Mtaji wa Kutosha isiwe sababu ya Wewe Kufungua Biashara Usiyo na Ujuzi nayo

Mtaji wa Kutosha isiwe sababu ya Wewe Kufungua Biashara Usiyo na Ujuzi nayo

CONTROLA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
7,001
Reaction score
23,449
Katika Vitu vinapoteza watu wengi kwenye biashara ni MTAJI WA KUTOSHA.

kuna watu nawambia wana mitaji mikubwa sana ya kufungua biashara yoyote na popote pale lakini hawaangaliii wala kuwaza yatakayojiri kwenye hizo biashara mambo yakigeuka.

Kuna

Uwezo kipesa na
Kuna Ujuzi Wa kitu

Katika biashara zinazokufa sio wote zinakufa sababu mitaji imeyumba

Hujawahi kuona mtu biashara imekufa lakini anaendelea kula maisha vizuri tu,bata always,matanuzi kama kawaida ila Frem imemshinda kaiachia...

Sasa hao ndio ninao waongelea hapa, Hawa ni wale watu wenye pesa wao nawaonaga kama sio wafanyabiashara...

Maana mfanyabiashara lazima ujue kuangalia na kutathmini biashara yako miaka miwili mbele,3,nk

hawa watu wao hilo hawana, maana wana upofu wa PESA.

MFANO :

Usifungue Biashara ya Kutoa Huduma kama wewe binafsi Huwezi chochote katika huduma zitolewazo ofisini kwako...

Biashara za kutoa Huduma ni kama

USAFI
UFUAJI
UPIKAJI
SALOON (KIKE/KIUME)
USAFIRISHAJI,nk


Zipo Nyingi sana

Sasa kuna Mtu ana pesa/mtaji anataka fungua Moja wapo ya hizo Biashara..

Tuchukulie Mfano SALUNI YA KIKE

mtu kafungua Saluni ya kike, Yeye hajui chochote kwenye saluni hajui kusuka,kufanya chochote kile hajui

Anawategemea wafanyakazi (pesa anayo ya kuajiri yeyote)

Hii ni HATARI SANA na katika watu 100 wanaofanikiwa ni watu 10 tu kuendeleza hizi biashara za hivi.

Na hawa wanaofanikiwa ni wale wana mifereji mingine mingi ya kupatia pesa...

Mfanyakazi ni mzuri sana Mwanzoni maana hamjuani anataka kazi Na wewe unataka ofisi ifunguliwe

ila amini nakwambia mfanyakazi huyu hatokua mzuri kwako milele

itafika mahali atataka kuacha kazi,atataka kufanya mambo yake

Je utafanyaje?

Umeshawahi kujua nini chakufanya ikitokea wafanyakazi wako wote wamekugomea kufanya kazi/kuja kazini?

Atleast hata ungekua unajua huduma unazotoa ingekua rahisi kwako kuendelea pale wanapoachia wafanyakazi wako huku ukiendelea Tafuta wengine.

Hii maswala ya Kusimamisha huduma kisa wafanyakazi ya kuiangalia sana unapotaka kuwekeza hela yako sehemu flani

Unapokua na hela yako usifate sana wale wanaokwambia Fungua kitu unachokipenda..

Wakati mwingine unaweza penda kitu usichokua na ujuzi nacho, sio sawa.

Heri ujifunze kwanza kuhusu hicho kitu ajiriwa (maana kuajiriwa sio dhambi) pata uzoefu ukishajua kinafanywa vipi FUNGUA HUDUMA.

Kuwa.mmoja wa team yako ya kazi, Epuka Kuwa BOSS wakati ndio ofisi yako ya kwanza.

Ukiona umefungua ofisi na hufanyi kitu kwenye ofisi kila kitu wanafanya wafanyakazi jiangalie sana hautodumu na hiyo biashara kuna muda itakataaa Tu.

na Ubaya wa hizi biashara za kutoa Huduma Wateja hujenga mazoea na watoa huduma (ambao ni wafanyakazi wako) na wateja hao hao wanaweza kukuchukulia wafanyakazi wako Je umeshawaza Ikitokea siku Mfanyakazi wako BORA akakuacha OFISI itaendelea au itakufa? (Jibu unalo)

Mtaji una mahala pake lakini Biashara zote zinazohitaji Uzoefu/Skills hakikisha Unajua kwanza wewe BOSS ndipo unaajiri.

