Ayaaa,umepotea Tena kabla ya kumaliza kikao.Njoo pm unikumbushe
Kiongozi umelonga ukweli mtupu,nilikuwa naenda bar Fulani,Sasa siku moja nikaamua mwenyewe nikape offer ya soda,kumbe ndo nilikuwa najiroga mwenyewe,siku nyingine nimeenda kenyewe kakaniomba soda nikamwambia kunywa,nikaenda siku nyingine Tena kakasema nikanunulie zege,nikakapa buku kakaenda kununua,hapo nikagundua kanataka kunizoea vby,nikarudi Tena siku nyingine eti afadhali umekuja eti njaa inaniuma hapa BALAA,nikamwambi twende nyumbani tukapike.Halafu nimekuja gundua hakuna kitu kibaya kama kumzoesha mhudumu ofa kila uendapo bar flani. Kuna kipindi ukiwa na hela ya bia mbili tu mfukoni unaona ukienda utampa nini na wewe unywe pia. Unaamua kupitia kwa mangi mchezo unaisha
Kabisa mkuu,mimi ndani ya huu mwaka nimehama kabisa sehemu mbili kwa sababu hiyo. Hapo mwenye biashara anakimbiwa na watu kisa njaa za wahudumu.Kiongozi umelonga ukweli mtupu,nilikuwa naenda bar Fulani,Sasa siku moja nikaamua mwenyewe nikape offer ya soda,kumbe ndo nilikuwa najiroga mwenyewe,siku nyingine nimeenda kenyewe kakaniomba soda nikamwambia kunywa,nikaenda siku nyingine Tena kakasema nikanunulie zege,nikakapa buku kakaenda kununua,hapo nikagundua kanataka kunizoea vby,nikarudi Tena siku nyingine eti afadhali umekuja eti njaa inaniuma hapa BALAA,nikamwambi twende nyumbani tukapike.
Strategy nzuri sana mkuu. Ila kwa sasa naona kama ntafail. Biashara hii inaboostiwa na hela za pembeni ambazo kwa sasa sina so naona ntafeli tu.Ukitaka kuchanganyikiwa basi miliki Bar, Mkuu hao wahudumu wajilipe kwa kreti itawaongezea motivation.
Apambane mwenyewe, mfano kwa kret anabaki na buku jero(1500) akiuza kreti nne ana 6000, so kama una wahudumu watano unakuwa umepiga mzigo wa kutosha,
Pia Mteja akitaka kuondoka na muhudu mda wa kazi kuna kiasi anakiacha kaunta. Na wewe uwe unazunguka bar za wengine ukimuelewa mhudumu unafika bei(unamuiba) kama Soka tu ,mchezaji mzuri ni dau unamnunua kwa dau kubwa.
Kitu kingine, inakubidi uwe na Circle kubwa ya walevi/kampani, usiwe uankaa tu ofisini kwako(bar kwako) zunguka kwa wengine huko unakutana na wadau.
Former bar owner.
Na Mimi Nina Kama wiki mbili sijang'aa kwake,maana Mara ya mwisho ndo kalinikera kweli, yaani nimekapa buku 3 kaniletee Serengeti lager 2 kanyewe kakaingizia upupu wake wa chipsi,nikamwambia Basi sawa Basi nigei bia moja maana nimeshakosea kukupa hela kabla ya huduma,Tena kanaanza hela haitoshi,nataka nikanunue chipsi mayai,nikakaambia we nipe bia,Kama Ni deni nitakulipaga,tangia hapo sijang'aa Tena,na Kama nitang'aa malipo yake Ni baada ya gambe na Ni hela isiyojitaji chenji maana sipendi kugombana na mtu kiboyaboya tu,na Kama Ni soda na na zege lake Sasa atazikilizia kwenye bomba tu.Maana hata kulika hakaliki,hakanipi kbs vibe.Kabisa mkuu,mimi ndani ya huu mwaka nimehama kabisa sehemu mbili kwa sababu hiyo. Hapo mwenye biashara anakimbiwa na watu kisa njaa za wahudumu.
bar tunachofuata ni wanawake wala sio bia,bia tunazugia tu so ukitaka utoboe tafuta watoto wazurii weupe wa kichaga uweke hapo utaona tunavyomiminika hapo kwenye kibaa chakoWadau mko freshi?!
Wazee natafta mtu mwenye Bar management skills aje kunishika mkono.
Setup ya bar iko freshi, nachohitaji ni ubia na mtu mwenye uzoefu ili tuweze ku boost sales. Mapato yakiongezeka maradufu nitakachofanya tutakuwa tunagawana faida baada ya kutoa expenses at 50% yani pasu kwa pasu. Cha muhimu ni uwezo wa kufanikisha mauzo yaweze kuongezeka mara dufu. Maana sales figure imeshuka sana kiasi cha kwamba nahisi nitaanza ku struggle kukava ma Gap.
