Mtaje member mmoja unayetamani kujua maisha yake kiundani

hii ilikuwa surprise package tu, nilifika mpaka nyumbani kwako ilo komeo ulilo zungusha ili tusikufie wageni mungu pekee ndo analijua.
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Yaani mecheka sana jamanii, mbona hukuniita nilikuwa tuu kwa jirani yangu bana!!
Pole sana jamanii
 
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Yaani mecheka sana jamanii, mbona hukuniita nilikuwa tuu kwa jirani yangu bana!!
Pole sana jamanii
haha we muoga sana; nifungulie then ufunge siku nyingine nikija nisipate usumbufu nilio upata,
 
Hahaha hahaha
Hukuona uzi wake juzi ama?!
Wewe kwani una lile ling'ombe kwani??
Sikufanikiwa, kuna mahala huwa naenda kwenye mihangaiko network sometym inakuwa ya shida Mkuu. ila nimejaribu pitia mwingine unaomuulizia yu wapi da Jane nimepata some hints? ling'ombe siku yako birdey ikifika tu, hahaha afu wewe unafikiri masihara MKUU.
 
Hahaha hahaha hahaha
Sawa mkuu
 



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…