Mtaji wa milioni 3 nifanye biashara gani? Nilikuwa nakopesha vyombo, wakopaji wasumbufu kulipa

Mtaji wa milioni 3 nifanye biashara gani? Nilikuwa nakopesha vyombo, wakopaji wasumbufu kulipa

Wadau nina mtaji wa milioni 3 unatoka na kazi ya kukopesha vyombo nifanye biashara gani maana hasa hivi wakopaji wamekuwa wasumbufu hawalipi na nimefanya miaka 5. Nataka nifanye biashara nyingine usiyohusiana na mikopo. Nipo Dar Gongo la Mboto.
Biashara ya kukopesha inatakiwa uwe na mtaji wa kutosha
 
Na me nipo Goms hapa, njoo tuungane tufungue Car wash ya kisasa hapa Mombasa
 
Nilitamani biashara ya kuuza sendo zile za wanaume dior au viainishi vya magari
me nakushauli fanya biashara ya vitu vya kike ndio vinatoka sana ..cha muhim ni pata location nzuli ambapo kuna watu wengi na pia deal na bidhaa za watu wa hali ya kawaida then ukikua unaweza chagua wewe mwenyewe zaidi , ila bidhaa za kiume kausha kwanza mana apaa nina aproach mwaka kasoro na sendo yangu Moja na mpaka sasa sina dalili zakutafuta mpya ila bibie nafikili anaelekea pair ya 70 uko 😁😁
 
me nakushauli fanya biashara ya vitu vya kike ndio vinatoka sana ..cha muhim ni pata location nzuli ambapo kuna watu wengi na pia deal na bidhaa za watu wa hali ya kawaida then ukikua unaweza chagua wewe mwenyewe zaidi , ila bidhaa za kiume kausha kwanza mana apaa nina aproach mwaka kasoro na sendo yangu Moja na mpaka sasa sina dalili zakutafuta mpya ila bibie nafikili anaelekea pair ya 70 uko [emoji16][emoji16]
[emoji14][emoji14][emoji14] ila wanawake wanakopa balaa
 
Maeneo gani inahitaji mtaji kiasi gani
Kuna eneo moja hapo kituo cha madafu nalifuatilia japo naona kuna mtu analitaka pia. Mtaji wa Car wash ya kiwango nakadiria kwenye M5 hivi. Japo kwa huo mtaji wako wa M 3 unaweza ukaanza pia Solely.
Ukiweza pia jaribu kutafta eneo la ufungue banda la mpira kibanda umiza ni biashara nzuri sanaa kwa sasa. Keep i mind, biashara za huduma ni nzuri zaidi zina Risk ndogo
 
Kuna eneo moja hapo kituo cha madafu nalifuatilia japo naona kuna mtu analitaka pia. Mtaji wa Car wash ya kiwango nakadiria kwenye M5 hivi. Japo kwa huo mtaji wako wa M 3 unaweza ukaanza pia Solely.
Ukiweza pia jaribu kutafta eneo la ufungue banda la mpira kibanda umiza ni biashara nzuri sanaa kwa sasa. Keep i mind, biashara za huduma ni nzuri zaidi zina Risk ndogo
Sema car wash mtu mpka wiki ndio unaosha gari ila iko poa
 
Tafuta location kali fungua Play Station ama Movie Library upige maokoto. Kwa huo mtaji wako unatosha kabisa kati ya moja wapo hapo, kila la kheri.
Wadau nina mtaji wa milioni 3 unatoka na kazi ya kukopesha vyombo nifanye biashara gani maana hasa hivi wakopaji wamekuwa wasumbufu hawalipi na nimefanya miaka 5. Nataka nifanye biashara nyingine usiyohusiana na mikopo. Nipo Dar Gongo la Mboto.
 
me nakushauli fanya biashara ya vitu vya kike ndio vinatoka sana ..cha muhim ni pata location nzuli ambapo kuna watu wengi na pia deal na bidhaa za watu wa hali ya kawaida then ukikua unaweza chagua wewe mwenyewe zaidi , ila bidhaa za kiume kausha kwanza mana apaa nina aproach mwaka kasoro na sendo yangu Moja na mpaka sasa sina dalili zakutafuta mpya ila bibie nafikili anaelekea pair ya 70 uko 😁😁
Ndio vyitu vya kike sawa
 
Fanya Biashara ya Asali kama ifuatavyo:-
Gharama ni 170,000
1- utapata chupa 20 za lita moja moja zikiwa well packaged.
2. Utapokea mzigo Mbezi Stand

Ww uza chupa bei ya kutupa moja elf 12
( 12000X 20 = 240,000)
240,000 -170,000 = 70000 net profit kwa mtaji wa 170K only.

Asali ni OG Toka Tabora haina ata Tone la maji waweza nicheck inbox kwa maelezo zaidi
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    33.7 KB · Views: 10
Wadau nina mtaji wa milioni 3 unatoka na kazi ya kukopesha vyombo nifanye biashara gani maana hasa hivi wakopaji wamekuwa wasumbufu hawalipi na nimefanya miaka 5. Nataka nifanye biashara nyingine usiyohusiana na mikopo. Nipo Dar Gongo la Mboto.
Niambie tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi wako wa kuzaliwa nitakwambia biashara ipi ufanye itakayoweza kukunyanyua ukawa ni tajiri kwa muda sio mrefu kuanzia sasa.
 
Mkuu Nakushauri Uendelee kukopesha ila kwa njia tofauti, mtu akitaka laki mkopeshe yeye aweke bondi kitu chake chenye thamani zaidi. Uwe na ofisi ambapo watu watakuwa wanakupatia, Tengeneza mkataba maalumu, mtu akivusha tu muda wa kulipa uza kitu chake kwa faida kazi yako iendelee, Usikopeshe bila bondi.
Kutoka kukopesha vyombo hadi kukopesha fedha!!!
 
Back
Top Bottom