Daniel Adrian
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 311
- 326
- Thread starter
-
- #41
Asante kaka. Nimelipenda hili!zipo biashara ambazo haziumizi hata kichwa wala hazitaki mtaji mkubwa.... nakupa hii moja kwanza....
Nenda sokoni kwenye watu wengi hasa wanawake utafute sehem barabarani hata ya kulipia lakini sio frem yaani mbele ya frem hapo unatakiwa utafute meza moja inagharimu laki 1 halafu nenda kanunue kuku wa kisasa wachinjwe kabisa halafu wewe uwe unakata vipande paja kidali na vengine uwe unawauzia kinamama wao wanaenda kupika nyumbani kwao... kama utauza kuku 5 tu tayari una 10000 kama faida.... unaweza ukaongeza na samaki wabichi pia.... pesa iliyobakia jipange ufungue sehem ya kuuza chips mdogo mdogo... mawazo yapo mengi ila nimeona hilo linakuafaa sana
Umenikumbusha Ontario daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya banaAcha uongo we dogo
Unazani kwa mtaji huo ukimpa huo mchongo hawezi fika mwanza?
Walikuwepo akina Ontario makontawa wa upigaji sembuse wewe
Lete hapa huo ushauri ili mlengwa apate direction wee unaanza story za magumashi Mara sjui ungekuwa wapi nkukutanishe sjui na nanMkuu mbona unaweza kupigwa tu [emoji1787][emoji23][emoji1787]
Jamaa ni kenge sana huyuUmenikumbusha Ontario daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya bana
TawileLete hapa huo ushauri ili mlengwa apate direction wee unaanza story za magumashi Mara sjui ungekuwa wapi nkukutanishe sjui na nan
Mkuu April 26 upo kwenye hii biashara, na je vipi biashara vipodozi ukiwa eneo limechangamka kidogo inalipa? Naona una uelewa na hii gemu.Kwa simu itakuuwa na mawazo tena kama upo Dar. Then kwa biashara ya simu sijui utauza bei kwani upate faida wakati mtu akishakuona na simu mkononi anajuwa used bei inashuka.
Nakupa wazo mkuu, fungua biashara ya vipodozi uswahilini, chukua frame lipa miezi 4 lakini 2 chukua laki 4 ingia kariakoo chukuwa zaga kama zote njoo weka.
Kama utakuta frame ina shelf itakuwa poa sana ila kama hamna tumia laki mbili ya matengenezo then laki moja fanya nauli na chai ukisikilizia mchongo mwaisa.
Pia ukikaa vizuri m1 kwa vipodozi ni mtaji mkubwa sana aisee. Achana na mambo ya leseni ,TRA sijui nini fanya kigumu usifate protocol sana.
Hii biashara ina faida sana hela ya mtaji kwa kipodozi unaweza ukaingiza faida kama ulowekeza.
Ngoja niishie hapa
Asante kwa idea kaka nitaitafakari
We jamaa uko vizuri nimependa idea yako japo ushauri cjaomba mmBiashara zote unazizifikiria zitakukata haraka sana. Chukua laki mbili ama tstu chongesha kabati ya alminium ile ya vioo, chukua laki moja nenda sokoni kanunua mchanganyiko wa matunda nanasi, tango, embe, ndizi uthen nunua na disposable pan ama zile bakuri za karatasi ama plastic nunua na nylon foil njoo ukate matunda utafute kijiwe kizuri uanze kuuza salad ya matunda. Utakuwa umetumia si zaidi ya laki 5. Inayobakia mfungulie mzazi mwenzaki kimgahawa kidogo mtaan na ukitaka kutusua mapema ondoka home kama bado kapange chumba na huyo mschana, nakuahidi hautojuta ushauri wanfu.
Umenikumbusha Ontario daaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya bana
Umetoa madini mkuu1. Tengeneza ki fremu kidogo yaani nunua bati tatu zinatosha kutengeneza, nunua jiko moja la sufuria kubwa na lingine la kuchomea tafuta mtaa ambo unawakazi wengi either n familia nyingi au mabachela ndio wengi.
