Mtaje untouchable member

Mtaje untouchable member

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakipatikana Kama nne Hivi dunia itakuwa safi
Haswaa,jamaa akopeshi,anakupa na hati ya kiapo kabisa,na funguo za ikulu anakukabizi,ushindwe wewe tu[emoji23]
 
Haswaa,jamaa akopeshi,anakupa na hati ya kiapo kabisa,na funguo za ikulu anakukabizi,ushindwe wewe tu[emoji23]
. Kule kwetu Tanzania Kuna jamaa alikuwa anagombea anaitwa Lisu sijui alikwama wapi kumtafuta miguna miguna
 
Haswaa,jamaa akopeshi,anakupa na hati ya kiapo kabisa,na funguo za ikulu anakukabizi,ushindwe wewe tu[emoji23]
. Kule kwetu Tanzania Kuna jamaa alikuwa anagombea anaitwa Lisu sijui alikwama wapi kumtafuta miguna miguna🤣🤣🤣
 
Sijui nimewaza nini nilivyosoma neno untouchable 🤔
 
. Kule kwetu Tanzania Kuna jamaa alikuwa anagombea anaitwa Lisu sijui alikwama wapi kumtafuta miguna miguna[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dr.Miguna kama angekuwa bongo mbona kishanuka zamani.
yani mpaka sahivi ungesikia ujumbe kutoka umoja wa Africa unetua bongo kupoza vurugu na kupendekeza uundwaji wa serikali ya mseto.
ikichuma somchezo[emoji23]
nimtu na nusu[emoji23]
 
Dr.Miguna kama angekuwa bongo mbona kishanuka zamani.
yani mpaka sahivi ungesikia ujumbe kutoka umoja wa Africa unetua bongo kupoza vurugu na kupendekeza uundwaji wa serikali ya mseto.
ikichuma somchezo[emoji23]
nimtu na nusu[emoji23]
🤣🤣🤣. Miguna miguna Ni shida kwelikweli
 
Nadhani ni cyprian musiba
Uzi wowote kumhusu hua unafutwa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Miguna miguna Ni shida kwelikweli
hivi akuna uwezekano wowote wapinzani wa bongo kumsajili Miguna aje kuwapa taf?[emoji23]
bila Miguna hapa bongo upinzani utakufa mapema sana,kwa hii hali ya sasa ni hatari sana[emoji23]
 
Da'Vinci Infantry Soldier na GENTAMYCINE wananinyimaga usingizi pimbi hawa.
Yaani nikicomment kwenye post yao nakula kona mazima.
Bora hata Genta!
Hao wawili uliwataja sio untouchable!
Kila mtu jf kwenye jukwaa la intelligence hakuna anaweza kumtach kiranga na Genta naye hagusiki kiduanzi
Hata humble African Yuko POA sema kazima!
Mshana junior naye haeleweki Ila sio mtu wa kumdharau kwa ulozi wake anataka kufanana na paskali mayala Ila mshana sio wa kijani🤣
 
Da'Vinci Infantry Soldier na GENTAMYCINE wananinyimaga usingizi pimbi hawa.
Yaani nikicomment kwenye post yao nakula kona mazima.
Bora hata Genta!
Hao wawili uliwataja sio untouchable!
Kila mtu jf kwenye jukwaa la intelligence hakuna anaweza kumtach kiranga na Genta naye hagusiki kiduanzi
Hata humble African Yuko POA sema kazima!
Mshana junior naye haeleweki Ila sio mtu wa kumdharau kwa ulozi wake anataka kufanana na paskali mayala Ila mshana sio wa kijani🤣
 
hivi akuna uwezekano wowote wapinzani wa bongo kumsajili Miguna aje kuwapa taf?[emoji23]
bila Miguna hapa bongo upinzani utakufa mapema sana,kwa hii hali ya sasa ni hatari sana[emoji23]
🤣🤣🤣🤣 tatizo Yule mwenyekigoda hataki aelezwe ukuweli
 
Nakuheshimu sana Mkuu....

Hapa si FB...

Sikuliandika jina lako katikati ya Tindo na Mshana Jr...

Jiheshimu tafadhali...hivi hujui PLAGIARISM ni kinyume na ustaarabu?!!!

Mods fanyieni kazi HAYA.....
 
Back
Top Bottom