Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

Uzoefu unaonyesha mfanya biashara msomi huwa anapata tabu sana kuendesha hizi biashara za kitaa. Sababu kubwa ni ujuaji wa kisomi. Unasema eti upeleke mchele tani 20 upate faida 1000000 huo ni ujua kama sio uwehu!!!
Mtu kama huyo na mimi mmoja wao pia najiwekea malengo. Kila tani 10 ya mchele nipate wastani wa shilingi 1,500,000. Na natakiwa niuze tani 40 ya mchele kwa mwezi. Hii ni kwa jumla na rejareja. Unakuta mtu ana store hapo dsm. Labda mbezi au kimara au Kule tegeta. Gongolamboto au kiwalani. Hapo sitaji mbagala wala tandika.

Kila wiki anapakia tani kumi. Mchele wa viwango tofauti. Kwa hiyo hapa lazima apate faida isiyopungua 6mls kama atapata 150 kwa kila kgm1. Mchele super huwa kupata faida ya kuanzia 300 kwa kg 1 ni jambo la kawaida kabisa. Hiyo sie tunaita ziada.
Huyu mtu unakuta sio msomi.kajiajiri. anapata milioni 6 kwa mwezi anakuwa amekosa nini?
Sasa msomi akija hapa anagundua ametumia jumla ya shilingi milioni 80 kwenye biashara na anapata 6mls kwa mwezi. Anaona ndogo....
Wakuu hamnaga pesa ndogo. Pesa inakuwa ndogo pale inaposhindwa kufanya jambo unalokusudia kufanya.
Mkuu hii biashara nimeifanya sana, sio rahisi kama unavyotaka kuwaambia watu hapa!! Kwa soko letu hapa uniambie eti kilo moja upate net profit ya tsh. 300!!tena kwa mwezi uuze tani 40!!labda kama una tenda sehemu!! Lakini hii ya kupeleka kwenye ma store ya watu, hapana!! Faida ya mchele kama wewe ni risk taker, kachukue pesa DRC, kule hata tani 30 unaweza kuziuza ndani ya siku 3!!
 
Mkuu hii biashara nimeifanya sana, sio rahisi kama unavyotaka kuwaambia watu hapa!! Kwa soko letu hapa uniambie eti kilo moja upate net profit ya tsh. 300!!tena kwa mwezi uuze tani 40!!labda kama una tenda sehemu!! Lakini hii ya kupeleka kwenye ma store ya watu, hapana!! Faida ya mchele kama wewe ni risk taker, kachukue pesa DRC, kule hata tani 30 unaweza kuziuza ndani ya siku 3!!
Iko hivi. Nina wateja wangu. Ambao mara nyingi siwauzii mzigo kwa cash. Ninawapa mzigo wanauza kila baada ya siku 7 mpaka 10 wananilipa pesa. Hapa unatakiwa kuwa na mitaji miwili. Naongea nao kabisa. Unakuta mtu anakupa order ya magunia labda 9. Anakuambia niwekee mchele super gunia mbili, mzuri 3 ma mchele wa chini gunia 4. Kazi yangu ni kumtafutia. So nachukua order kwa wateja wangu wote. Kitendo tu cha kupakia tayari nishauza 85% ya mzigo. Unaobakia unashuka store. Kijana yupo pale anauza. Na ndie anayepokea mzigo na kuwasambazia wateja.

Mzee unashangaa mtu kupata faida ya 300 kwa kg kwa mchele super? hiyo iko wazi sana. Kwa super ni kawaida kabisa. Sema hii mingine ni kuanzia 100 ukipata sana 150.

Hapo kibaha kuna watu wanachapa kazj acha kabisa.
 
Iko hivi. Nina wateja wangu. Ambao mara nyingi siwauzii mzigo kwa cash. Ninawapa mzigo wanauza kila baada ya siku 7 mpaka 10 wananilipa pesa. Hapa unatakiwa kuwa na mitaji miwili. Naongea nao kabisa. Unakuta mtu anakupa order ya magunia labda 9. Anakuambia niwekee mchele super gunia mbili, mzuri 3 ma mchele wa chini gunia 4. Kazi yangu ni kumtafutia. So nachukua order kwa wateja wangu wote. Kitendo tu cha kupakia tayari nishauza 85% ya mzigo. Unaobakia unashuka store. Kijana yupo pale anauza. Na ndie anayepokea mzigo na kuwasambazia wateja.