Amka saa 10:30usiku nenda machinjion nunua utumbo Ng'ombe(Uza kwa kupima Mana tayari una Banda ndio bucha) na mbuzi(Chemsha supu) ukiona wa supu ipo muda umeenda nunua nyanya na kitunguu alafu rosti songs na ugali uuze, ule wa wa kupima ukiona saa jion inakarabia mzigo upo Anza kuuchoma uza kipande kuanzia 200/=
2. Tafuta chimbo la chupi na bra za wadada ingia nazo mitaan sanasana uswaz au mitaa ya wanafunzi
Hzo zote mbili zinatoa super profit yaan unatoa 50k inzalisha 100k nyingine inategemea na wewe na umakini & ushapu wako
Kwanini wafanye hivyo kaka?Wahuni Watugongea mkeo mkuu, kuwa makini
Wazo zuri je hizo bidhaa atapataje hapo Kariakoo kumbuka ni pakubwa na mtu kama huna uzoefu napo ni tatizo lingneKwa simu itakuuwa na mawazo tena kama upo Dar. Then kwa biashara ya simu sijui utauza bei kwani upate faida wakati mtu akishakuona na simu mkononi anajuwa used bei inashuka.
Nakupa wazo mkuu, fungua biashara ya vipodozi uswahilini, chukua frame lipa miezi 4 lakini 2 chukua laki 4 ingia kariakoo chukuwa zaga kama zote njoo weka.
Kama utakuta frame ina shelf itakuwa poa sana ila kama hamna tumia laki mbili ya matengenezo then laki moja fanya nauli na chai ukisikilizia mchongo mwaisa.
Pia ukikaa vizuri m1 kwa vipodozi ni mtaji mkubwa sana aisee. Achana na mambo ya leseni ,TRA sijui nini fanya kigumu usifate protocol sana.
Hii biashara ina faida sana hela ya mtaji kwa kipodozi unaweza ukaingiza faida kama ulowekeza.
Ngoja niishie hapa
Kwanini wafanye hivyo kaka ?
Ni Bored ape( hii ni Nft successful project)Mkuu, hiyo avatar inahusu nn? Maana naona raia wengi wengi wanaitumia
Wazo zurinsana Hilo.chukua Hilo Mimi ninauzoefu nayo,inalipa sanaTafuta eneo eneo tupu unaweza kulipia kwa makubaliano na mwenye eneo anzisha kutoa huduma ya kuosha magari na pikipiki hapa huitaji fremu Wala leseni unaitaji water pressure ambayo ipo ndogo na pipa zile kubwa za pembe nne
Kama upo tayari unaweza kwenda mkowani kununuwa mazao vijijini Kisha ukaenda kuuza mjini mf unanunuwa mpunga mbeya vijijini unaenda kuuza mbeya mjini
Hapo kuna mawazo mawili, nuchukue lipiWazo zurinsana Hilo.chukua Hilo Mimi ninauzoefu nayo,inalipa sana
Hili la car wash nimelielewaWazo zurinsana Hilo.chukua Hilo Mimi ninauzoefu nayo,inalipa sana
Nilitegemea kukuta wazo hili acha na mimi nijifunze hapaKwa simu itakuuwa na mawazo tena kama upo Dar. Then kwa biashara ya simu sijui utauza bei kwani upate faida wakati mtu akishakuona na simu mkononi anajuwa used bei inashuka.
Nakupa wazo mkuu, fungua biashara ya vipodozi uswahilini, chukua frame lipa miezi 4 lakini 2 chukua laki 4 ingia kariakoo chukuwa zaga kama zote njoo weka.
Kama utakuta frame ina shelf itakuwa poa sana ila kama hamna tumia laki mbili ya matengenezo then laki moja fanya nauli na chai ukisikilizia mchongo mwaisa.
Pia ukikaa vizuri m1 kwa vipodozi ni mtaji mkubwa sana aisee. Achana na mambo ya leseni ,TRA sijui nini fanya kigumu usifate protocol sana.
Hii biashara ina faida sana hela ya mtaji kwa kipodozi unaweza ukaingiza faida kama ulowekeza.
Ngoja niishie hapa