Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

Hoyo pesa ingekuwa ni profit per day, inalipa, lakini 46 millions af faida laki 5 ni hasara, tafuta eneo lililochangamka fungua duka la jumal, utaona profit
 
Ndio wafanyabiashara huwa mnatucheka watumishi wa umma tunaopata take home ya sh. 1M
 
Ikifika mwenzi wa Sita.. nitafute Mzee nikuonyeshe chaka Uone watu wanavyokusanya pesa kwenye ufuta huku kusini. Utatamani kuiacha. Hizi siyo zama za magufuli za kuhulizana hii milion 200 kwenye account umeipata wapi?...nchi imefunguka hii watu wanapiga pesa hatari.
Acha maskhara ufuta hasa wapi unapatikana
 
We umesikia story kijiweni ukaja humu kupost uongo,huwezi ukawa na Mataji wa 46 mill na ukaleta mifuko 600,alafu uwe unauza mifuko 10 Kwa siku,kama ni kweli basi upo sehemu mbaya sana kibiashara na unatakiwa uhame hapo ulipo,wenzio wenye mtaji kama huo wanamaliza mzigo within a week,pia faida ya sukari Kwa Sasa ni kubwa sana,mfano mi Kwa Sasa sukari kg 25 naipata Kwa 70000 naiuza jumla 75000,tuache kusikia story tukajua ni kweli,Chamsingi ingia Kwa game
Wapi huko unapata faida ya mfuko kwa jumla 5000 ndo naskia Leo..faida huwa haizid 900-1400 sehemu nyingi nihivo
 
Iko hivi gari inatoka Kakonko kwenda mwanza ikiwa na Karanga - sasa wakati wa kurudi inabeba ngano, sabuni, sukari nk

Usipochunguza kwa usahihi utadhani mwenye gari hana faida (Siri yake)
 
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.

Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.

Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.
Watu wakikuona unashusha hilo litandam wanakuona Tajiri Freemason😂😂
 
Loh [emoji23][emoji23] achana na hyo business mm kuna business nimeanza december mwaka jana faida average kwa mwezi ni almost 600k na nilianza na mtaji wa 3.5m hyo 600k nishatoa matumiz.
Harafu unakuta kamtu kameshiba maharage......Kuajiriwa ni utumwa wakati Mtu anashinda kwenye kiyoyozi anakunja 5M.

Wewe unashinda shambani na matope Mwezi mzima faida laki sita.

😂😂😂
 
Sasa mkuu UTT kwa mwaka unapewa 11% Sasa kwa m100 ni sawa na 11m unapewa. Sasa mkuu hakuna biashara ya kuzunguusha hiyo m100 ikazaa zaid ya 11m nnayopewa na UTT.
Milion 100 uje upate faida Milioni 10 Baada ya Mwaka?

Hizo pesa zako utakuwa ni za wizi sio ulizotafuta kwa jasho.
 
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.

Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.

Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.

Hiyo ni hasara aisee.Maana hapo una unapata faida ya 7.5% kwa mwaka. Hapo bado wafanyakazi hawajakuibia.

ni biashara yenye faida ndogo sana.ingekuwa mifuko 600 unamaliza ndani ya wiki angalau
 
Wapi huko unapata faida ya mfuko kwa jumla 5000 ndo naskia Leo..faida huwa haizid 900-1400 sehemu nyingi nihivo
Nipo Kanda ya ziwa,kg 50 ya nje yenyewe last week tuliipata pale Kwa mo Kwa 140000 tumeiuza Kwa 160000,Kagera sugar wameanza kutoa sukari kg 25 inapatikana Kwa 71000 jumla tunaiuza 76000-78000,ndugu yangu Kwa mauzo hayo haufanyi biashara ya jumla,ukichukua mifuko 600 lazima uwauzie wanaoenda nao kuuza juma na sio mfuko mmoja mmoja.Ushauri wangu you are in a wrong place if it real your doing such business.
 
Wapi huko unapata faida ya mfuko kwa jumla 5000 ndo naskia Leo..faida huwa haizid 900-1400 sehemu nyingi nihivo
Nipo Kanda ya ziwa,kg 50 ya nje yenyewe last week tuliipata pale Kwa mo Kwa 140000 tumeiuza Kwa 160000,Kagera sugar wameanza kutoa sukari kg 25 inapatikana Kwa 71000 jumla tunaiuza 76000-78000,ndugu yangu Kwa mauzo hayo haufanyi biashara ya jumla,ukichukua mifuko 600 lazima uwauzie wanaoenda nao kuuza juma na sio mfuko mmoja mmoja.Ushauri wangu you are in a wrong place if it real you are doing such business.
 
Back
Top Bottom