Niko Moshi mjini. Kwa ambaye atakuwa interested basi anicheki inbox.
😆😆😆😆😆bar tunachofuata ni wanawake wala sio bia,bia tunazugia tu so ukitaka utoboe tafuta watoto wazurii weupe wa kichaga uweke hapo utaona tunavyomiminika hapo kwenye kibaa chako
K
Kijiwe kipo Dar es salaam street.
Hamna noma mkuu wacha nijipange nisogee.Mkuu nadhani tatizo ni location, bar nyingi za mitaa hiyo nyingi hazina raia kihivyo. Ushauri wangu tafuta chimbo jipya pembezoni kidogo mwa mji ukomae na biashara utapiga tu mpunga...
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini usiendeleze mwenyewe mkuu kama upo location nzuriNilikuwa na bar Kimara ila ss nimeifunga nataka kubadiisha biashara ,mwenye huitaji anaweza nichek nimkodishe ipo location nzuri sana ,ushuani.
Kuna bar nyingine ukihudumiwa ukawa umependa huduma zao ukataka kutoa tips wanakuonyesha kibox kama kile cha posta kiko ukutani unaenda unadumbukiza pale pesa then usiku wakiwa wanamaliza kazi wanakifungua na funguo zao then wanagawana pasu wahudumu wote wa shift hio,niliona Kenya hii mambo.Kabisa mkuu,mimi ndani ya huu mwaka nimehama kabisa sehemu mbili kwa sababu hiyo. Hapo mwenye biashara anakimbiwa na watu kisa njaa za wahudumu.
Strategy nzuri sana mkuu. Ila kwa sasa naona kama ntafail. Biashara hii inaboostiwa na hela za pembeni ambazo kwa sasa sina so naona ntafeli tu.
Kuhusu kujilipa kwa crate mtu hatakubali, labda umwambie kuwa hio ni kama bonus akiuza analamba buku kwa kila crate litaloisha.
Ndio maana wengine tunanyweaga pale pale kaunta kupunguza shobo za wahudumu uchwara.Na Mimi Nina Kama wiki mbili sijang'aa kwake,maana Mara ya mwisho ndo kalinikera kweli, yaani nimekapa buku 3 kaniletee Serengeti lager 2 kanyewe kakaingizia upupu wake wa chipsi,nikamwambia Basi sawa Basi nigei bia moja maana nimeshakosea kukupa hela kabla ya huduma,Tena kanaanza hela haitoshi,nataka nikanunue chipsi mayai,nikakaambia we nipe bia,Kama Ni deni nitakulipaga,tangia hapo sijang'aa Tena,na Kama nitang'aa malipo yake Ni baada ya gambe na Ni hela isiyojitaji chenji maana sipendi kugombana na mtu kiboyaboya tu,na Kama Ni soda na na zege lake Sasa atazikilizia kwenye bomba tu.Maana hata kulika hakaliki,hakanipi kbs vibe.
Hiyo iko poa kwa kuwa siyo kila siku mtu una kuwa na hela ya kumnunulia muhudumu. Kuna siku mishe zinakuwa tight ila unakuwa na angalau pesa ya bia mbili au tatu kutoa wenge la siku, unakuta muhudumu anakutolea macho kama paka wa bar baada ya kuagiza kiti moto yako.Kuna bar nyingine ukihudumiwa ukawa umependa huduma zao ukataka kutoa tips wanakuonyesha kibox kama kile cha posta kiko ukutani unaenda unadumbukiza pale pesa then usiku wakiwa wanamaliza kazi wanakifungua na funguo zao then wanagawana pasu wahudumu wote wa shift hio,niliona Kenya hii mambo.
Nimeamua kuokoka boss,wokovu na biashara hzo siunajua..
Kweli mkuu na wahudumu hawajui siku mtu ukiwa mfukoni mambo ni magumu unaenda bar na hesabu zako kichwani kama ni bia 2 na k-vant yako ndogo ni hizo tu,sasa anapopunguza hata buku tayari hesabu zimevurugika hapo.Hiyo iko poa kwa kuwa siyo kila siku mtu una kuwa na hela ya kumnunulia muhudumu. Kuna siku mishe zinakuwa tight ila unakuwa na angalau pesa ya bia mbili au tatu kutoa wenge la siku, unakuta muhudumu anakutolea macho kama paka wa bar baada ya kuagiza kiti moto yako.
Nagusaga chalyangu sema kitozi sana 🤣Afu chalaa angu tatizo we hugongi mtungi,ungekua member wa hizo mambo ungeungishwa na members na vikao vya ulevi vingekua vinafanyikia hapo ofisini kwako.