Mtaji milioni 25 - 30

Watu wanataka wakutane nae cheembaaa wana mengi ya kuzungumza nae 😄
 
Mimi nafanya biashara hiyo kwa miaka mingi sana na hata hapa ninapoandika kwasasa nipo lindi mjini nimefuatilia viroba kwenye saa 5 nageuka naeleKea shambani hawezi kudouble mtaji kwasasa labda angefika mwanzo pale tulipokinunua 1500 kilo
 
Mbona samia ni ke na anaitwa mkuu?
 
Kwa upande fulani uko sahihi kwa mtaji wake huo atapata hata milion 10 faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…