake kiundani

Aiseeeeeeeehh!! inafikirisha sana



Cc Smart911
Hilo ni kweli kabisa aisee. Kuna mrembo mmoja humu tulikuja kujuana sasa ile process ya kuja kujuana humu mpaka kesho nikikumbuka huwa bado natabasamu kwa jinsi alivyo muoga na kabla hatujafahamiana alidhani nimetumwa na mume wake kumfuatilia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila ni bomba sana, muungwana na mstaarabu sana pia yuko vizuri sana na tuliwahi kuwa majirani na mimi nilikuwa nawafahamu kwao wote na tulisoma shule moja ya msingi na yeye ndiye muasisi wa kuitana “jirani” hapa jamvini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanadamu huwa hasomeki kama mnyama alivyo yaani leo utamfahamu kwa tabia hii kesho ni mwingine kabisa,hivyo kutaka details zake nisawa na kuendesha baiskeli ziwani mfano halisi tunaona kwa mzee wa ULIPO TUPO!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marahaba Mkuu
Halafu unaniita mkuu unataka kuninyima nini eti....

Niko hapa, nani iko tafuta mimi
Kidogo nikuchukulie rb ya upotevu kwenye jiji lenu hilo;;; imebidi nirudi kijijini na gunia langu nililolo kuwa nimekuletea kiunyonge sana.
 
Back
Top Bottom