Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duka la aina gan??Naombeni Ushauri Wana jf kwenye suala hili
Hii biashara ipoje mkuu,mtaji kiasi ganiUza gas, haina hasara.
Ndio....duka la meno ya tembo na ngozi za chuiNina mtaji wa laki 8, inatosha kufungua biashara ya duka na nikapata kukidhi mahitaji yangu na maendeleo kwa ujumla?
Naombeni Ushauri Wana jf kwenye suala hili
Tueleze vizuri hiyo noti moja inakuwaje?Kama mtu hajawahi kuthubutu kufanya biashara atadharau sana hyo 800k but inatosha sana ila sijajua ni mkoa gani au wilaya gani uliopo ukitoa kodi ya pango na lesen ya biashara hyo pesa kwa mahitaj madogo ya nyumban unaweza ukaenda kufunga mzigo mpaka ukabaki unashangaa ila mtihani inabaki tu kwenye kuuza na chamgamoto za biashara ya eneo husika.
Nakumbuka mm kipnd naanza biashara ya kuchukua mazao (mchele) kuna jamaa nilimuuliza kama naweza nikaanza na kiac gan weng waliniambia hyo biashara ni ya wapemba wenye mitaji mikubwa sana so ckukata tamaa nilienda kwenye maeneo wanakolima usangu, ifakara ndio nikajua kumbe ata 2M ni nying sana kwa kukuzia mtaji .
Asilimia kubwa ya wanaokatisha tamaa ni waajiriwa or wanaokula ugali wa shkamoo maana biashara wanasikia tu na kusoma kwa watu ila kiuhalisia biashara mtaji sio ishu sans iwe kubwa ila discpline za kutatua changamoto ndio kazi haswaaa.
# Usisahau CHUMA ULETE kwenye duka kama una iman ya MUNGU sali sana ila zaid ya hapo kuwa makn sana na vishiling na siku hz kuna note 1 tu inaweza ikakuliza hzo hasa dar, makambako, tunduma ndio zmejaa sana.
Siyo majibu ya kiungwana ndugu yanguMkuu hio 800k ndo bajeti yangu ya weekend kulia Bata na haitoshi kiufupi we ni mchimba chumvi nenda kule makapuku forum usituharibie weekend
[emoji23][emoji23]Mkuu hio 800k ndo bajeti yangu ya weekend kulia Bata na haitoshi kiufupi we ni mchimba chumvi nenda kule makapuku forum usituharibie weekend
Acha sifa za kijinga nani kakuuliza wkend unatumia sh ngap???Mkuu hio 800k ndo bajeti yangu ya weekend kulia Bata na haitoshi kiufupi we ni mchimba chumvi nenda kule makapuku forum usituharibie weekend
Mkuu nakuomba eleza vizuri tafadhali kuhusu hiyo noti.Kama mtu hajawahi kuthubutu kufanya biashara atadharau sana hyo 800k but inatosha sana ila sijajua ni mkoa gani au wilaya gani uliopo ukitoa kodi ya pango na lesen ya biashara hyo pesa kwa mahitaj madogo ya nyumban unaweza ukaenda kufunga mzigo mpaka ukabaki unashangaa ila mtihani inabaki tu kwenye kuuza na chamgamoto za biashara ya eneo husika.
Nakumbuka mm kipnd naanza biashara ya kuchukua mazao (mchele) kuna jamaa nilimuuliza kama naweza nikaanza na kiac gan weng waliniambia hyo biashara ni ya wapemba wenye mitaji mikubwa sana so ckukata tamaa nilienda kwenye maeneo wanakolima usangu, ifakara ndio nikajua kumbe ata 2M ni nying sana kwa kukuzia mtaji .
Asilimia kubwa ya wanaokatisha tamaa ni waajiriwa or wanaokula ugali wa shkamoo maana biashara wanasikia tu na kusoma kwa watu ila kiuhalisia biashara mtaji sio ishu sans iwe kubwa ila discpline za kutatua changamoto ndio kazi haswaaa.
# Usisahau CHUMA ULETE kwenye duka kama una iman ya MUNGU sali sana ila zaid ya hapo kuwa makn sana na vishiling na siku hz kuna note 1 tu inaweza ikakuliza hzo hasa dar, makambako, tunduma ndio zmejaa sana.
Ukute anasubiria ugali kwa dadaAcha sifa za kijinga nani kakuuliza wkend unatumia sh ngap???