Mtaji milioni moja laki saba. Nifanye nini ndani ya Dar nitoke

Mzee baba nenda kalime, utunishe mfuko af ndo urud dar kuwekeza , zaid ya hapo ni heri ununue boda upige, uwekezaji dar unahtaj mtaji kwa sa hv
 
Wekeza kwenye biashara ndogondogo.Ukipenda ni PM tuyajenge.
 
Kodi shamba lenye chanzo cha maji karibu,, lima mazao ya biashara kama nyanya, au mbogamboga au nipigie 0745478823 nikupe mwongozo...
Ni kweli anaweza pata mashamba mkuranga , ruvu , Kisarawe n.k
 
mpesa,tigo pesa,vocha na vifurushi,,

Hii biashara tafta eneo lenye muingiliano wa watu wengi,,nakuhakikishia mkuu utakua unakula pesa yako bila nongwa,tena pesa yako unaoina kama haipo mkononi basi ipo kwenye simu,,
 
ningekua mimi ndio wewe ningetafuta ujuzi wa bidhaa yoyote inayopendwa na wanawake then naitengeneza kiumaridadi sana halaf nauza kwa bei cheap kuliko wengine....kwa kuanza nakushauri jifunze kushona wigi,au kutengeneza sandal zile zinazomwaga chin zinauzwa buku 9 had 7 wewe uuze kwa buk 5-6 haki ya mungu utapiga pesa wewe had utatamani ukaishi mwezini
 
Ukikaa ukatuliza kichwa huo ni mkwanja mrefu sana ambao unaweza ukakupa mwanga wa maisha, bt ukifeli kidg imekula kwa tajiri
 
Fungua butcher
Mkuu ungetupa uzoefu wako wa biashara ya nyama kwa sasa MTU aliye Dar :
- mikoa ya kununua ng'ombe na gharama zao zikoje
-usafiri mpaka kufika Dar unakuaje
-mauzo kwa sasa yakoje kwa MTU anaechinja mwenyewe na kuuza butcher zake

Natanguliza shukrani
 
Biashara ya vyakula inautajiri mkubwa. Kwa uo mtaji wako tafuta hata maali fungua kibanda cha chipsi na mishkaki.

Usimamie mwenyewe. Ukikuza mtaji fungua mgahawa. Kwa dar chipsi zinalika sana. Kuwa mbunifu na kupunguza gharama tofauti na wengine.
 
So lazima uchinje mwenyewe, kanunue vingunguti kilo Moja 4000-4500. Tafuta location nzuri uza kilo 6000. Faida utaiona hapo
Mkuu ungetupa uzoefu wako wa biashara ya nyama kwa sasa MTU aliye Dar :
- mikoa ya kununua ng'ombe na gharama zao zikoje
-usafiri mpaka kufika Dar unakuaje
-mauzo kwa sasa yakoje kwa MTU anaechinja mwenyewe na kuuza butcher zake

Natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…