Mtaje untouchable member

Nani humu ndani hagusiki na anaogopeka kila akitoa comment yake ni ya nguvu haina mjadala.au tuseme kauli yake moja tu inatosha haihitaji ubishi
Kwangu me Ni The boss huyu humzoei zoei kinyanga.
Kwa upande wangu mm, untouchable member wa JF asiyegusika wala kubishiwa ni yule ambaye ataishi milele hapa duniani na wala nafsi yake haitaonja umauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…