Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukipewa laki moja utakubali kurudisha na riba? auNi kweli kabisa matapeli wanatembea humohumo kwenye migongo ya waaminifu
utakuwa tayari kuandikishana mkataba pamoja na wadhamini wa3+passport size+ copy ya ID ya Taifa + barua ya serikali za mitaa?Inawezekana na pia kiwango cha riba itategemea.
AsanteKama shida ni mtaji wa laki? Na upo dar’ nenda kiwanda cha sayona kipo mikocheni b nafikiri wanatoa vibarua kulipwa kwa siku/wiki au mwezi ni mapendekezo yako
Ndioutakuwa tayari kuandikishana mkataba pamoja na wadhamini wa3+passport size+ copy ya ID ya Taifa + barua ya serikali za mitaa?
Mkuu nakukumbusha tu mlengwa co kama anakopa milioni 10 ni laki moja tu!!! [emoji120]utakuwa tayari kuandikishana mkataba pamoja na wadhamini wa3+passport size+ copy ya ID ya Taifa + barua ya serikali za mitaa?
KILA MTU ANA MASHARTI YAKE MKUUMkuu nakukumbusha tu mlengwa co kama anakopa milioni 10 ni laki moja tu!!! [emoji120]
Hayo mashart aliokupa n [emoji91] [emoji91] [emoji91][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
KILA MTU ANA MASHARTI YAKE MKUU
Kwakua Nina shida ntatekeleza
Mkuu nakukumbusha tu mlengwa co kama anakopa milioni 10 ni laki moja tu!!! [emoji120]
Kabebe mizigo ubungo