Kama usafirishaji Anza kwanza mwenyewe kushika usukani

Kama Mama Ntilie Anza kwanza mwenyewe kupika vyakula vitamu

Kama ni Usafi Majumbani Anza mwenyewe kwenda kwa wateja kusafisha maeneo yao

Wewe kwanza kisha ndio Wafanyakazi...

Wewe ndio Ulieshikilia Biashara yako,

Wewe ndio MTAJI wa kwanza kisha Pesa inafata.

CONTROLA
 
Katika Vitu vinapoteza watu wengi kwenye biashara ni MTAJI WA KUTOSHA.

kuna watu nawambia wana mitaji mikubwa sana ya kufungua biashara yoyote na popote pale lakini hawaangaliii wala kuwaza yatakayojiri kwenye hizo biashara mambo yakigeuka.

Kuna

Uwezo kipesa na
Kuna Ujuzi Wa kitu

Katika biashara zinazokufa sio wote zinakufa sababu mitaji imeyumba

Hujawahi kuona mtu biashara imekufa lakini anaendelea kula maisha vizuri tu,bata always,matanuzi kama kawaida ila Frem imemshinda kaiachia...

Sasa hao ndio ninao waongelea hapa, Hawa ni wale watu wenye pesa wao nawaonaga kama sio wafanyabiashara...

Maana mfanyabiashara lazima ujue kuangalia na kutathmini biashara yako miaka miwili mbele,3,nk

hawa watu wao hilo hawana, maana wana upofu wa PESA.

MFANO :

Usifungue Biashara ya Kutoa Huduma kama wewe binafsi Huwezi chochote katika huduma zitolewazo ofisini kwako...

Biashara za kutoa Huduma ni kama

USAFI
UFUAJI
UPIKAJI
SALOON (KIKE/KIUME)
USAFIRISHAJI,nk


Zipo Nyingi sana

Sasa kuna Mtu ana pesa/mtaji anataka fungua Moja wapo ya hizo Biashara..

Tuchukulie Mfano SALUNI YA KIKE

mtu kafungua Saluni ya kike, Yeye hajui chochote kwenye saluni hajui kusuka,kufanya chochote kile hajui

Anawategemea wafanyakazi (pesa anayo ya kuajiri yeyote)

Hii ni HATARI SANA na katika watu 100 wanaofanikiwa ni watu 10 tu kuendeleza hizi biashara za hivi.

Na hawa wanaofanikiwa ni wale wana mifereji mingine mingi ya kupatia pesa...

Mfanyakazi ni mzuri sana Mwanzoni maana hamjuani anataka kazi Na wewe unataka ofisi ifunguliwe

ila amini nakwambia mfanyakazi huyu hatokua mzuri kwako milele

itafika mahali atataka kuacha kazi,atataka kufanya mambo yake

Je utafanyaje?

Umeshawahi kujua nini chakufanya ikitokea wafanyakazi wako wote wamekugomea kufanya kazi/kuja kazini?

Atleast hata ungekua unajua huduma unazotoa ingekua rahisi kwako kuendelea pale wanapoachia wafanyakazi wako huku ukiendelea Tafuta wengine.

Hii maswala ya Kusimamisha huduma kisa wafanyakazi ya kuiangalia sana unapotaka kuwekeza hela yako sehemu flani

Unapokua na hela yako usifate sana wale wanaokwambia Fungua kitu unachokipenda..

Wakati mwingine unaweza penda kitu usichokua na ujuzi nacho, sio sawa.

Heri ujifunze kwanza kuhusu hicho kitu ajiriwa (maana kuajiriwa sio dhambi) pata uzoefu ukishajua kinafanywa vipi FUNGUA HUDUMA.

Kuwa.mmoja wa team yako ya kazi, Epuka Kuwa BOSS wakati ndio ofisi yako ya kwanza.