Mzee unashangaa mtu kupata faida ya 300 kwa kg kwa mchele super? hiyo iko wazi sana. Kwa super ni kawaida kabisa. Sema hii mingine ni kuanzia 100 ukipata sana 150.

Hapo kibaha kuna watu wanachapa kazj acha kabisa.
Kwa hivyo sawa!! Ila ndio hapo mitaji lazima uwe nayo miwili,
 
Uzoefu unaonyesha mfanya biashara msomi huwa anapata tabu sana kuendesha hizi biashara za kitaa. Sababu kubwa ni ujuaji wa kisomi. Unasema eti upeleke mchele tani 20 upate faida 1000000 huo ni ujua kama sio uwehu!!!
Mtu kama huyo na mimi mmoja wao pia najiwekea malengo. Kila tani 10 ya mchele nipate wastani wa shilingi 1,500,000. Na natakiwa niuze tani 40 ya mchele kwa mwezi. Hii ni kwa jumla na rejareja. Unakuta mtu ana store hapo dsm. Labda mbezi au kimara au Kule tegeta. Gongolamboto au kiwalani. Hapo sitaji mbagala wala tandika.

Kila wiki anapakia tani kumi. Mchele wa viwango tofauti. Kwa hiyo hapa lazima apate faida isiyopungua 6mls kama atapata 150 kwa kila kgm1. Mchele super huwa kupata faida ya kuanzia 300 kwa kg 1 ni jambo la kawaida kabisa. Hiyo sie tunaita ziada.
Huyu mtu unakuta sio msomi.kajiajiri. anapata milioni 6 kwa mwezi anakuwa amekosa nini?
Sasa msomi akija hapa anagundua ametumia jumla ya shilingi milioni 80 kwenye biashara na anapata 6mls kwa mwezi. Anaona ndogo....
Wakuu hamnaga pesa ndogo. Pesa inakuwa ndogo pale inaposhindwa kufanya jambo unalokusudia kufanya.
Acha nitumie ujuaji wa kisomi nawewe tumia ukilaza wako kila mtu ajivunie alichonacho.
Huo mchele unaotamka 80M unahitaji uanze na mtaji mkubwa ndio upate faida, ukianza na sijui milioni 15 unapata faida ndogo ambavyo ni muda mrefu kukua na risks zikija unaumia sana. Na sijaona mchele unaopata faida ya shilingi 300 kwa kilo, sanasana mara nyingi nimeona faida ambayo ni guaranteed ni shilingi 50 kama unataka ushushe gari mzigo uishe kabla haujaingia store. Au ukikaa kidogo ni 100 au 150, kuanzia 200 hiyo ni super profit ambayo haitokei muda wote. Ukitaka faida kubwa kuna usumbufu mkali na maandalizi mara ununue mpunga sijui uweke stock, umiliki gari lako. Hiyo ni ngumu na mtaji wake inabidi uanze mkubwa.

Meanwhile nilipoacha hiyo nikaja hii biashara, ukiwa na 80M unayosema hapa na ukapata net profit ya 6M kwa mwezi hata kama ni mara yako ya kwanza huna uzoefu wowote unastahili uchapwe viboko kwa uzembe. Na haisumbui kama mchele.
 
Iko hivi. Nina wateja wangu. Ambao mara nyingi siwauzii mzigo kwa cash. Ninawapa mzigo wanauza kila baada ya siku 7 mpaka 10 wananilipa pesa. Hapa unatakiwa kuwa na mitaji miwili. Naongea nao kabisa. Unakuta mtu anakupa order ya magunia labda 9. Anakuambia niwekee mchele super gunia mbili, mzuri 3 ma mchele wa chini gunia 4. Kazi yangu ni kumtafutia. So nachukua order kwa wateja wangu wote. Kitendo tu cha kupakia tayari nishauza 85% ya mzigo. Unaobakia unashuka store. Kijana yupo pale anauza. Na ndie anayepokea mzigo na kuwasambazia wateja.

