NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Haswaa,jamaa akopeshi,anakupa na hati ya kiapo kabisa,na funguo za ikulu anakukabizi,ushindwe wewe tu[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakipatikana Kama nne Hivi dunia itakuwa safi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa,jamaa akopeshi,anakupa na hati ya kiapo kabisa,na funguo za ikulu anakukabizi,ushindwe wewe tu[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakipatikana Kama nne Hivi dunia itakuwa safi
. Kule kwetu Tanzania Kuna jamaa alikuwa anagombea anaitwa Lisu sijui alikwama wapi kumtafuta miguna migunaHaswaa,jamaa akopeshi,anakupa na hati ya kiapo kabisa,na funguo za ikulu anakukabizi,ushindwe wewe tu[emoji23]
. Kule kwetu Tanzania Kuna jamaa alikuwa anagombea anaitwa Lisu sijui alikwama wapi kumtafuta miguna miguna🤣🤣🤣Haswaa,jamaa akopeshi,anakupa na hati ya kiapo kabisa,na funguo za ikulu anakukabizi,ushindwe wewe tu[emoji23]
Dr.Miguna kama angekuwa bongo mbona kishanuka zamani.. Kule kwetu Tanzania Kuna jamaa alikuwa anagombea anaitwa Lisu sijui alikwama wapi kumtafuta miguna miguna[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣. Miguna miguna Ni shida kwelikweliDr.Miguna kama angekuwa bongo mbona kishanuka zamani.
yani mpaka sahivi ungesikia ujumbe kutoka umoja wa Africa unetua bongo kupoza vurugu na kupendekeza uundwaji wa serikali ya mseto.
ikichuma somchezo[emoji23]
nimtu na nusu[emoji23]
hivi akuna uwezekano wowote wapinzani wa bongo kumsajili Miguna aje kuwapa taf?[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Miguna miguna Ni shida kwelikweli
Bora hata Genta!Da'Vinci Infantry Soldier na GENTAMYCINE wananinyimaga usingizi pimbi hawa.
Yaani nikicomment kwenye post yao nakula kona mazima.
Bora hata Genta!Da'Vinci Infantry Soldier na GENTAMYCINE wananinyimaga usingizi pimbi hawa.
Yaani nikicomment kwenye post yao nakula kona mazima.
au sio ulivozama pm alipokuita ndo ukagundua hilo teh teh!.. sijui na mm nikwambie uzamie kwanguKumbe si joka dear, ni bonge moja la Handsome man aisee[emoji13]
Jokajeusi
uyo ukiipondea serikali ya magufuli na CCM umekwisha, hakuachi salama.Umemsahau Bia Yetu aisee
Hahaa si pm tu hadi tumeonana kabisa, Afu na wewe nakuonaga mzushi kama hilo jina lako😀au sio ulivozama pm alipokuita ndo ukagundua hilo teh teh!.. sijui na mm nikwambie uzamie kwangu
🤣🤣🤣🤣 tatizo Yule mwenyekigoda hataki aelezwe ukuwelihivi akuna uwezekano wowote wapinzani wa bongo kumsajili Miguna aje kuwapa taf?[emoji23]
bila Miguna hapa bongo upinzani utakufa mapema sana,kwa hii hali ya sasa ni hatari sana[emoji23]
ndo nilivyo haswaaa yaani dizaini flani mtu mzushi tu kama nipo kama sipo, fix nyingi kimtindo.Hahaa si pm tu hadi tumeonana kabisa, Afu na wewe nakuonaga mzushi kama hilo jina lako[emoji3]
BAK...
TINDO...
TEAM 666
MSHANA Jr....
THE BOSS....
ERTHYROCYTE...
SKY ECLAT....
provedMkuu sipo hivyo kabisa.
Wanaonijua watakushangaa sanaa.Njoo Pm tubonge.
Nakuheshimu sana Mkuu....aiseee!!
🤔aiseee!!