Mtaji wa Tshs. milioni 3 uzalishe Tshs. 40,000/= kwa siku; njoo tufanye biashara

Mtaji wa Tshs. milioni 3 uzalishe Tshs. 40,000/= kwa siku; njoo tufanye biashara

Tafuta fundi anayejua kusuka freezer ambalo lina leakage kwenye gas pipes mpe hiyo kazi mwambie unataka alisukie kwa ndani yaani zile pipes ziwe zinaonekana ukifungua tu freezer! nakwambia linapiga kazi ni hakunaga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaongelea freezer used sio, au hata kitu kipya kwenye malailoni!
 
Back
Top Bottom