Ukiona umefungua ofisi na hufanyi kitu kwenye ofisi kila kitu wanafanya wafanyakazi jiangalie sana hautodumu na hiyo biashara kuna muda itakataaa Tu.

na Ubaya wa hizi biashara za kutoa Huduma Wateja hujenga mazoea na watoa huduma (ambao ni wafanyakazi wako) na wateja hao hao wanaweza kukuchukulia wafanyakazi wako Je umeshawaza Ikitokea siku Mfanyakazi wako BORA akakuacha OFISI itaendelea au itakufa? (Jibu unalo)

Mtaji una mahala pake lakini Biashara zote zinazohitaji Uzoefu/Skills hakikisha Unajua kwanza wewe BOSS ndipo unaajiri.

Kama usafirishaji Anza kwanza mwenyewe kushika usukani

Kama Mama Ntilie Anza kwanza mwenyewe kupika vyakula vitamu

Kama ni Usafi Majumbani Anza mwenyewe kwenda kwa wateja kusafisha maeneo yao

Wewe kwanza kisha ndio Wafanyakazi...

Wewe ndio Ulieshikilia Biashara yako,

Wewe ndio MTAJI wa kwanza kisha Pesa inafata.

CONTROLA
Mtu ka sitaafu na kupata mafau 120m af kafungua grocery ya pombe kwa 80m wakati yeye sio mlevi na hajui aina za pombe anafungua saa mbili asbhi anafunga saa 12 jioni......mmh nikajiuliza huyu atapata walevi mchana wakati walevi wengi hupenda kulea usiku........mleta mada una point.
 
Katika Vitu vinapoteza watu wengi kwenye biashara ni MTAJI WA KUTOSHA.

kuna watu nawambia wana mitaji mikubwa sana ya kufungua biashara yoyote na popote pale lakini hawaangaliii wala kuwaza yatakayojiri kwenye hizo biashara mambo yakigeuka.

Kuna

Uwezo kipesa na
Kuna Ujuzi Wa kitu

Katika biashara zinazokufa sio wote zinakufa sababu mitaji imeyumba

Hujawahi kuona mtu biashara imekufa lakini anaendelea kula maisha vizuri tu,bata always,matanuzi kama kawaida ila Frem imemshinda kaiachia...

Sasa hao ndio ninao waongelea hapa, Hawa ni wale watu wenye pesa wao nawaonaga kama sio wafanyabiashara...

Maana mfanyabiashara lazima ujue kuangalia na kutathmini biashara yako miaka miwili mbele,3,nk

hawa watu wao hilo hawana, maana wana upofu wa PESA.

MFANO :

Usifungue Biashara ya Kutoa Huduma kama wewe binafsi Huwezi chochote katika huduma zitolewazo ofisini kwako...

Biashara za kutoa Huduma ni kama

USAFI
UFUAJI
UPIKAJI
SALOON (KIKE/KIUME)
USAFIRISHAJI,nk


Zipo Nyingi sana

Sasa kuna Mtu ana pesa/mtaji anataka fungua Moja wapo ya hizo Biashara..

Tuchukulie Mfano SALUNI YA KIKE

mtu kafungua Saluni ya kike, Yeye hajui chochote kwenye saluni hajui kusuka,kufanya chochote kile hajui

Anawategemea wafanyakazi (pesa anayo ya kuajiri yeyote)

Hii ni HATARI SANA na katika watu 100 wanaofanikiwa ni watu 10 tu kuendeleza hizi biashara za hivi.

Na hawa wanaofanikiwa ni wale wana mifereji mingine mingi ya kupatia pesa...

Mfanyakazi ni mzuri sana Mwanzoni maana hamjuani anataka kazi Na wewe unataka ofisi ifunguliwe

ila amini nakwambia mfanyakazi huyu hatokua mzuri kwako milele

itafika mahali atataka kuacha kazi,atataka kufanya mambo yake

Je utafanyaje?

Umeshawahi kujua nini chakufanya ikitokea wafanyakazi wako wote wamekugomea kufanya kazi/kuja kazini?

Atleast hata ungekua unajua huduma unazotoa ingekua rahisi kwako kuendelea pale wanapoachia wafanyakazi wako huku ukiendelea Tafuta wengine.

