thommyGustavo
Member
- Mar 13, 2017
- 17
- 5
Hi Friends, wakubwa kwa wadogo..
Mimi ni kijana mpambanaji sema napata changamoto sana kwny life currently.
mimi nimegraduater certain university na niko home tu kwa sasa...
nna ujuz sana wa stationery works yani Mungu alinjaalia utundu tangu utoto wa computers, am a good typer, software and hardware repairer. nlivokua chuo nlikua najiingizia kipato through dili izo nkamalza nkafanya kazi stationery kidogo ila mambo yakawa ndivyo sivyo,,
sasa um home jobless, nkawa na wazo kama kuna mtu ana ofc and anahtaj someone wa kudeal na computer issues kwa office im very available..
pia kama kuna samaritan anaeweza kujitokeza tuonane aweze nikopa 2m nianzishe ofc yng binafs ya kudeal na hizi kazi please dont hesitate tutaonana tutaandikishana legally na nitakua narudisha kwa mwez coz i believe and know naweza pata kwa mwez lak mbili na kuendlea since nitadeal na university students and nshafanya and i knw it pays..
Mimi sio mchoyo wa fursa ila pia kama mtu anaweza fungua ofc yke nko tayari anipe hand nami nipige kama mwajiriwa..!
N.B. Naamin wote humu ni watu wazima na waelewa wa maisha and i dont expect mtu aonge ujinga please please only good advice and options are needed!!
Mimi ni kijana mpambanaji sema napata changamoto sana kwny life currently.
mimi nimegraduater certain university na niko home tu kwa sasa...
nna ujuz sana wa stationery works yani Mungu alinjaalia utundu tangu utoto wa computers, am a good typer, software and hardware repairer. nlivokua chuo nlikua najiingizia kipato through dili izo nkamalza nkafanya kazi stationery kidogo ila mambo yakawa ndivyo sivyo,,
sasa um home jobless, nkawa na wazo kama kuna mtu ana ofc and anahtaj someone wa kudeal na computer issues kwa office im very available..
pia kama kuna samaritan anaeweza kujitokeza tuonane aweze nikopa 2m nianzishe ofc yng binafs ya kudeal na hizi kazi please dont hesitate tutaonana tutaandikishana legally na nitakua narudisha kwa mwez coz i believe and know naweza pata kwa mwez lak mbili na kuendlea since nitadeal na university students and nshafanya and i knw it pays..
Mimi sio mchoyo wa fursa ila pia kama mtu anaweza fungua ofc yke nko tayari anipe hand nami nipige kama mwajiriwa..!
N.B. Naamin wote humu ni watu wazima na waelewa wa maisha and i dont expect mtu aonge ujinga please please only good advice and options are needed!!