Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

Kwaiyo mkuu tufanye biashara gani
Huwa mnalalamika situation ya biashara na hamtoi details hasa juu ya location. Unakuta mtu analalamika kitimoto hailipi unajikunja kumuelekeza kumbe jamaa yupo Unguja.

Nina kifremu naambiwa jirani kwenye godown hapa kabla sijapanga aliuza unga wa jumla alikuwa anauza sana watu wanapishana semi zinatoka Iringa uko zinajaza. Jamaa akafilisika eti watu wanajiuliza ilikuwaje, simply ni kwamba alikuwa anafanya biashara ya sifa kama wewe. Siku ukiagiza canter mvua imenyesha, likatumbukia mtoni likamwaga unga lazima uchanganyikiwe. Hasara moja inakula faida ya siku nyingi sana.

Yaani kwenye inventory ya milioni 40 unapata laki tano??? Biashara yangu ndogo sana ila nikitumia 5M huwa napata laki tano, yaani unafanya 10 times ya hela yangu na unateseka zaidi yangu ila faida tunalingana.

Nishawahi fanya research ya vyakula vya jumla kama mchele na unga, au mahindi. Kitu kikubwa kule ni uchawi, ila sio faida. Nimekaa sana Tandika nasoma wafanyabiashara na madalali nikajihakikishia ni biashara kichaa. Eti mtu ulete tani 20 za mchele upate faida milioni moja, si wehu huo. Halafu hasara ikija sasa, milioni tatu nne kawaida.

Unakuwa mfanyabiashara unaishi kwa hasira mtu akikukanyaga unampiga. Sura imekakamaa hela unazo ila hupendezi mawazo tu.
 
Huwa mnalalamika situation ya biashara na hamtoi details hasa juu ya location. Unakuta mtu analalamika kitimoto hailipi unajikunja kumuelekeza kumbe jamaa yupo Unguja.

Nina kifremu naambiwa jirani kwenye godown hapa kabla sijapanga aliuza unga wa jumla alikuwa anauza sana watu wanapishana semi zinatoka Iringa uko zinajaza. Jamaa akafirisika eti watu wanajiuliza ilikuwaje, simply ni kwamba alikuwa anafanya biashara ya sifa kama wewe. Siku ukiagiza canter mvua imenyesha, likatumbukia mtoni likamwaga unga lazima uchanganyikiwe. Hasara moja inakula faida ya siku nyingi sana.

Yani kwenye inventory ya milioni 40 unapata laki tano??? Biashara yangu ndogo sana ila nikitumia 5M huwa napata laki tano, yani unafanya 10 times ya hela yangu na unateseka zaidi yangu ila faida tunalingana.

Nishawahi fanya research ya vyakula vya jumla kama mchele na unga, au mahindi. Kitu kikubwa kule ni uchawi, ila sio faida. Nimekaa sana Tandika nasoma wafanyabiashara na madalali nikajihakikishia ni biashara kichaa. Eti mtu ulete tani 20 za mchele upate faida milioni moja, si wehu huo. Alafu hasara ikija sasa, milioni tatu nne kawaida.

Unakuwa mfanyabiashara unaishi kwa hasira mtu akikukanyaga unampiga. Sura imekakamaa hela unazo ila hupendezi mawazo tu.
Mkuu Tandika sokoni kumbe pagumu
 
Mkuu tandika sokoni kumbe pagumu
Pale wamejaa roho ngumu kama Wapemba ndio wana faida hata ukienda Malinyi uko na Kahawa wanaagiza mizigo. Ukienda wewe ukoo wenu hakuna mgomvi wala hakuna mtu aliwahi miliki jini utakuwa unaambulia hela ya kula tu. Kuna figisu nyingi, usumbufu, uswahili almost 80% ya watu pale ni la saba B. Yani tafrani tu.

Halafu kuna mtu unakuta ana godown la tani 50 ila analifungua miezi mitatu tu kati ya mwaka, na maisha yanaenda.
 
Pale wamejaa roho ngumu kama Wapemba ndio wana faida hata ukienda Malinyi uko na Kahawa wanaagiza mizigo. Ukienda wewe ukoo wenu hakuna mgomvi wala hakuna mtu aliwahi miliki jini utakuwa unaambulia hela ya kula tu. Kuna figisu nyingi, usumbufu, uswahili almost 80% ya watu pale ni la saba B. Yani tafrani tu.

Alafu kuna mtu unakuta ana godown la tani 50 ila analifungua miezi mitatu tu kati ya mwaka, na maisha yanaenda.
Kaka nilikuwa nataka kulipia fremu kabisa.....pale karibu na daladala za Chamazi......UNANITISHA KAKA
 
Hapo kuna guarantee ya hio Faida? Huwezi kusema hio Faida ni ndogo sababu majority ya Biashara za kibongo pasua kichwa hapo unaweza ukakuta imekula kwako.... Actually ukiweka na muda wako na kwamba unajilipa mshahara ambao hapo haujilipi ni kwamba imekula kwako....

Biashara nyingi za kibongo pasua kichwa (not sustainable)
 
Hyo biashara wanafanya watu wenye mitaj mikubwa mno.unakuta ana gar 3 au 4..au ni kwamba hyo gari umeitega mahala sio..mwisho wa siku gar itachoka na faida hujapata...nenda kaitege sehem yenye uhitaj kwel kwel yaan gar ipige kaz kwa wik ukunje hata 1m.
La hasha ni bora uitie UTT tu ...

Biashara kama huna uzoefu nazo na ndo unaanza ndugu hyo hela itapotea yote ibak kumbukumbu tu nilikua na hela fulani.

La hasha tafuta mentor wa biashara anaefanya vzur kaa nae upite anakopita yeye...awe tayar lakin
Mbona kama umeenda chaka, ni wapi amesema kuwa ana gari?!! Kipindi kile cha shule kwenye history umeshusha, weee, mwalimu anakuandikia out of point!!
 
Hiyo sio biashara mkuu!! Yaani 45m upate faida hiyo?!! Wakati kuna sehemu unaifanyia biashara, hiyo pesa kwa mwezi unapata si chini ya milioni 15?!!
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni zakuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukar unaiuza kwa miezi2 nafaida yake ni 540000 wakati huo gharama zamanunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.

Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton32 sawa namifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.

Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidgo tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji
 
Kwenye fremu ya biashara nyingine sijui, ila kwenye godown la nafaka. Ila kama sio game changer huendi kutoa changamoto kwa magangwe sidhani kama kuna shida.
Hata kwa biashara zingine bado ni changamoto tu, kwenye biashara za soko la pamoja kama Mbagala na Tandika, lazima uwe umeaga kwenu.
 
Back
Top Bottom