KingsStore
Member
- Feb 22, 2023
- 73
- 105
π π π π πOdds 4 daily tia 1million hukosi hiyo 3million per day
Note:sio kila siku utakula wewe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π πOdds 4 daily tia 1million hukosi hiyo 3million per day
Note:sio kila siku utakula wewe tu
Consultant, unamaanisha ni Doctor au Consultant wa kitu gani?Asante kwa ushauri, kwa ujumla mi ni self employed person - consultant. Natafuta side hustle
Mkuu unanicheka?π π π π π
Unataka umchape na hiyo 25m afe preshaNaomba uje inbox... usifanye biashara bila maelekezo
Changamoto zake ni kuibiwa na watu wasio waaminifu. Maana wewe kama nigeni inabidi uwape vijana pesa ili wakanunue ufuta huko porini Kwa wakulima. Sasa Kuna watu unawapa pesa wanaenda kuweka heshima bar huku wakinigamba.Unamaanisha kwenye biashara ya ufuta pesa ya mtaji ulioweka baada ya mauzo unapata faida mara 2 ya mtaji?Tupe na changamoto zake zipi
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Msiende kumuumiza huko PM. Huwa mnakuwa na lugha tamu kama hii uliyotumia kumbe moyoni ni mafisi.Mkuu,Naelewa hali uliyo nayo.Kwanza kupata Loan ya 35 Milion ina maana una cashflow nzuri na pia una dhamana nzuri.Kwa vigezo hivyo wewe unaweza kufanya Biashara lakini PIA ninahisi utakuwa kwenye Ajira which means kufikiria aina nyingine ya Biashara tena inayoweza Generate kama uliyoiweza iko Very Trick.Ilaa naamini mawazo yapo Mengi.
Mimi nitakuja PM nikupe contacts zangu then Tuangalie namna ambavyo tunaweza kushauriana.Ila kwa kuangalia haraka haraka naona inabidi uangalie Fursa ya Biashara ambayo tayari inajiendesha ambayo unaweza ingia na kuanza kutengeneza Revenue Mapema.Biashara utayowekeza Wekeza Not More than 20M
Tudondolee mkuu imekaaje?
Sasa c ameshasign kuwa atakuwa anafanya marejesho hqta akizirudisha Kwa mara moja bado atakua anadaiwaRudisha hizo fedha bank uliyokopa zote kabla hazijaisha,yaan rejesho ni milion tatu na huna biashara inayojiendesha?
Mkuu,Upo Sahihi,Naamni mpaka amefikia kuwa na uwezo wa kuwaza kutafuta alternative investment maana yake anao uwezo wa kufanya uamuzi na kutambua iwapo kuna dalili za kufanyiwa utapeli wa aina yoyte ile.Ila ni vizuri akakumbushwa Ili ajihadhari zaidiMsiende kumuumiza huko PM. Huwa mnakuwa na lugha tamu kama hii uliyotumia kumbe moyoni ni mafisi.
Iko vizuri ukiuza mzigo wa million 30 hukosi faida ya 4 million ukikosa bas 3 million hapo ushatoa kila kitu kuanzia gari, ushuru na pesa za kuhonga njiani.
Soya nzuri na iliyo nafuu ipo Zambia
Ukifika border unakatisha shilling kwa Kwacha na faida inakuwa nzuri ukikuta rate ya kwacha ipo chini
Kuhusu wateja wapo wa kutosha sababu utauzia border.
Alafu mimi ke usiniite mkuu [emoji1787]
Niko kwenye sekta ya uchenziConsultant, unamaanisha ni Doctor au Consultant wa kitu gani?
Alafu mimi ke usiniite mkuu [emoji1787]
Hata ke wapo ni wakuu
Watu kibao wameomba wakutane naye chobingo kumkula mapesa yakeπ€ͺπ΄πKua makini kuna wapigaji wawili watatu wanakulia mingo hapa.
Ukikaa vibaya wanakufilisi