Mzee unashangaa mtu kupata faida ya 300 kwa kg kwa mchele super? hiyo iko wazi sana. Kwa super ni kawaida kabisa. Sema hii mingine ni kuanzia 100 ukipata sana 150.

Hapo kibaha kuna watu wanachapa kazj acha kabisa.
Unaona sasa. Hapa haukuanza biashara hapohapo unakopesha, ulitumia muda kwenye soko na ulianza kupata hizo faida baada ya kuwa na mitaji miwili. Mimi kwenye mchele nilipungukiwa mtaji nilioingia nao, nikaacha. Ni ama uje na mtaji mkubwa na sometimes usifanye cash deal, ama ugange njaa na mtaji mdogo.

Ukikopesha mtu unamnyima bargaining power unaongeza risk na faida. Ukiuza cash unapata faida ndogo, last time mchele nilokuja nao walitaka kununua bei sawa na niliyonunua mkoani nikakopesha maduka nikarudisha hela yangu nikaachana na mchele.
 
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.

Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.

Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.
Hiyo hela mkuu ukienda nayo china ukanunua bidha ndani ya miezi miwili unapata hiyohiyo 46m so mtaji wako unazaa faida ya 46m njoo dm
 
malembeka18 kama una passport muda na huo mtaji Kuna safari ya wafanyabiashara imeandaliwa mwez April kwenda Canton fair china kama upo tayari njoo tujiset
 
Mkuu huko nifuate biashara ipi Sasa boss
Biashara n nyingi Mzee Kuna nguo, viatu, saa, heren, bangili, michezo ya watoto, vyombo, vipodozi, spea za pikipiki na magari, decoration za nyumbani na magari, nguo za ndani, mtumba hvyo vyote Mzee ukininua hata hapa bongo unapata zaidi ya 30% kama faida kwenye mtaji wako baada ya kutoa Kila kitu pia hapo Kuna bidhaa zingine ukiweka sh unapata sh Kuna machimho yapo hapa hapa East Africa.


Muhimu kujikaza na kujitoa akili pesa ipo sema ndio hvyo watu wana🔚🔜↔️
 
Nimesikia habari za ufuta huko Lindi
Ikifika mwenzi wa Sita.. nitafute Mzee nikuonyeshe chaka Uone watu wanavyokusanya pesa kwenye ufuta huku kusini. Utatamani kuiacha. Hizi siyo zama za magufuli za kuhulizana hii milion 200 kwenye account umeipata wapi?...nchi imefunguka hii watu wanapiga pesa hatari.
 
Uzoefu unaonyesha mfanya biashara msomi huwa anapata tabu sana kuendesha hizi biashara za kitaa. Sababu kubwa ni ujuaji wa kisomi. Unasema eti upeleke mchele tani 20 upate faida 1000000 huo ni ujua kama sio uwehu!!!
Mtu kama huyo na mimi mmoja wao pia najiwekea malengo. Kila tani 10 ya mchele nipate wastani wa shilingi 1,500,000. Na natakiwa niuze tani 40 ya mchele kwa mwezi. Hii ni kwa jumla na rejareja. Unakuta mtu ana store hapo dsm. Labda mbezi au kimara au Kule tegeta. Gongolamboto au kiwalani. Hapo sitaji mbagala wala tandika.

Kila wiki anapakia tani kumi. Mchele wa viwango tofauti. Kwa hiyo hapa lazima apate faida isiyopungua 6mls kama atapata 150 kwa kila kgm1. Mchele super huwa kupata faida ya kuanzia 300 kwa kg 1 ni jambo la kawaida kabisa. Hiyo sie tunaita ziada.
Huyu mtu unakuta sio msomi.kajiajiri. anapata milioni 6 kwa mwezi anakuwa amekosa nini?
Sasa msomi akija hapa anagundua ametumia jumla ya shilingi milioni 80 kwenye biashara na anapata 6mls kwa mwezi. Anaona ndogo....
Wakuu hamnaga pesa ndogo. Pesa inakuwa ndogo pale inaposhindwa kufanya jambo unalokusudia kufanya.
Wewe ndo unajua biashara sasa. Wasomi wanasahau sana kama 10 ilianza na 1.
 
