SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,714
Mmh kujua maisha tena hapana bwana
Ila kuna member mmoja humu natamani kujua status yake ya mahusiano nimsabahi kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Ni Mimi nipo single muda mrefu tu karibMmh kujua maisha tena hapana bwana
Ila kuna member mmoja humu natamani kujua status yake ya mahusiano nimsabahi kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni kweli kabisa aisee. Kuna mrembo mmoja humu tulikuja kujuana sasa ile process ya kuja kujuana humu mpaka kesho nikikumbuka huwa bado natabasamu kwa jinsi alivyo muoga na kabla hatujafahamiana alidhani nimetumwa na mume wake kumfuatilia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila ni bomba sana, muungwana na mstaarabu sana pia yuko vizuri sana na tuliwahi kuwa majirani na mimi nilikuwa nawafahamu kwao wote na tulisoma shule moja ya msingi na yeye ndiye muasisi wa kuitana “jirani” hapa jamvini.
Hata mimi ?Wote nawajua maisha yao kiundani
Nimecheka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Nimecheka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya member humu nafahamiana nao vzr hata bia tumeshakunywa pamoja mara nyingi.
Wadada wengi ni waoga humu namm nimeshaelewa kwann [emoji23][emoji23]
Nimekuja Mtu mwenye shoo zake za kibabe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]woiiii
I think madame b only sio muogaKuna baadhi ya member humu nafahamiana nao vzr hata bia tumeshakunywa pamoja mara nyingi.
Wadada wengi ni waoga humu namm nimeshaelewa kwann [emoji23][emoji23]
Wewe tenaaaHata mimi ?
niazime mkeka mimi
wala hata usijali...najua zitakua ni story tu [emoji3][emoji3]Karibu
Ila usilalamike nikikupa story za utawala mzuri wa JPM.. [emoji3]