Watu wanauza hivo ulivotaja na wanalea familia zao,hawalii njaaHaitoshi labda uuze viberiti maji ya uhai,kreti chache za soda chumvi ya neel,sabuni za miatano mafuta ya kupikia ya vibaba na vigine vya kufanana na hivyo.
Achana nae tu huyo dada yake aliolewa ndo akaenda kuishi kwake ingawa ana masimango ya kisengeremaUkute anasubiria ugali kwa dada
Very smart, ....ni-pm no yako nikupoze na chochote kitu😂Haitoshi labda uuze viberiti maji ya uhai,kreti chache za soda chumvi ya neel,sabuni za miatano mafuta ya kupikia ya vibaba na vigine vya kufanana na hivyo.
Inategemea ni duka la bidhaa zipi, nadhan inaweza ikatosha au isitoshe kutokana na aina ya bidhaa unazotegemea kuzinunua/kuuza dukani mwakoKuna vtu unatakiwa ujue kuvitofautisha af ndo uendelee kuna
Duka
Kibanda
Genge
Kioski
Mlanguzi wa mazao au bidhaa
Ivyo ni vtu vitano tofauti
Kibanda genge kioski iyo pesa inatosha ila kwa duka siwez sema inatosha au laah
Mambo ya mkoa gan au wilaya gan izo ni swaga tu duka linaprocess zake za kufuata ili ufungue duka
Kuna pango la chumba
Kuna Leseni
Kuna TRA
Kuna mzgo wa kuanzia biashara
Mkuu unajiona umejipataMkuu hio 800k ndo bajeti yangu ya weekend kulia Bata na haitoshi kiufupi we ni mchimba chumvi nenda kule makapuku forum usituharibie weekend
😂😂Mkuu hio 800k ndo bajeti yangu ya weekend kulia Bata na haitoshi kiufupi we ni mchimba chumvi nenda kule makapuku forum usituharibie weekend
Hili nalo ni neno kuntu chuma uleteKama mtu hajawahi kuthubutu kufanya biashara atadharau sana hyo 800k but inatosha sana ila sijajua ni mkoa gani au wilaya gani uliopo ukitoa kodi ya pango na lesen ya biashara hyo pesa kwa mahitaj madogo ya nyumban unaweza ukaenda kufunga mzigo mpaka ukabaki unashangaa ila mtihani inabaki tu kwenye kuuza na chamgamoto za biashara ya eneo husika.
Nakumbuka mm kipnd naanza biashara ya kuchukua mazao (mchele) kuna jamaa nilimuuliza kama naweza nikaanza na kiac gan weng waliniambia hyo biashara ni ya wapemba wenye mitaji mikubwa sana so ckukata tamaa nilienda kwenye maeneo wanakolima usangu, ifakara ndio nikajua kumbe ata 2M ni nying sana kwa kukuzia mtaji .
Asilimia kubwa ya wanaokatisha tamaa ni waajiriwa or wanaokula ugali wa shkamoo maana biashara wanasikia tu na kusoma kwa watu ila kiuhalisia biashara mtaji sio ishu sans iwe kubwa ila discpline za kutatua changamoto ndio kazi haswaaa.
# Usisahau CHUMA ULETE kwenye duka kama una iman ya MUNGU sali sana ila zaid ya hapo kuwa makn sana na vishiling na siku hz kuna note 1 tu inaweza ikakuliza hzo hasa dar, makambako, tunduma ndio zmejaa sana.
Kwa mtaji ule ule kama wako tupe mchanganuo hapa wa kuuza gesi najua umeshakuwa mzoefu wa bei na namna ya uuzajiNilifanyia kazi ushauri wako na leo nimerejea kukushukuru kaka nimejipata asee japo kwa kiwango kidogo