Namashaka na wewe. Wewe sio mfanya biashara. Utakuwa umesikia story vijiweni. Biashara unayozungumzia hapo ni biashara ya jumla. (Whole sale) na biashara ya jumla huwezi kuuza mifuko 600 kwa miezi miwili. Huo ni uongo kabisa.

Biashara yoyote ya jumla ina faida ndogo ila ni pesa nyingi. Dukani kunakuwa ma bidha kama hizi kwa mfano.
1. Sukari kg 50 na kg 25
2. Ngano kg 50 na kg 25
3. Mafuta ya kula lita 20 na lita 10
4. Sabuni za unga packege za ujazo tofauti
5. Sabuni za miche makampuni tofauti
6. Dawa za meno. Colgate, whitedent mls tofauti tofauti
7. Bidhaa nyingine zote zinazopatikana kwenye maduka ya rejareja almaarufu maduka ya mangi.
Sasa huyu wa duka la jumla anauza bidhaa hizi kwa wateja wa duka la reja reja. Mteja akija kwa mfano ataandiksha vitu vifuatavyo.
1. Sukari kg 50 pc 1
2. Mafuta ya kula lt 20 pc 1
3. ngano kg 50 pc 1
4. Colgate gm 250 dozan 2
5. Majani ya chai gm 125 dozani 3
6. Omo sabuni za unga catton 2
7. Sigara bomba 1 sawa packet 10 moja
8. Pipi, big G, juice, pc 10 kila moja
9. Nk.
Huyu mteja mmoja akija hapa lazima amwachie huyu jamaa wa duka la jumla wastani wa tshs 10-15k kama faida. Akiwauzia wateja 25 tu kwa siku anapata wastani wa tshs 300k +. Unasemaje hapo hakuna faida?
Wewe mleta mada hujui chochote kuhusu biashara. Biashara kwa taarifa yako ina faida ndogo lakini pesa ni nyingi.

Ukija kwa hawa wa maduka ya rejareja. Akiwa na duka la kuuza wastani wa shilingi 300k wa siku, huyu jamaa kama atakuwa msimamizi mzuri baada ya miaka miwili, my friend humgusi.
Naandika kama mzoefu kwenye hili eneo. Nimewahi kuwa na duka la rejareja na ni mzoefu kwenda kununua kwenye haya maduka ya jumla.
Mimi pia nimesuspect hicho hicho. Yaani hio faida kwa hela anayowekeza ni lazima awe mtu ambaye hajui biashara. 46M kwa mtaji wa duka la jumla, ana double capital kwa mwaka tu. Hii ni speaking from experience kabisa.
 
Yaani mfuko wa sukari kg 25 faida iwe 900.?
Sasa anayeuza rejareja atapata sh ngapi.?

Huu ni uongo, labla kama sijaelewa mada.
Biashara ya jumla Ina faida kidogo kuliko ya rejareja.

Kinachofanya iwe nzuri ni kama kutakuwa na mzunguko mkubwa.
 
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.

Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.

Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.
pole
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.

Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.

Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mta
 
Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni za kuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukari unaiuza kwa miezi 2 na faida yake ni 540,000 wakati huo gharama za manunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.

Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton 32 sawa na mifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576,000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.

Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidogo, tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji.
We umesikia story kijiweni ukaja humu kupost uongo,huwezi ukawa na Mataji wa 46 mill na ukaleta mifuko 600,alafu uwe unauza mifuko 10 Kwa siku,kama ni kweli basi upo sehemu mbaya sana kibiashara na unatakiwa uhame hapo ulipo,wenzio wenye mtaji kama huo wanamaliza mzigo within a week,pia faida ya sukari Kwa Sasa ni kubwa sana,mfano mi Kwa Sasa sukari kg 25 naipata Kwa 70000 naiuza jumla 75000,tuache kusikia story tukajua ni kweli,Chamsingi ingia Kwa game
 
Back
Top Bottom