malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Inategemea na leverage pamoja na magnitude ya hiyo biashara yenyewe... Kama inauwezo wa kukua na kusambaa basi ni mwanzo mzuri.Habar wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni 45m lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14 Hadi mzingo unakua umeisha..je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda..ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaid
Mbona hela nzuri tuu hiyo.Habar wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni 45m lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14 Hadi mzingo unakua umeisha..je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda..ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaid
Haina uwezo wakukua Wala kusambaaInategemea na leverage pamoja na magnitude ya hiyo biashara yenyewe... Kama inauwezo wa kukua na kusambaa basi ni mwanzo mzuri.
Habar wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni 45m lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14 Hadi mzingo unakua umeisha..je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda..ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida
HADITHI ZA JF ZIMERUDI TENA...Habar wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni 45m lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14 Hadi mzingo unakua umeisha..je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda..ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaid
Haina muelekeo wa kukua zaid itapungua washindani wataomgezekaBiashara nzuri.
Kwa mwezi Mil 1.
Kwa mwaka Mil 12.
So miaka 4 mzigo umerudi 100%
Sorry naomba kuuliza, hiyo biasshara haikui!?
Kama biashara zipi hizoKama haina ukuaji maana yake hapo unachofaidi ni kuwa na risk ndogo tu and nothing else.
45M kupata faida million 1 Kwa mwezi ndogo Sana mkuu.
Kuna Biashara nyingi ambazo returning yake ni nzuri Sana jaribu kufikiria huko pia .