Mtaji wa milioni 45 napata faida ya 500,000 baada ya siku14 ni sawa?

Mtaji wa milioni 45 napata faida ya 500,000 baada ya siku14 ni sawa?

Hapo itategemea na ukubwa wa risk kama risk ya kupoteza ni kubwa basi haifai kama risk ni almost zero haina shida
 
Habari wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni milioni 45 lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14
Hadi mzingo unakua umeisha.

Je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda?

Ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaidi
Mtaji = 45mil
Faida = 500,000
Ukichukua 500,000/45,000,000x100% = 1.11%

Yaani Profit Margin ni 1.1%.

Mkuu hapo hamna biashara, unapoteza muda.

Ingefika walau 30% ningesema walau hiyo biashara ni sustainable!
 
Habari wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni milioni 45 lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14
Hadi mzingo unakua umeisha.

Je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda?

Ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaidi
Hio faida ni mali ya biashara yako. Wewe binafsi mshahara wako ni mil ngapi? Au wewe hauna mshahara unategemea hio faida?
 
Habari wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni milioni 45 lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14
Hadi mzingo unakua umeisha.

Je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda?

Ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaidi
Kama inatunza mtaji, na haichukui 100% ya muda wako, let say inajiendesha pasipo uwepo wapo sana, sio biashara mbaya sana...
 
Mtaji = 45mil
Faida = 500,000
Ukichukua 500,000/45,000,000x100% = 1.11%

Yaani Profit Margin ni 1.1%.

Mkuu hapo hamna biashara, unapoteza muda.

Ingefika walau 30% ningesema walau hiyo biashara ni sustainable!
Angalau 10% iwe net profit
 
Ukiwa unafanya biashara ya namna hiyo mwombe Mungu usiwe mnywaji wa bia.
 
Habari wakuu Kuna biashara nafanya ambayo mtaji waki ni milioni 45 lakini faida Yake napata laki tano ndani siku 14
Hadi mzingo unakua umeisha.

Je hii nisahihi kuendelea kuifanya kwa faid la ya laki tano kwa mtani huo au napoteza muda?

Ushauri wenu mtupe namchongo wabiashara za faida kubwa zaidi
Kama biashara ni scalable basi mwanzo nzuri sana wengine wanapambana sana kufikia tu break even
 
Mkuu malembeka18 , struggles zako za kibiashara huwa nazifuatilia sana hapa jf. Najifunza mengi kupitia nyuzi zako. Be blessed na uzidi kupaa zaidi kiuchumi. 🙏🏾
 
Hodi wana jukwaa,jamani nimepata mtu wa uhakika wa kunikopesha pesa nje ya nchi,Ila napuñgukiwa fedha ya broker $2600/- njoo WhatsApp +255755846814 tuyajenge fedha hii nakurudishia ndani ya miezi 3
 
Mtu wangu WhatsApp yangu +255755846814 naomba uniwezeshe $2600/- nikamilishe kwa broker wangu ,anikopeshe mtaji Yuko nje ya nchi nitairudisha within 60 days,karibu sana
 
Hapana mm biashara yangu mtaji laki5 ,, faida Kwa mwez ni 650k-750k
 
Nifanye biashara Gani Sasa mkuu ili nikunje hiyo Hela uisemayo 5-6m
We jamaa unavotuko,kama wewe mwenyewe unaona shida kutamka biashara unayofanya lakini unataka watu wewe wakuambia biashara itakayokuingizia 5-6M au sio??
 
Kama haina ukuaji maana yake hapo unachofaidi ni kuwa na risk ndogo tu and nothing else.


45M kupata faida million 1 Kwa mwezi ndogo Sana mkuu.

Kuna Biashara nyingi ambazo returning yake ni nzuri Sana jaribu kufikiria huko pia .
Zitaje!
 
Mtaji = 45mil
Faida = 500,000
Ukichukua 500,000/45,000,000x100% = 1.11%

Yaani Profit Margin ni 1.1%.

Mkuu hapo hamna biashara, unapoteza muda.

Ingefika walau 30% ningesema walau hiyo biashara ni sustainable!
Ingeleta 10% per month ingekuwa poa sana
 
Back
Top Bottom