Hii maswala ya Kusimamisha huduma kisa wafanyakazi ya kuiangalia sana unapotaka kuwekeza hela yako sehemu flani

Unapokua na hela yako usifate sana wale wanaokwambia Fungua kitu unachokipenda..

Wakati mwingine unaweza penda kitu usichokua na ujuzi nacho, sio sawa.

Heri ujifunze kwanza kuhusu hicho kitu ajiriwa (maana kuajiriwa sio dhambi) pata uzoefu ukishajua kinafanywa vipi FUNGUA HUDUMA.

Kuwa.mmoja wa team yako ya kazi, Epuka Kuwa BOSS wakati ndio ofisi yako ya kwanza.

Ukiona umefungua ofisi na hufanyi kitu kwenye ofisi kila kitu wanafanya wafanyakazi jiangalie sana hautodumu na hiyo biashara kuna muda itakataaa Tu.

na Ubaya wa hizi biashara za kutoa Huduma Wateja hujenga mazoea na watoa huduma (ambao ni wafanyakazi wako) na wateja hao hao wanaweza kukuchukulia wafanyakazi wako Je umeshawaza Ikitokea siku Mfanyakazi wako BORA akakuacha OFISI itaendelea au itakufa? (Jibu unalo)

Mtaji una mahala pake lakini Biashara zote zinazohitaji Uzoefu/Skills hakikisha Unajua kwanza wewe BOSS ndipo unaajiri.

Kama usafirishaji Anza kwanza mwenyewe kushika usukani

Kama Mama Ntilie Anza kwanza mwenyewe kupika vyakula vitamu

Kama ni Usafi Majumbani Anza mwenyewe kwenda kwa wateja kusafisha maeneo yao

Wewe kwanza kisha ndio Wafanyakazi...

Wewe ndio Ulieshikilia Biashara yako,

Wewe ndio MTAJI wa kwanza kisha Pesa inafata.

CONTROLA
Nimetoka kumwambia mtu wa jikoni kwenye Pub ya mtaani, yeye sasa hivi havai aplon waka hafanyi kazi yoyote zaidi ya kupokea pesa na kwenda sokoni, nimemwambia unaferi sana, hivi vitu watu wanataka mapishi ya taste yako halafu na wewe unajiona tayari Boss hufanyi tena kazi jikoni ni mjinga sana.
 
Kwenye ishu ya biashara nyuzi zako huwa na respect sana 🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊👊
 
Katika Vitu vinapoteza watu wengi kwenye biashara ni MTAJI WA KUTOSHA.

kuna watu nawambia wana mitaji mikubwa sana ya kufungua biashara yoyote na popote pale lakini hawaangaliii wala kuwaza yatakayojiri kwenye hizo biashara mambo yakigeuka.

Kuna

Uwezo kipesa na
Kuna Ujuzi Wa kitu

Katika biashara zinazokufa sio wote zinakufa sababu mitaji imeyumba

Hujawahi kuona mtu biashara imekufa lakini anaendelea kula maisha vizuri tu,bata always,matanuzi kama kawaida ila Frem imemshinda kaiachia...

Sasa hao ndio ninao waongelea hapa, Hawa ni wale watu wenye pesa wao nawaonaga kama sio wafanyabiashara...

Maana mfanyabiashara lazima ujue kuangalia na kutathmini biashara yako miaka miwili mbele,3,nk

hawa watu wao hilo hawana, maana wana upofu wa PESA.

MFANO :

Usifungue Biashara ya Kutoa Huduma kama wewe binafsi Huwezi chochote katika huduma zitolewazo ofisini kwako...

Biashara za kutoa Huduma ni kama

USAFI
UFUAJI
UPIKAJI
SALOON (KIKE/KIUME)
USAFIRISHAJI,nk


Zipo Nyingi sana

Sasa kuna Mtu ana pesa/mtaji anataka fungua Moja wapo ya hizo Biashara..

Tuchukulie Mfano SALUNI YA KIKE

mtu kafungua Saluni ya kike, Yeye hajui chochote kwenye saluni hajui kusuka,kufanya chochote kile hajui

Anawategemea wafanyakazi (pesa anayo ya kuajiri yeyote)

Hii ni HATARI SANA na katika watu 100 wanaofanikiwa ni watu 10 tu kuendeleza hizi biashara za hivi.

