Mtaji na Faida ya Biashara ya Grocery

bar tunachofuata ni wanawake wala sio bia,bia tunazugia tu so ukitaka utoboe tafuta watoto wazurii weupe wa kichaga uweke hapo utaona tunavyomiminika hapo kwenye kibaa chako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]
 
Habri wadau!

Tumaini langu Ni kuwa wote mpo wazima lakini napenda kuwapa pole kwa majukumu ya hapa na pale. Leo nahitaji msaada wa kufahamu Faida ya Biashara ya kuuza vinywaji ktk Grocery. Naomba niweke wazi mtaji wangu na vitu nilivyopangilia kuuza.

Mtaji wangu ni Tsh. 620,000 ipo Cash kabisa. Kodi ya pango nimeambiwa Ni 30,000 nalipa kwa miezi 3. Nimejipanga kuuza vinywaji Kama soda, konyagi, Shenwa, K vant value, Chibuku na bia.

Je, kwa mtaji huo unatosha kuanzia au niongeze mtaji???
 
Unatosha kwa kuanza
Kreti TBL yan Safari+Kilimanjaro,castol lite. jumla 28,000×3=84,000
Serengeti lite1=33,000

Heinken katon2 yenye bia12 bei ya jumla@elf2= 24,000/=
Achana na windok kwa mwanzo haina watumiaji wengi. Au ukiamua chukua katon moja ya 12,000/=

Konyag kubwa moja ya kuuza kwa shoti jumla inauzwa 9000/=
Konyag ndgo 5 za 2500/= bei ya jumla=12,500
Value ndogo 5=12500.

Maji caton 2 jumla=5000
Kreti moja la soda bei ya jumla kampuni ya coka mixer coka na soda water ziwe nyng kdgo=10000
JUMLA 202,000/=

Katika iyo ela nyingine nunulia vitendea kazi.glass,viti, n.k
N:B niliwahi kufanya pub kipindi cha 2018-2019 kwa hvyo kweny data zangu huenda kukawa na upungufu pahala nadhan ni kidgo Sana hauzidi 1000, due to bidhaa bei kubadilika kdgo
 
Duh! Asante sana mkuu vipi unaweza kunipa data zaidi hasa kuhusiana na Faida na changamoto
 
Kwa udogo wa Mtaji ulonao bila kutaja Double Kick not serious.
 
Duh! Asante sana mkuu vipi unaweza kunipa data zaidi hasa kuhusiana na Faida na changamoto
Safari/Kilimanjaro/castol lager bia 1 1800 kwenye kreti Kuna bia 20= 36,000/
Kweny kreti Kuna 8000 faida
Heinken/windoek kila bia ina faida ya 500. Ila ukiuza 3000 faida buku.
Serengeti lite kreti Lina 24 bia, bei 1700...40800. pombe za shoti faida yake ni ×2. Yani konyag ya 9000 inazalisha 9000
 
Changamoto kubwa ni police wakati wa usiku ikivuka saa6 inabidi wakikubamba uwe na elf5 ya kuwatoa. Alafu epuka na kitu kukopesha usiwadhamini walevi ata siku moja ukimkopesha unamfukuza hatorudi..ukimuweka mdada mwambie ni kosa la kumfukuzisha kazi endapo ikifahamika anamahusiano na mteja.
 
Asante sana mkuu
 
Ninataka kufungua biashara ya grocery bar ndogo isiwe na Gest maana wazo hili lipo akilini mwangu na halitoki msaada kwa wenye experience changamoto zake na mtaji wake karibu wadau.
 
Aisee hii biashara ni pasua kichwa haswaa, mie pia imekuwa ikinisumbua sana kiasi kwamba nataka nishee headaches na mtu mwengine walau, nishakuwa mpishi na Barmaid pia🤣🤣🤣

Sio punde ntageukia kwenye nafaka huko.
Ninja biashara yako inaendaje aisee?
Kwangu hali ni shwari kabisa ila ulimpata mtu mwenye management skills za bar na hali imeendaje?
 
Uko hai Noelia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…