Wanaume wangapi ulishaenda nao pale ukanywa nao maji tu?
Uyo Mama nimemwacha ICU kuna mgonjwa anamshughulikia......bbade uje pande hizi.
Mmh kujua maisha tena hapana bwana
Ila kuna member mmoja humu natamani kujua status yake ya mahusiano nimsabahi kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina shida,nitamsubiri iwe mvua liwe jua.Uyo Mama nimemwacha ICU kuna mgonjwa anamshughulikia......
Mr Miller pita hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilijua huku hukosiii
Una shida gan una uyo Mama....??Haina shida,nitamsubiri iwe mvua liwe jua.
Wengine?
After all maisha ya watu yakusaidie nini, tukutane apa jamvini tupige stories, kisha kila mtu na 50 zake, kesho tenaHakuna
Sijawahi fanya huo uboya na sitawahi kamwe......kujitambua raha sanaNinyi madogo mna mambo mengi bwana, yani kakitu kadogo tu tayari mshafungua uzi kuponda. Wataacha kuwaogopa kweli ??