Na hawa wanaofanikiwa ni wale wana mifereji mingine mingi ya kupatia pesa...

Mfanyakazi ni mzuri sana Mwanzoni maana hamjuani anataka kazi Na wewe unataka ofisi ifunguliwe

ila amini nakwambia mfanyakazi huyu hatokua mzuri kwako milele

itafika mahali atataka kuacha kazi,atataka kufanya mambo yake

Je utafanyaje?

Umeshawahi kujua nini chakufanya ikitokea wafanyakazi wako wote wamekugomea kufanya kazi/kuja kazini?

Atleast hata ungekua unajua huduma unazotoa ingekua rahisi kwako kuendelea pale wanapoachia wafanyakazi wako huku ukiendelea Tafuta wengine.

Hii maswala ya Kusimamisha huduma kisa wafanyakazi ya kuiangalia sana unapotaka kuwekeza hela yako sehemu flani

Unapokua na hela yako usifate sana wale wanaokwambia Fungua kitu unachokipenda..

Wakati mwingine unaweza penda kitu usichokua na ujuzi nacho, sio sawa.

Heri ujifunze kwanza kuhusu hicho kitu ajiriwa (maana kuajiriwa sio dhambi) pata uzoefu ukishajua kinafanywa vipi FUNGUA HUDUMA.

Kuwa.mmoja wa team yako ya kazi, Epuka Kuwa BOSS wakati ndio ofisi yako ya kwanza.

Ukiona umefungua ofisi na hufanyi kitu kwenye ofisi kila kitu wanafanya wafanyakazi jiangalie sana hautodumu na hiyo biashara kuna muda itakataaa Tu.

na Ubaya wa hizi biashara za kutoa Huduma Wateja hujenga mazoea na watoa huduma (ambao ni wafanyakazi wako) na wateja hao hao wanaweza kukuchukulia wafanyakazi wako Je umeshawaza Ikitokea siku Mfanyakazi wako BORA akakuacha OFISI itaendelea au itakufa? (Jibu unalo)

Mtaji una mahala pake lakini Biashara zote zinazohitaji Uzoefu/Skills hakikisha Unajua kwanza wewe BOSS ndipo unaajiri.

Kama usafirishaji Anza kwanza mwenyewe kushika usukani

Kama Mama Ntilie Anza kwanza mwenyewe kupika vyakula vitamu

Kama ni Usafi Majumbani Anza mwenyewe kwenda kwa wateja kusafisha maeneo yao

Wewe kwanza kisha ndio Wafanyakazi...

Wewe ndio Ulieshikilia Biashara yako,

Wewe ndio MTAJI wa kwanza kisha Pesa inafata.

CONTROLA
Umeongea point kubwa sna hapa mkuu ni watu wachache watakuelewa, binafsi ninategemea kufungua biashara ya kutoa huduma ambapo mmi mwenyew ni mbobezi kwenye hicho kitengo kwa hyo hata nikiweka vijana nipo tayari kupiga nao kazi na kuwap uzoefu pia wa hii huduma
 
Kwenye Utalii wahusika wakuu ndio tunapokea Wateja KIA na muda mwingine unampeleka mwenyewe Porini upo sawa sana nikiagizwa gari SA mimi mwenyewe ndio naenda kuchagua na kurudi nazo Tanzania Safi sana Mkuu..
 
Nimetoka kumwambia mtu wa jikoni kwenye Pub ya mtaani, yeye sasa hivi havai aplon waka hafanyi kazi yoyote zaidi ya kupokea pesa na kwenda sokoni, nimemwambia unaferi sana, hivi vitu watu wanataka mapishi ya taste yako halafu na wewe unajiona tayari Boss hufanyi tena kazi jikoni ni mjinga sana.
Nawewe pia usimuachie huyo mpokea pesa uingie jikoni kutupikia chai. Hujui huyo mpokea pesa kuna siku atasepa. Ndio hoja ya mleta mada. Kwenye emergency situations unakava au vp?
 
Back
Top Bottom