Mtaje member mmoja unayetamani kujua maisha yake kiundani

Aiseeeeeeeehh!! inafikirisha sana



Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanadamu huwa hasomeki kama mnyama alivyo yaani leo utamfahamu kwa tabia hii kesho ni mwingine kabisa,hivyo kutaka details zake nisawa na kuendesha baiskeli ziwani mfano halisi tunaona kwa mzee wa ULIPO TUPO!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marahaba Mkuu
Halafu unaniita mkuu unataka kuninyima nini eti....

Niko hapa, nani iko tafuta mimi
Kidogo nikuchukulie rb ya upotevu kwenye jiji lenu hilo;;; imebidi nirudi kijijini na gunia langu nililolo kuwa nimekuletea kiunyonge sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…