Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Unataka afirisike ?Tafuta tenda za miradi ya Serikali mikoani utapiga hela
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka afirisike ?Tafuta tenda za miradi ya Serikali mikoani utapiga hela
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hizo tenda si ndio kuanza kusumbuana kwenye malipoTafuta tenda za miradi ya Serikali mikoani utapiga hela
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Digital awe anafanya nnBiashara physical kwasasa hapa bongo ni risk sana hamia digital.
Wapi huko, niweke million 45 nikapate million 15 kwa mwez. Means ndani y miez 3 hela imerudHiyo sio biashara mkuu!! Yaani 45m upate faida hiyo?!! Wakati kuna sehemu unaifanyia biashara, hiyo pesa kwa mwezi unapata si chini ya milioni 15?!!
"consistency".Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.
Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.
Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.
Mluu acha uongo.Umeweka UTT hiyo Mil 46 kwa mwezi utapata around 400,000.. miezi miwili utapata zaidi ya 800,000
Nani kakwambia IRR ya UTT ni constant?Nashauri chukua hiyo pesa kaweke UTT, utapata faida kiliko hicho unafanya.
Ukweli ni upi unaoufahamu?Mluu acha uongo.
Ila umesema ukweli maana kwa mwezi a tapata 450,000 miezi miwili inakua 900, 000 ambayo tayari imeizidi ya sukariNashauri chukua hiyo pesa kaweke UTT, utapata faida kiliko hicho unafanya.