🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwali mwenye chura lake
NaitafutaSamahani mkuu...
Hauna kuoti ya kiswahili..??
Ooh basi tu ni imagination mkuu😀 ila kwanini uliamua kujiita joka tena jeusi duh🙌Mkuu sipo hivyo kabisa.
Wanaonijua watakushangaa sanaa.Njoo Pm tubonge.
hiki ni chuma[emoji23]Miguna Miguna
Heee kumbe kanidanganya na picha ya photoshop , Mungu anakuona Joka🙄[emoji16][emoji16][emoji16] amekupa picha ya 'kudanilodi'
[emoji16][emoji16][emoji16] eeh ila usimwambieHeee kumbe kanidanganya na picha ya photoshop , Mungu anakuona Joka[emoji849]
Dah haya 🤔[emoji16][emoji16][emoji16] eeh ila usimwambie
.Huyo ni chuma Cha African juzi kamwambia Trump amtafute atamwapisha kuwa raishiki ni chuma[emoji23]
Dunia inatakiwa iwe na watu kama dr.Miguna[emoji23]..Huyo ni chuma Cha African juzi kamwambia Trump amtafute atamwapisha kuwa rais
🤣🤣🤣 wakipatikana Kama nne Hivi dunia itakuwa safiDunia inatakiwa iwe na watu kama dr.Miguna[emoji23].
akuna kulemba wala kubembeleza[emoji23]